Migogoro inaendelea katika eneo lote huku kukiwa na migomo ya Marekani, Israel na Iran – Masuala ya Ulimwenguni

Picha ya Umoja wa Mataifa/Pasqual Gorriz Moshi watanda Beirut, Lebanon, kufuatia kuzuka kwa mapigano katika Mashariki ya Kati. Jumatano, Machi 04, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia katika Mashariki ya Kati zinaendelea hadi siku ya tano, huku mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran na mashambulizi ya makombora ya Iran na ndege zisizo…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS SMZ AWAONYA WANAOKWEPA KODI

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar Machi 17, 2026 amesema Serikali haitawavumilia wale wote wanaokwepa Kodi kwa kujihusisha nabiashara za Magendo. Akizungumza kwa niaba ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa…

Read More

Dar City yaahidi makubwa BAL

DAR City ikiwa katika maandalizi kwa ajili ya Ligi ya Kikapu Africa (BAL) 2026, meneja wa timu hiyo, Simon Joe amesema wanajipanga kufanya makubwa katika mashindano hayo wakilenga kutoa ushindani wa hali ya juu na kuandika rekodi mbalimbali. Mashindano ya BAL yamepangwa kuanza Machi 27, mwaka huu, yakiwa yamegawanywa katika makundi mawili yatakayochezwa katika nchi…

Read More

Mfahamu Twalib Kadege Spidi Mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

Simama katika zamu yako   | Mwananchi

Tumsifu Yesu Kristo. Nakusalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo aliye hai. Ni matumaini yangu kuwa, kwa neema ya Mungu, unaendelea vizuri. Ninamshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusema na wewe siku ya leo, ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Maadhimisho ya mwaka jana, kupitia ukurasa huu, nilipata pia kibali cha kukukumbusha juu ya…

Read More

CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA. Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya masoko ya mitaji huku thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji imeongezeka kwa asilimia 75.25.Ongezeko hilo hadi Agosti mwaka huu 2025 imefika Sh.trilioni 55.45 kutoka Sh. trilioni 31.64 Agosti 2021 na…

Read More