Msajili wa Hazina aipa kongole TAZAMA

*Kwa kutoa Gawio kwa Serikali Sh. Bilioni 4.35 Na Mwandishi Wetu MSAJILI wa Hazina Nehemia Mchechu amelipongeza Shirika linalosimamia Bomba la Mafuta kutoka Tanzania kwenda Zambia (TAZAMA). kwa kutoa gawio la Sh. Bilioni 4.35 kwa Serikali ya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni takribani miaka 15 iliyopita tanguilipota gawio la mwisho kwa Serikali….

Read More

TRA mkoa wa Iringa yawapongeza walipakodi wake

Mamlaka ya Mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Imeendelea kudumisha mahusiano Mazuri na kuwashukuru wafanyabiashara wake Mkoani hapa kwa kuendelea kutimiza wajibu wao wa kulipa Kodi kwa wakati Shukrani hizo zinetolewa leo baada ya Meneja wa Mamlaka ya mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Bw. Peter Jackson akiwa pia ameambatana na meneja msaidizi Bw. Gwamaka…

Read More

CRDB YAKABIDHI MASHINE YA KUCHAPISHIA MITIHANI LUDEWA

Taasisi ya kibenki ya CRDB imekabidhi mashine ya kuchapishia mitihani katika shule y sekondari Ludewa kwanza Ili kuweza kurahisisha huduma ya utoaji elimu na kuwawezesha wanafunzi kupata mazoezi ya mitihani ya kutosha. Uwasilishwaji wa mashine hiyo ni matokeo ya maombi ya Mbunge wa Jimbo la Ludewa Joseph Kamonga katika benki hiyo ambapo akiwasilisha changamoto ya…

Read More

Hatua tano za kukamilisha Dira ya Taifa ya Maendeleo

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametangaza hatua muhimu zinazofuata katika mchakato wa kukamilisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 baada ya uzinduzi wa Rasimu ya Kwanza ya Dira hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Uzinduzi huo unafanyika Zanzibar tarehe 11 Desemba 2024, ukiongozwa na Rais wa…

Read More

Mastaa wanne wapishana Yanga | Mwanaspoti

KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi. Hiyo imewapa kiburi cha kuanza harakati za kufumua kikosi na kupanga hesabu mpya tayari kwa michuano hiyo mikubwa inayotabiriwa kuwa na presha kubwa kwao msimu ujao. Mwanaspoti linajua, mastaa wanne wakiwamo viungo wawili Salum Abubakar ‘Sure Boy’…

Read More

Cheza sloti ya Pinata Loca uwe tajiri

  BARA la Amerika ya Kusini lina nchi nyingi, kuna Brazil, Argentina ya Messi, Uruguay, Chile lakini kuna nchi moja inaitwa Mexico ina balaa sana. Balaa la nchi hiyo sio tu kwenye Biashara kama wengi wanavyoifahamu, lakini aina ya watu wanaoishi huku kama yule jamaa maarufu Pablo Escoba na wengine, kuna utamaduni wao mzuri tu….

Read More

FOREST ROCK KASINO KUSANYA MAMILIONI YA MERIDIANBET

Sloti ya Forest Rock Kasino ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua…

Read More