Washindi Wajinyakulia Televisheni, Simu na Zawadi Nyingine Katika Minada ya PIKU Afrika
Matukio mbalimbali washidni wakikabidhiwa zawadi zao leo Septemba 13, 2025 jijini Dar Esalaam. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa PIKU Afrika, Barnabas Mbunda kulia waliokaa akizungumza wakati wa kuwakabidhi zawadi washindi wa awamu ya tatu jijini Dar es Salaam leo Septemba 13, 2025. JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linalojihusisha na uendeshaji wa minada ya…