Samia kuifanya Kigoma kitovu cha biashara na nchi jirani

Kasulu. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwavutia zaidi wawekezaji kwenda kuwekeza Kigoma ili kuufanya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara katika ukanda wa Ziwa Tanganyika na nchi jirani za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Samia amebainisha hayo leo Septemba 13, 2025 wakati wa mkutano wake wa…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CCM CHATO KASKAZINI KUANZA NA SOKO KUU

Mgombea Ubunge kupitia CCM Jimbo la Chato Kaskazini akiomba kura kwa wananchi.Mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini, Mwl. Cornel Magembe,akiomba kura kwa wananchi wa Jimbo hilo. …….. MGOMBEA Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwl.Cornel Magembe, ameahidi kuanza na ujenzi wa soko kuu la wilaya ya Chato mkoani Geita iwapo atachakuguliwa…

Read More

Mabinti wa Dhahabu wapewa heshima kwa kutwaa Kombe la Dunia

BAADA ya kufanikisha historia isiyosahaulika, wachezaji wa kike wa Tanzania waliowakilisha taifa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia kwa watu wasio na makazi, wamepatiwa pongezi za heshima. Mashindano hayo yalifanyika Agosti mwaka huu nchini Norway, ambapo mabinti hao waliweka rekodi mpya ya kimataifa. Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kushiriki michuano hiyo kwa upande…

Read More

Kauli ya Mpina baada ya kupitishwa INEC

Dar es Salaam. Mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema ataanza na hotuba ya saa sita ili Watanzania waijue nchi yao kikamilifu, kabla ya kutumia siku 45 za kampeni zilizobakia. Amesema kinachofuata baada ya kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ni kuzindua ilani, kueleza maono ya mgombea na uzinduzi…

Read More

DP kuungana na CUF Uyole, mgombea awaita CCM na Chaumma

Mbeya. Wakati Chama cha Democratic Party (DP) kikitangaza kumuunga mkono mgombea ubunge Uyole, Ibrahim Mwakwama wa Chama cha Wananchi (CUF), mgombea huyo amesema matarajio yake ni vyama vyote kumnadi kutokana na kukubalika kwa jamii. DP walitarajia kufanya mkutano wake wa kumnadi mgombea urais, Abdul Mluya mkoani Mbeya, lakini ziara hiyo haitakuwapo kutokana na dharura, badala…

Read More

Dk Mwinyi ataja mambo matatu atakayoyapa msukumo akipewa ridhaa tena

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema katika kipindi kijacho cha uongozi, atajielekeza kwenye maeneo makuu matatu ambayo yataacha alama isiyofutika atakapomaliza muda wake madarakani. Akitaja vipaumbele hivyo, Dk Mwinyi amesema ni kuimarisha mshikamano wa kitaifa, kukuza uchumi, na kuboresha huduma za kijamii kwa manufaa ya Wazanzibari wote….

Read More

Yanga yabadilishiwa uwanja CAF | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua tayari kwa mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wao Simba, utakaopigwa Septemba 16 na habari njema kwa mashabiki wa timu hiyo kimataifa ni namna ambavyo wamerahisishiwa kazi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuikabili Wiliete Benguela ya Angola. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu wanatarajia kuanzia ugenini kwenye mchezo…

Read More

Bado Watatu – 27 | Mwanaspoti

Raisa alinieleza: moyo wangu ulikuwa unakwenda kasi kama saa! Nilikuwa nimemtolea macho nikimsikiliza. Sikuwa hata na la kupinga, kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.Raisa alipoona nipo kimya aliendelea kuniambia:“Sasa, mwenzangu, nawasha kitochi ili niione: kuna mtu alikorupuka na kuingia kwenye gari, akarudi nyuma na kuondoka. Haya niambie — ulikwenda kutupa nini usiku ule? Hata huogopi!”Kumbe —…

Read More