Nyambui ashauri mambo matatu kukuza riadha

‎DAMIAN MASYENEN‎‎KUENDELEA kusuasua kwa riadha nchini kumemuibua mwanariadha mkongwe na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui ambaye ameshauri mambo matatu yatakayoupa hadhi mchezo huo. Nyambui ameyataja mambo hayo kuwa ni kupata wadhamini, mbio zinazoandaliwa katika maeneo mbalimbali nchini kuwa na maandalizi bora yatakayovutia wanariadha kushiriki pamoja na wadau na wanariadha kujitokeza kwa wingi pale mbio…

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More

Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More

Lusajo asaka rekodi mpya Tabora United

BAADA ya kushindwa kufanya vizuri Dodoma Jiji na kutua Tabora United mshambuliaji,  Reliants Lusajo ametaja sababu iliyomnyima rekodi ya upachikaji mabao msimu uliopita na kuahidi neema msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Lusajo alisema hakuwa na msimu mzuri msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara lakini anamshukuru Mungu msimu huu yupo fiti…

Read More

Kipa Yanga apata chimbo | Mwanaspoti

KIPA wa zamani wa Yanga Princess, Adrophina Samson amejiunga na Ruangwa Queens kwa mkataba wa miaka miwili. Timu hiyo imepanda Ligi Kuu ya Wanawake Bara msimu huu. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess misimu miwili mfululizo na kipindi hicho hakupata nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza tangu kocha Mzambia Charles Haalubono na sasa Edna Lema…

Read More

MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI SERIKALINI- DKT. BITEKO

Mwanza. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko, amehitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza lililofanyika Jijini Mwanza akiweka mkazo kuwa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha kuwa kila taasisi inatimiza wajibu wake kwa ufanisi na hivyo kufikisha huduma bora kwa wananchi. Kutokana na…

Read More

Kombe lampa mzuka kocha Pamba Jiji

SAA chache tangu Pamba Jiji itwae kombe ikiwa Kenya mbele ya wenyeji wao, Shabana FC, kocha mkuu wa timu hiyo, Francis Baraza amesema kikosi hicho kipo tayari kwa mechi ya kwanza wa Ligi dhidi ya Namungo itakayopigwa Septemba 18. Pamba Jiji iliyotwaa taji hilo kwa penalti 5-4 baada ya sare ya mabao 2-2 itaanza Ligi…

Read More

Maximo, Gamondi hapatoshi Kagame | Mwanaspoti

NUSU fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame inachezwa leo baada ya kupigwa dochi kwa siku moja kupisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa kupigwa mechi mbili kwenye Uwanja wa KMC, huku macho yakitupiwa pambano la KMC na Singida Black Stars. Mechi hiyo inawakutanisha makocha wenye heshima kubwa nchini, Marcio Maximo na Miguel Gamondi…

Read More