Hersi: Yanga inakwenda kutimiza ndoto ya watoto Bongo

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema gharama za ada kwa Yanga Soccer School itategemea na maeneo ili kuhakikisha ndoto ya kila mtoto kuwa mchezaji inatimia. Leo, Yanga imezindua Yanga Soccer School kwa lengo la kuendeleza vipaji vya watoto, ambapo mgeni rasmi katika shughuli hiyo alikuwa kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini,…

Read More

Kila bao, Mpanzu anampa kocha laki

ELLIE Mpanzu amewafunga mdomo wale wote waliokuwa wakimpopoa wakati alipoanza kuitumikia Simba iliyomsajili kupitia dirisha dogo, huku mabao aliyoanza kuyafunga akiwa na kikosi hicho yameanza kulipa kwa kocha binafsi wa mazoezi wa kiungo mshambuliaji huyo kutoka DR Congo.  Nyota huyo anayemudu kucheza wingi zote mbili, aliwekeana ahadi na kocha Mohamed Mrishona ‘Xavi’ kwamba atakuwa akimlipa…

Read More

OMO: Sihofii kura ya mapema, nitashinda tu

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema hana wasiwasi na kura ya mapema, akisema ana uhakika wa kuibuka mshindi katika uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Kwa mujibu wa kifungu cha 82 cha sheria ya uchaguzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), upigaji kura ya mapema utawahusisha watendaji…

Read More

Chama aandika rekodi tatu CAF, amfukuzia Tresor Mputu

BAO moja la Clatous Chama katika ushindi wa mabao 4-0 ambao Yanga iliupata dhidi ya Vital’O ya Burundi, Jumamosi iliyopita katika Ligi ya Mabingwa Afrika, limemfanya kuandika rekodi mbili huku akiboresha nyingine ya tatu. Chama alifunga bao dakika ya 68 akiunganisha mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani ambao ulitokana na shuti lililoupigwa na Stephane Aziz…

Read More

Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha Yanga kwa misimu miwili kuanzia 2016-2018 alisema, sababu kubwa inayochangia timu hiyo kufanya vizuri kwa misimu mitatu mfululizo ni kutokana na usajili mzuri uliofanywa na viongozi wao kikosini. “Yanga ina…

Read More

Kwa Mkapa kumenoga | Mwanaspoti

ZIKIWA zimesalia saa tatu tu ili mechi muhimu kati ya Yanga na Tabora United ichezwe, mashabiki nao hawapo nyuma. Yanga leo inaikaribisha Tabora United katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwa ni mechi ya 29 katika ligi msimu huu, ikiwa imebakiza mchezo mmoja mkononi katika mechi itakayoanza saa 10:00 jioni. Wanajangwani hao watakabidhiwa ubingwa wa Ligi…

Read More