RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TANESCO SABASABA.

-Mkurugenzi Mtendaji Twange amkabidhi Jiko Janja -Ni katika kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Mwinyi leo tarehe 07 Julai, 2025 ametembelea Banda la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam…

Read More

Chuku ajifunga mwaka Tabora United

BAADA ya kuikosoa Ligi Kuu kwa msimu mmoja na nusu, beki Salum Chuku amerejea baada ya kusaini mwaka mmoja kuitumikia Tabora United huku akiwa tayari kwa vita ya namba dhidi ya mastaa wa nje kwenye timu hiyo. Chuku ambaye anacheza beki wa kushoto na winga, akitamba na Toto Africans, Mbeya Kwanza, Nkana Reds, KMC na…

Read More

Kulinda upatikanaji wa maji safi wakati vitisho vya hali ya hewa vinaongezeka – maswala ya ulimwengu

“Vituo vya huduma ya afya ni mahali ambapo walio hatarini hutafuta uponyaji. Bado, bila maji ya kutosha, usafi wa mazingira na usafi, kwa watu wengi, utunzaji unaotarajiwa unaweza kuwa mbaya,” alisema Dk. Hans Kluge, Shirika la Afya Ulimwenguni ((WHO) Mkurugenzi wa mkoa wa Ulaya. Akisisitiza kwamba huduma ya afya “inajaribiwa kama hapo awali”, Dk. Kluge…

Read More

Mgombea Bodi ya Ligi aachia ngazi TFF kwa lazima

MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi (TPLB), Hosea Lugano amejiuzulu nafasi zote alizokuwa anazishikilia TFF. Hosea amefanya uamuzi huo muda mchache baada ya Kamati ya Uchaguzi ya TFF, kumuandikia barua ya kujiuzulu nafasi zake zote alizonazo ili kuepusha mgongano wa maslahi. “Leo nimepokea barua kutoka Kamati ya TFF ambayo jana walikaa kikao…

Read More

Dili la Badru lakwama Songea United

ALIYEKUWA kocha wa timu za vijana za Azam FC, Mohammed Badru amesema dili lake kutua Songea United limeota mbawa na badala yake imembidi kutoa sapoti kwa viongozi wa chama hilo kutokana na heshima yao kwake, hivyo ilimbidi kuandaa programu mbalimbali za mazoezi kama sehemu ya maandalizi yao kwa ajili ya msimu ujao wa Championship. Badru…

Read More

Utupaji taka ovyo wawaibua viongozi Maswa, watoa onyo

Simiyu. Hali ya utupaji taka ovyo imeendelea kuutia doa Mji wa Maswa mkoani Simiyu, hali inayozua taharuki miongoni mwa wakazi wake huku viongozi wa Serikali wakihofia madhara ya kiafya na kuharibika kwa mandhari ya mji huo. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Juni 8, 2025, baadhi ya wakazi wa Maswa wameelezea kukerwa na ongezeko la…

Read More

Gamondi apiga marufuku shamrashamra kambini

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi amecharuka na kupiga marufuku shamshamra za ubingwa huku akitoa masharti mapya ya kufuatwa ili kufikia malengo ya klabu. Gamondi amewasisitiza mastaa na viongozi wasahau kabisa kwamba wameshatwaa taji hilo la tatu mfululizo kwani wakizembea kidogo wanatoka kwenye mstari na watatoa faida kwa wengine. Yanga ilibeba ubingwa baada ya kuifunga Mtibwa…

Read More