RC Sendiga Aitaka Jamii Kulinda Haki za Wasichana na Wanawake, Manyara
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kimkoa tarehe 8 Machi 2026 katika Wilaya ya Simanjiro, huku Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Queen Sendiga, akitoa wito kwa jamii kuhakikisha haki za wanawake na wasichana zinalindwa na kuheshimiwa. Akizungumza na waandishi wa habari Machi 3, 2026 ofisini kwake mjini Babati,…