Maana ya ‘SANDA’ iliyopo jezi ya Simba SC

SABABU ya jezi za Simba kuandikwa neno Sanda zimeelezwa,wahusika wamewatoa  hofu waliozitafsiri vinginevyo, kutambua kwamba ni ubunifu walioamua kuja nao msimu ujao. Alipotafutwa Yusuph Yenga, ambaye ni msemaji wa Sandaland alisema walikaa chini na kuona msimu ujao waje kivingine na jina la Sanda ni la Sandaland mwenyewe, hivyo limefupishwa kwenye jezi. “Kuna mchakato mrefu unazingatiwa…

Read More

Bei ya petroli yashuka, dizeli ikiongezeka

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeshuka mwezi huu Julai katika mikoa inayochukua mafuta hayo Bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ikilinganishwa na Juni, huku dizeli ikiongezeka kidogo. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha kuwa bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Julai 3, 2024 yale…

Read More

INEC kukutana na wadau wa uchaguzi Mwanza,Shinyanga

 Na Mwandishi Wetu, Mwanza Wadau wa uchaguzi kutoka mikoa ya Mwanza na Shinyanga kesho watakutana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kuzungumzia Uboreshaji wa Darftari la Kudumu la Mpiga Kura katika mikoa yao wakati wa mzunguko wa tatu wa uboreshaji. Akizungumzia maandalizi ya Mkutano huo, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya…

Read More

Nderemo na vifijo vyatawala Samia akilifunga Bunge

Dodoma. Ni hotuba iliyosheheni utekelezaji wa sekta mbalimbali. Ndivyo unavyoweza kusema kuhusu hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 ambalo litavunjwa rasmi Agosti 3, 2025. Hotuba ya Rais Samia ya jumla ya saa 2 na dakika 47 ndani ya ukumbi wa Bunge ilikuwa ikikatishwa mara nyingi kwa makofi ya…

Read More

Zawadi za bibi harusi zinavyomtia unyonge mume, kuyumbisha ndoa

Mliowahi kuhudhuria au kuona sherehe mbalimbali za harusi kwenye mitandao ya kijamii, wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wamekuwa wakitoa zawadi kubwa mbalimbali kwa maharusi. Hii imeenda mbali zaidi kwa wanawake, ambao zamani walikuwa wakipewa vyombo na vitu vingine vya nyumbani, lakini nao sasa wanapewa zawadi za magari, nyumba, viwanja na fedha za kuanzia maisha. Hata…

Read More

ULEGA AVUNJA MKATABA WA MKANDARASI MZEMBE

 :::::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza kuvunjwa kwa mkataba wa ujenzi wa barabara Mkoani Tanga baada ya Mkandarasi kutoka China kushindwa kutimiza masharti ya mkataba.  Mkandarasi huyo, kampuni ya China Railway 15 Bureua Group anayejenga barabara ya Tanga – Pangani – Mkwaja – Bagamoyo (Makurunge) sehemu ya Tungamaa – Mkwaja – Mkange (km 95.2)…

Read More