Madagascar, Sudan mmetupa somo CHAN

KIJIWE kilipoa sana baada ya Taifa Stars kutolewa na Morocco katika robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 ambayo kesho Jumamosi yatafikia tamati. Hatuwezi kuchangamka na huku timu ambayo inasimama kama alama ya kutuunganisha Watanzania na mwenyeji, kuaga katika ardhi ya nyumbani. CHAN imetufunza mengi na miongoni mwa masomo tumeyapata kwa timu mbili za Madagascar…

Read More

Chadema yamtilia shaka Mwakilishi UN

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha wasiwasi wa kuwepo kwa mgongano wa masilahi dhidi ya Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (UN), Parfait Onanga-Anyanga, aliyetumwa kuzungumza na makundi mbalimbali nchini kuhusu matukio ya Oktoba 29. Onanga-Anyanga, amefanya ziara hiyo Machi 8 hadi 12, mwaka huu na kuzungumza na wadau mbalimbali, wakiwamo viongozi…

Read More

Mbunge aeleza chanzo cha ajali yake msafara wa PM

Moshi. Mbunge wa Moshi Mjini (CCM), Ibrahim Shayo amesema ajali aliyopata Februari 18, 2026 haikuhusisha mkono wa mtu kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai. Shayo amesema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa tairi la mbele la gari walilokuwa wakisafiria, hali iliyosababisha dereva kushindwa kulimudu kutokana na gari hilo kuwa katika mwendo mkali. Ameyasema…

Read More

Opah atimkia Ligi Kuu Hispania

MSHAMBULIAJI na nahodha wa Timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars Opah Clement ametambulishwa kwenye kikosi cha SD Eibar inayoshiriki Ligi Kuu Hispania maarufu Liga F. Ametambulishwa kikosini hapo akitokea FC Juarez ya Mexico aliyoitumikia kwa msimu mmoja akicheza mechi sita kati bila ya kufunga bao wala asisti. Nyota huyo wa kimaaifa wa Tanzania anakuwa…

Read More

CCM Mjini Magharibi yaahidi kuandika historia

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Magharibi, Talib Ali Talib amesema mwaka huu utakuwa wa kihistoria kwa sababu utashuhudia kumalizika kwa upinzani Zanzibar, hatua itakayosaidia kuharakisha maendeleo ya nchi. Akizungumza leo Jumapili Septemba 21, 2025, wakati wa uzinduzi wa kampeni za Jimbo la Kwahani, Talib amesema jimbo hilo litakuwa kitovu cha…

Read More

Maandalizi ya sikukuu yapamba moto, bei za bidhaa zachangamka

Dar/Mikoani. Zikiwa zimebaki siku kadhaa kabla za sikukuu ya Eid al-Fitr na Pasaka, hekaheka za maandalizi zimeanza kuonekana wazi katika maeneo mbalimbali nchini ikiwemo soko maarufu la Kariakoo jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya watu wameanza kumiminika madukani kununua mahitaji ya sikukuu, hususan nguo na viatu kwa ajili ya watoto na familia zao. Wazazi…

Read More

Mapya yaibuka matokeo ya urais Tanzania

Arusha. Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imebaini kuwepo kwa upungufu katika Katiba ya Tanzania unaozuia kupingwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, ikisema kifungu kinachokataza hatua hiyo kinakiuka haki za binadamu. Katika hukumu iliyotolewa leo Ijumaa, Machi 6, 2026, kwenye kesi ya Ado Shaibu na wengine dhidi ya Jamhuri…

Read More