SERIKALI YAFANYA UTAFITI WA HALI YA UPATIKANAJI NA MATUMIZI YA NISHATI NCHINI
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inafanya utafiti wa tatu wa hali ya upatikanaji na matumizi ya nishati katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Hayo yameelezwa Januari 17, 2025 Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Mipango na Utafiti kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Godfrey Chibulunje. “Huu…