Ndege ya Kujaza Mafuta ya Marekani Yaanguka Magharibi mwa Iraq

Global Publishers March 13, 2026 0 Comments Jeshi la Marekani limethibitisha kuwa ndege yake ya kijeshi imeanguka nchini Iraq. Kwa mujibu wa taarifa ya U.S. Central Command, ndege ya kujaza mafuta angani aina ya Boeing KC-135 Stratotanker ilianguka baada ya kutokea tukio lililohusisha ndege mbili angani. Jeshi hilo limesema tukio hilo halihusiani na mashambulizi ya…

Read More

Mke amkata uume mumewe Manyara, wivu wa mapenzi watajwa

Hanang. Mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Kidangu, kata ya Endagaw, wilayani Hanang mkoani Manyara, Veronica Muhale (40), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kudaiwa kumjeruhi mume wake Josephati Kasi (45) kwa kumkata kwa kisu na kuondoa sehemu zake za siri. Mwenyekiti wa kitongoji cha Maweni, Mohamed Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari leo …

Read More

Mfumo unaoweza kutatua tatizo la ajira kwa vijana

Kila mwaka, vyuo vikuu na vyuo vya kati nchini humiminika mamia ya wahitimu waliobeba taji la elimu, wakiwa na matumaini makubwa ya kuingia sokoni na kupata kazi zinazowalipa kwa mujibu wa sifa zao. Lakini ukweli uliopo ni tofauti: wengi wao wanajikuta wamekwama kwenye kiwambo kinachoitwa “ukosefu wa ajira.” Wanadaiwa kutokuwa na uzoefu, lakini hakuna anayewapa…

Read More

Dk Mpango aipongeza CRDB kuwezesha wananchi kiuchumi

Buhigwe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk Philip   Mpango, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha huduma za kifedha nchini, hatua inayowezesha wananchi wengi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi. Akizindua rasmi tawi jipya la benki hiyo leo Agosti 27,2025 wilayani Buhigwe, Dk Mpango amesema hatua ya benki…

Read More

PROF. KITILA ATAJA SABABU ZA WATANZANIA KUMCHAGUA DK. SAMIA

::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Prof. Kitila Alexander Mkumbo amesema watanzania wanayo kila sababu ya kumchagua mgombea Urais anayetokana na CCM Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa alizofanya katika awamu yake ya kwanza ikiwemo kuwahakikishia watanzania Amani, Usalama na Utulivu. Akizindua kampeni katika…

Read More

Moto wateketeza vibanda 20 Masai Market, Iringa

Iringa. Moto mkubwa umeharibu vibanda takribani 20 vya wafanyabiashara katika soko la Masai Market lililopo mjini Iringa. Tukio hilo limetokea katika eneo la Garden, lililopo mkabala na ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, baada ya kuzuka usiku wa kuamkia leo Machi 16, 2026, na umesababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara wanaojishughulisha na biashara za utalii…

Read More

Kibonde: Kumnyima kijana elimu ni sawa na kumfunga maisha

Dar es Salaam. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Makini, Coaster Kibonde, amesema wakipata ridhaa ya wananchi na kuingia Ikulu, watasimamia vipaumbele vitatu vya elimu, kilimo na afya. Kibonde ambaye ni mwenyekiti wa chama hicho amesema ametembea mikoa 10 katika kusaka wadhamini na amebaini vipaumbele hivyo vitatu Watanzania wamevikubali na hawatakuwa na sababu ya…

Read More

Guterres analaani mgomo wa Israeli kwa viongozi wa Hamas huko Qatar kama ‘ukiukwaji mkali’ – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa yake, António Guterres alizungumza dhidi ya kile alichokiita “ukiukaji mkali” wa uhuru wa Qatari na uadilifu wa eneo. Alisisitiza kwamba vyama vyote lazima vizingatie kufikia mapigano ya kudumu huko Gaza, “sio (juu) kuiharibu”. Hakuna viongozi wakuu waliouawa, anadai Hamas Hamas aliripoti kwamba watu sita waliuawa, pamoja na mtoto wa mmoja wa viongozi wake…

Read More

TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA ABDULRAHMAN KINANA

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana. Mkutano huo wa Tume na Kinana umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya Tanzania…

Read More