Kaya 1,800 zapewa miche ya miti ya matunda, kokoa bure

Kilombero. Jumla ya kaya 1,800 kutoka vijiji viwili vya Kata ya Mofu, wilayani Kilombero, zinatarajiwa kunufaika kiuchumi na kijamii baada ya kupatiwa miche ya bure ya matunda na kokoa kupitia Mradi wa Mazingira Plus, unaoratibiwa na Taasisi ya Mofu Rothenburg. Hatua hiyo inalenga kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira sambamba na kuinua kipato cha wananchi wa…

Read More

Mwendokasi Mbagala kufanya kazi sambamba na daladala

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kuanza rasmi kwa huduma ya mabasi yaendayo haraka (BRT) barabara ya Mbagala, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imesema daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo zitaendelea kufanya safari zake kama kawaida. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano Agosti 27, 2025, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti…

Read More

Watumishi Mkinga waonywa lugha chafu wanapotoa huduma

Mkinga. Watumishi wa Serikali wilayani Mkinga, mkoani Tanga, wameonywa kuepuka matumizi ya lugha za matusi au dharau wanapotoa huduma kwa wananchi, kwani tabia hiyo inaweza kuathiri utoaji wa huduma bora katika ofisi za umma. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Omari Mashaka, wakati wa mafunzo elekezi kwa watumishi wa…

Read More

Siri ufunguzi wa Soko la Kariakoo kupigwa danadana

Dar es Salaam. Imekuwa ni  ahadi hewa  ya kufunguliwa soko la Kariakoo, lililokuwa katika ukarabati kwa miaka mitatu tangu lilipoungua na kuteketeza mali zote za wafanyabiashara. Soko hilo lililoungua mwaka 2021 ili kulijenga upya, Serikali ilitoa Sh28 bilioni kwa ajili ya  ujenzi huo . Katika kipindi chote hicho wafanyabiashara waliokuwa wakifanya shughuli zao sokoni hapo, walihamishiwa…

Read More

Mhadhiri aliyeshtakiwa kwa madai ya rushwa ya ngono kizimbani tena

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Tabora, imebatilisha uamuzi wa Mahakama ya Wilaya Tabora iliyomuachia huru, Michael Mgongo, aliyeshtakiwa kwa kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi wake kwa lengo la kumpendelea katika mitihani. Mahakama imebatilisha uamuzi uliofikiwa na mahakama ya chini ambayo ilimuachia huru Mgongo, mhadhiri msaidizi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) baada…

Read More

Upelelezi bado shauri la wizi Benki ya Equity

Dar es Salaam. Washtakiwa 11 wanaokabiliwa na mashtaka 20, yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia zaidi ya Sh5.7 bilioni kwa udanganyifu mali ya Benki ya Equity Tanzania Limited, wataendelea kusalia rumande hadi Septemba 9, 2025 kesi itakapotajwa. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa shauri hilo la uhujumu uchumi kutokamilika, huku mashtaka ya kutakatisha…

Read More

Azam kunogesha Mbeya City Day Sokoine

Wakati Mbeya City ikiendelea na maandalizi ya tamasha lake la ‘Mbeya City Day’, timu hiyo imesema inatarajia kujipima nguvu dhidi ya Azam FC ili kunogesha tukio hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 9 mwaka huu. Kabla ya tukio hilo, timu hiyo itaanza kushiriki shughuli za kijamii ikiwa ni kuchangia damu kwenye Hospitali ya Igawilo, kutembelea watoto kwenye…

Read More