Samia aahidi lami, kituo cha afya Morogoro vijijini

Morogoro. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kuboresha huduma za afya, barabara na kilimo kwa wananchi wa Morogoro vijijini endapo atachaguliwa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Katika eneo hilo, ameahidi ujenzi wa Barabara ya Bigwa – Kisaki kwa kiwango cha lami, ujenzi wa kituo kikubwa cha afya na…

Read More

Jinsi UNDP na Washirika wa Kimataifa Wanakabiliana na Sababu za Mizizi ya Misimamo mikali katika Mipaka ya Ghana – Masuala ya Ulimwenguni

Upatikanaji wa vifaa vilivyoboreshwa vya kusindika shea unasaidia wanawake kaskazini mwa Ghana kuboresha maisha na kuchangia katika jamii zenye amani na ustahimilivu. Credit: UNDP Ghana Maoni na Sifa Nutakor (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 3 (IPS) – Katika mipaka ya dunia ambayo ni tete ambapo ukosefu…

Read More

Straika Pamba alalamikiwa TFF | Mwanaspoti

BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa, raia wa Uganda taarifa mpya ni nyota huyo atafunguliwa mashtaka Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji (TFF), kwa sababu ya kupinga agizo la waajiri wake. Iko hivi. Kager iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu na kwenda Ligi ya Championship, ilifikia…

Read More

Offen Chikola ni mapambano tu

KIUNGO mshambuliaji wa Singida Black Stars, Offen Chikola amesema msimu huu upande wake ni wa kujifunza vitu vingi, huku akiwa amecheza kwa dakika 50 pekee dhidi ya Fountain Gate tangu ajiunge na timu hiyo kwa mkopo kipindi cha dirisha dogo Januari 2026 akitokea Yanga. Chikola aliyejiunga na Yanga msimu huu kwa mkataba wa miaka mitatu…

Read More

OMO: Kinachopaswa kufanya na Wazanzibari tutafanya wenyewe

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha shughuli zote zinazopaswa kufanywa na Wazanzibari, zinafanywa na wenyewe badala ya wageni. Othman maarufu ‘OMO’ amesema hatua hiyo, itasaidia  faida itakayopatikana kubakia katika mzunguko wa fedha Zanzibar, ili kupunguza ukali na ugumu wa maisha kwa Wazanzibari. Othman amesema…

Read More

Pingamizi la Lissu latupwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Lissu aliwasilisha pingamizi mahakamani hapo, Septemba 8, 2025 akihoji endapo  Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo, Septemba…

Read More