Taasisi za umma, sekta binasi Musoma zapewa siku 40

Musoma. Mkuu wa Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, Juma Chikoka amezitaka taasisi za umma na binfasi zinazotoa huduma ya chakula kwa watu kunzia 100 kuendelea kuhakikisha wanaanza kutumia nishati safi ya kupikia kabla ya Desemba 31, 2024. Chikoka ametoa wito huo baada ya kubaini taasisi nyingi wilayani humo bado hazijaanza mchakato wa kuhama kutoka katika matumizi…

Read More

Maeneo muhimu kwa hali ya hewa ya ulimwengu yanatishiwa na miradi ya uchumi – maswala ya ulimwengu

François Kamate na Civicus Ijumaa, Januari 31, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Jan 31 (IPS) – Civicus anajadili harakati dhidi ya minada ya mafuta katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na François Kamate, mwanzilishi na mratibu wa harakati za kujitolea za Mazingira za Vijana za Kutokomeza Uasi Rutshuru. François Kamatein Oktoba 2024, wanaharakati…

Read More

Mauaji harusini yamtupa jela miaka 12

Moshi. Mahakama Kuu kanda ya Moshi, imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka 12 jela, mkazi wa Masama Nguni Wilaya ya Hai, Vicent Timoth (25), kwa kosa la kumuua mmoja wa wageni waliohudhuria harusi ya mdogo wake. Awali, Timoth alishitakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia chini ya kifungu 196 na 197 cha kanuni ya adhabu, lakini…

Read More

CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA

  Mkurugenzi wa Shirika la Community Transformation Alliance-CTA, Alistidia John Kamugisha (kushoto) akifungua semina iliyoandaliwa na CTA pamoja na Shirika la Wanawake Waelimishaji Afrika, Tawi la Tanzania (FAWETz) iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike kwa mwaka 2025. Sehemu ya mabinti wakiwa kwenye semina hiyo ya kumjengea…

Read More

Sheikh Ponda atoa sababu kujiunga na ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ametangaza kujiunga na chama cha ACT-Wazaendo akisema ameona umuhimu wa kuchangia nguvu katika operesheni ya ACT Wazalendo ya ‘Linda Demokrasia’, inayolenga kurejesha haki, uwazi na usawa katika michakato ya uchaguzi nchini Tanzania. Amesema anajiunga na chama hicho lengo ni kuhakikisha:…

Read More

Sh485 milioni zanufaisha vikundi 15

Mbeya. Mbunge wa Mbeya Vijijini, Patali Shida amekabidhi mkopo wa Sh485 milioni uliotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa vikundi 15 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Hatua hiyo imetajwa kuwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali kuwezesha makundi hayo kwa lengo la kuanzisha miradi endelevu ya kujikwamua kiuchumi. Shida amekabidhi mkopo huo…

Read More