Wauguzi, wakunga wakumbushwa kuzingatia maadili ya kazi zao

Tanga. Katibu Mkuu wa Chama Cha Wauguzi Tanzania, (Tanna), Geofrey Chacha amewataka wauguzi kuhakikisha wanazingatia kanuni na sheria za kazi zao, ili kuweza kuepukana na kashfa na tuhuma dhidi yao ambazo zinaweza kuwachafua kwenye taaluma. Akizungumza kwenye mkutano wa Chama cha Wauguzi Mkoa wa Tanga uliofanyika wilayani Muheza Jumamosi Septemba 13, 2025 kujadili mipango ya…

Read More

Albania yateua waziri roboti wa kupambana na ufisadi

Tirana. Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia. Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’ kwa Kialbania ndilo jina la roboti,…

Read More

MPINA ATEULIWA NA TUME KUWANIA URAIS 2025

  Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi nakala ya fomu za uteuzi kwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT – WAZALENDO), Mhe. Luhaga Joelson…

Read More

PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More