Mgombea urais UDP aahidi majisafi, elimu bure hadi chuo kikuu

Geita. Mgombea urais wa Chama cha United Democratic Party (UDP),  Saumu Rashid amesema chama chake kimejipanga kutatua changamoto kubwa zinazowakabili Watanzania kwa kuhakikisha upatikanaji wa majisafi na salama, elimu bure hadi chuo kikuu, huduma za afya nafuu na uwekezaji wenye tija katika rasilimali za Taifa. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

Mikoa 13 bila mgombea mwanamke CCM

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa 2025, utakuwa na uwakilishi wa wanawake 34 wanaogombea ubunge majimboni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) huku katika mikoa 13 chama hicho kikiteuka wanaume pekee. Ingawa idadi hiyo ya wanawake walioteuliwa na chama hicho kugombea ubunge majimboni imeongezeka ukilinganisha na ile ya mwaka 2020, wadau wanasema bado hatua iliyopigwa hairidhishi…

Read More

Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…

Read More

Usafiri kikwazo ufuatiliaji elimu, mwarobaini watolewa

Unguja. Licha ya maendeleo ya elimu kuanza kuimarika Zanzibar, imebainika kuwa ukosefu wa usafiri kwa maofisa elimu wa mikoa na wilaya unashusha ufanisi, kutokana na kushindwa kufuatilia utendaji wa shule, hasa zile zilizopo maeneo ya vijijini. Kutokana na hali hiyo, Serikali imenunua pikipiki 15 kwa ajili ya maofisa wa wilaya na mikoa yote ya Zanzibar,…

Read More