Wauguzi, wakunga wakumbushwa kuzingatia maadili ya kazi zao
Tanga. Katibu Mkuu wa Chama Cha Wauguzi Tanzania, (Tanna), Geofrey Chacha amewataka wauguzi kuhakikisha wanazingatia kanuni na sheria za kazi zao, ili kuweza kuepukana na kashfa na tuhuma dhidi yao ambazo zinaweza kuwachafua kwenye taaluma. Akizungumza kwenye mkutano wa Chama cha Wauguzi Mkoa wa Tanga uliofanyika wilayani Muheza Jumamosi Septemba 13, 2025 kujadili mipango ya…