Aungana na familia miaka 17 tangu alipotoweka

Miaka 17 iliyopita, Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Nakuru, nchini Kenya imekuwa zaidi ya kituo cha matibabu kwa Mtanzania, Selina Paul. Imekuwa ndiyo makazi pekee aliyoyajua kwa takribani miongo miwili. Kwa mujibu wa mtandao wa gazeti la Daily Nation, Selina alilazwa hospitalini hapo Machi, 2008 baada ya kugunduliwa kuwa na ugonjwa wa schizophrenia (ugonjwa…

Read More

SERIKALI KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA MIUNDOMBINU NA UNUNUZI WA VIFAA VYA KISASA UMEONGEZA TIJA NA UFANISI WA BANDARI -TPA

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema maamuzi ya Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika miundombinu na ununuzi wa vifaa vya kisasa pamoja na kushirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa Bandari nchini, yamekuwa na tija kwa kuongeza ufanisi na uwezo wa Bandari ya Dar es Salaam, kuhudumia tani milioni 27.7 kwa mwaka wa fedha wa…

Read More

Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize

MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…

Read More

Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Homera Achukua Fomu ya ugombea Ubunge katika Jimbo la Namtumbo kwa tiketi ya CCM, Atangaza Kuvunjwa Makundi Yaliyokuwepo

Na Mwandishi Maalum, Namtumbo ALIYEWAHI kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt Juma Zuber Homera,amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi na kutangaza rasmi kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama hicho. Akizungumza na mamia ya Wanachama…

Read More

Mwabukusi: Hoja ya Chadema kuhusu ‘reforms’ ya kweli huwezi kuipuuza

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema yapo maeneo muhimu katika shughuli ya kuelekea uchaguzi mkuu yaliyotakiwa kufanyiwa marekebisho kutokana na changamoto zinazolalamikiwa, lakini hayakuguswa kufanyiwa marekebisho.  Msingi wa kuyasema hayo unatokana na majadiliano na mijadala yaliyofanywa kati ya TLS na wadau mbalimbali ikiwemo asasi za kiraia juu ya kuelekea ushiriki wa…

Read More

Opah atimkia Ligi Kuu Hispania

MSHAMBULIAJI na nahodha wa Timu ya taifa ya Wanawake, Twiga Stars Opah Clement ametambulishwa kwenye kikosi cha SD Eibar inayoshiriki Ligi Kuu Hispania maarufu Liga F. Ametambulishwa kikosini hapo akitokea FC Juarez ya Mexico aliyoitumikia kwa msimu mmoja akicheza mechi sita kati bila ya kufunga bao wala asisti. Nyota huyo wa kimaaifa wa Tanzania anakuwa…

Read More