Dk Nchimbi: Huduma za afya Kilolo zitaboreshwa

Kilolo. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika miaka mitano ijayo, wanakwenda kuboresha huduma za afya kuwa bora na za kisasa kwa wananchi wa Kilolo, mkoani Iringa. Wakati Dk Nchimbi akiahidi hayo, mgombea ubunge wa Kilolo, Ritha Kabati ameiomba Serikali kuliangalia kwa jicho la kipekee eneo la Mlima…

Read More

Mabadiliko ya Tabianchi Yanakuja kwa ajili ya Kahawa Yako ya Asubuhi – Masuala ya Ulimwenguni

Hali ya hewa ya joto inayohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa inaathiri uzalishaji wa kahawa. Credit: Delightin Dee/Unsplash by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Februari 27 (IPS) – Kikombe chako cha asubuhi cha kahawa kinaweza kugharimu zaidi hivi karibuni, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa,…

Read More

Othman: Mambo haya yataifungua Pemba kiuchumi, kimaendeleo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ametaja mambo manne ikiwemo ujenzi wa uwanja wa ndege, akisema ndiyo ufunguo wa kuifungua Pemba kimaendeleo na kiuchumi. Mengine ni miundombinu ya bandari, mawasiliano, utawala mwema na mzunguko wa watu wanaoingia na kutoka Pemba. Othman ameeleza hayo leo Alhamisi Septemba 18,2025…

Read More

Serikali kuendelea kuimarisha miundombinu ya elimu

  -Kamati yaridhishwa na ujenzi Chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga Na Mashaka Mhando, Mkinga WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo ule wa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kuchochea utafiti na ubunifu utakaosaidia maendeleo ya kijamii na kiuchumi….

Read More

ghasia zinaongezeka huku ujumbe wa Umoja wa Mataifa ukiahidi kuendelea kuungwa mkono – Masuala ya Ulimwenguni

Licha ya hali tete, ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, MONUSCOinasalia kujitolea kutekeleza majukumu yake, huku juhudi za kikanda za kurejesha amani zikiendelea. Vivian van de Perre, Naibu Mwakilishi Maalum wa Ulinzi na Operesheni katika misheni hiyo, alisema kuwa ‘helmeti za bluu’ zingeendeleza shughuli zao zote huko Ituri, kuunga mkono usitishaji mapigano na…

Read More