Riadha inalipa…Simbu ajazwa mamilioni, nyumba
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemkabidhi mwanariadha Alphonce Simbu hundi ya Sh20 milioni kwa kuitangaza vyema Tanzania baada ya kushinda medali ya dhahabu katika michuano ya Mbio za Riadha za Dunia zilizofanyika hivi karibuni, jijini Tokyo Japan huku akiahidiwa kupewa nyumba na Rais Samia Suluhu Hassan. Fedha hizo zilizotolewa na serikali kama ‘asante’ kwa…