
Aungana na familia miaka 17 tangu alipotoweka
Miaka 17 iliyopita, Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Nakuru, nchini Kenya imekuwa zaidi ya kituo cha matibabu kwa Mtanzania, Selina Paul. Imekuwa ndiyo makazi pekee aliyoyajua kwa takribani miongo miwili. Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Daily Nation, Selina alilazwa hospitalini hapo Machi, 2008 baada ya kugunduliwa kuwa na ugonjwa wa schizophrenia (ugonjwa…