MAOMBI 131 YA WAFUNGWA KUJADILIWA MWANZA

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini (CGP) Jeremiah Yoram Katungu, jioni ya leo tarehe 16 Oktoba 2024, amempokea Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Taifa, Balozi Khamis Kagasheki, pamoja na aliyekuwa Kamishna mstaafu wa Jeshi la Magereza, Juma Malewa. Ujumbe wa Bodi hiyo unatarajia kufanya kikao katika Mkoa wa Mwanza kujadili maombi ya wafungwa 131,…

Read More

VICTORY ATTORNEYS LAUNCH 5TH EDITION OF NATIONAL MOOT COURT COMPETITION ON DIGITAL ASSET TAXATION

  The Victory Attorneys National Moot Court Committee proudly announces the 5th Edition of the Victory Attorneys National Moot Court Competition 2025, themed “Taxation of Digital Assets: Domestic, Regional and International Regulatory Frameworks.” This year’s competition will bring together law students from universities across Tanzania to explore the emerging legal and policy challenges surrounding digital…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa tuhuma za kumuua mkewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imemuachia huru Baraka Shija, aliyekuwa ameshtakiwa kwa kosa la kumuua mkewe, Grace Daudi baada upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa na kuacha mashaka yaliyompa faida mshitakiwa. Hukumu hiyo ambayo imepatikana katika mtandao wa Mahakama jana, imetolewa Jumanne Juni 25, 2024 na Jaji Kelvin Mhina wa Mahakama hiyo, aliyekuwa akisikiliza…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Wazee, vijana tuongee lugha moja

Waafrika tumepokea tamaduni za nje kwa namna mbalimbali. Wakati wa utumwa hali ilikuwa mbaya zaidi kwa sababu hakukuwa na namna. Watu walilazimishwa kukubali au kuuawa. Afadhali kidogo wakati wa ukoloni ambapo aliyekubali kubadilika alichukuliwa kuwa bora zaidi ya yule aliyebisha. Namna zingine zilizoathiri utamaduni wetu ni biashara na utandawazi. Lakini hizi zilikuwa na hiyari ya…

Read More

Umeme jua unavyoweza kumbeba mkulima wa kilimo cha umwagiliaji

Dar es Salaam. Katika jitihada za kukabiliana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi na gharama za uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, matumizi ya nishati ya umeme jua hasa kwenye umwagiliaji yanatazamwa kama suluhisho. Teknolojia hiyo sio tu inapunguza gharama za kilimo, bali inachangia kuongeza uzalishaji wa mazao, hasa katika maeneo yenye ukame na upatikanaji mdogo…

Read More

Sababu Papa Francis kuzikwa tofauti na wenzake 91

Kwa mujibu wa taratibu za Kanisa Katoliki mazishi ya Papa hufanyika siku ya 4 hadi 6 baada ya kifo chake. Sehemu kubwa ya maziko ya papa huwa anayapanga mwenyewe na kumwachia Kardinali Carmelengo jukumu la kutekeleza. Baada ya kufa mwili hukabidhiwa familia ya Signoracci kwa ajili ya kuandaa mwili kwa ajili ya maziko. Mwili wa…

Read More

Mbaroni akidaiwa kumchoma kisu mke mwenza

Unguja. Maimuna Suleiman Said (38) mkazi wa Chukwani amejeruhiwa kwa kukatwa na kisu mwilini na mke mwenza kwa madai ya wivu. Akizungumza leo Februari 12, 2025 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi, Richard Mchonvu amesema tukio hilo lilitokea Februari 9, 2025 saa saba mchana huko Chukwani, ambapo Khadija Ali Shaaban (34) ambaye…

Read More