Migogoro ya ardhi na mirathi inavyowatesa wananchi

Tanga. Imeelezwa kuwa, migogoro ya ardhi na mirathi imeendelea kuwa chanzo cha malalamiko kwa wananchi nchini, hali iliyosababisha maelfu ya watu kutafuta ushauri kupitia kliniki za sheria zinazoendeshwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kupitia kliniki hizo, mawakili hushughulikia mashauri mbalimbali kwa kutoa ushauri wa kisheria na kuelekeza hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili wananchi wapate…

Read More

TUONGEE KIUME: Mwanamume anatetea na kubadili maisha ya watu

Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa barabarani naendesha gari. Mara nikafika sehemu yenye barabara nyembamba. Mbele yangu upande wa kulia kuna gari inakuja, na upande wa kushoto kuna mkokoteni unakwenda ninapoelekea. Ikabidi nisimame kusubiri mwenye mkokoteni asogee mbele ili niweze kupita vizuri kwa usalama. Lakini ghafla nikasikia, pipiiiiii!!! Honi kibao. Kuangalia nyuma naona ni bodaboda mwenye haraka…

Read More

Vyoo vya kukaa raha, usasa lakini hatari

Katika enzi hii ya maendeleo ya kasi, ambapo miji inakua na teknolojia inachanja mbuga, vyoo vya kisasa vya kukaa vimeingia kwa kishindo katika nyumba nyingi za mijini. Vinang’aa, vinaonekana vya kuvutia, na vinatoa hali ya starehe isiyo na kifani. Kwa hakika ni alama ya maisha ya kisasa yenye hadhi. Hata hivyo, chini ya uso huo…

Read More

ICU ni Nini? Ukweli Wote Kuhusu Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Watu wengi hawajui mgonjwa wao akipelekwa ICU na kujiuliza kuna nini huko? ICU ni Kitengo Maalum cha Wagonjwa Mahututi. Kinarejelea mahali ambapo matibabu maalum hutolewa kwa wagonjwa ambao afya zao zimetetereka kabisa na wanaohitaji uangalizi na usaidizi maalum wa karibu na madaktari. Inatoa huduma muhimu na msaada wa maisha kwa wagonjwa waliozidiwa kiafya au waliojeruhiwa….

Read More

DK.SAMIA ATAJA MAFANIKIO LUKUKI UTEKELEZAJI ILANI, AAHIDI MAKUBWA ZAIDI IRAMBA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Singida MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga katika mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu ambapo amehutubia maelfu ya wananchi wa Iramba mkoani Singida. Akizungumza leo Septemba 10,2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani Iramba mkoani Singida, Dk. Samia amesema  baada ya kutekeleza Ilani…

Read More

Mavunde ataka viongozi waombewe | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewataka Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. ‎Uchaguzi mkuu wa kuwapata Rais, wabunge na madiwani unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. ‎Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 24, 2025 jijini Dodoma kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Petro (St….

Read More

WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI

 Wananchi wanaendelea kuelimishwa  kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi mbalimbali kubadilika na kuacha kutumia moto wakati wa kuvuna asali kwani moto unaharibu mizinga, unaua…

Read More