Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar

WAFANYAKAZI Wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give to Gain” Tukio hili lilijumuisha tafakuri za Uwezeshaji, kushirikishana maarifa, kutambua wafanyakazi walio hudumu muda mrefu na liliheshimiwa kwa uwepo wa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bi. Diana Mwakitwange, kama Mgeni Rasmi. Kampuni ya Sukari Kilombero…

Read More

Happyness alivyoyaepuka mateso ya ndoa na kuangukia udereva

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo wanawake katika ndoa, ikiwemo kuachika, zikawafanya waone dunia imewatupa na hawana namna tena ya kuendelea kuishi, lakini hali haikuwa hivyo kwa Happyness Aloyce (35), dereva wa mabasi ya mwendokasi, aliyeamua kugeuza maumivu yake kuwa nguvu ya kusonga mbele. Katika mahojiano yake na Mwananchi, Happyness anaeleza safari…

Read More

Twiga Stars kurejea leo | Mwanaspoti

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars, kinarejea leo kutokea Falme za Kiarabu kilipokita kambi kwa ajili ya kujiandaa na Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026. Twiga Stars ilikuwa UAE ikishiriki mashindano ya kujipima nguvu ya Pink Ladies Cup ambayo yalikuwa ni maandalizi ya WAFCON 2026 yaliyotarajiwa kuanza…

Read More

McCarthy: Kesho yetu ni bora zaidi

IKISHIRIKI kwa mara ya kwanza michuano ya CHAN 2024, timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars imeishia hatua ya robo fainali huku kocha wa kikosi hicho, Benni McCarthy akisema anaona mambo mazuri zaidi siku zijazo. Kenya iliyokuwa mwenyeji wa michuano hiyo kwa kushirikiana na Tanzania na Uganda, imepoteza mchezo wa robo fainali juzi Ijumaa kwa…

Read More

ZFF yaleta neema kwa waamuzi

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limesema lina mpango wa kuboresha maslahi ya waamuzi ili kuongeza ubora wa usimamizi wa michezo ya soka visiwani hapa. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango na Fedha (ZFF), Awadh Maulid Mwita wakati akizungumza na waamuzi kwenye Ofisi za Shirikisho hilo zilizopo Mbuyu Mnene, Unguja. Mwenyekiti huyo,…

Read More

Shigongo Aungana na Wananchi Buchosa Kumuaga Juma Maanda

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa pole kwa familia ya marehemu Juma Maanda aliyefariki dunia, alipofika kuwafariji ndugu na jamaa pamoja na kuhudhuria maziko yaliyofanyika katika Kijiji cha Bupandwa Village, Kata ya Bupandwa Ward ndani ya Jimbo la Buchosa Constituency. Akizungumza katika maziko hayo, Shigongo aliwaomba…

Read More