Msuva adai CHAN 2024 ina darasa kali

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ambaye anacheza soka la kulipwa nchini Iraq katika kikosi cha Al-Talaba SC, ameeleza kuwa mashindano ya CHAN 2024 yataacha somo kubwa kwa soka la Tanzania, ambalo linaweza kuwa msingi wa mafanikio katika mashindano yajayo. Msuva ambaye kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya Taifa Stars dhidi ya Burkina…

Read More

Mambo matatu ya kitasa kipya Yanga

Kuna mambo yataanza kuonekana msimu ujao pale Jangwani, ambapo mastaa kibao wamesajili na kuna dalili kwamba vita ya namba, lakini namna shoo za uwanjani zitakavyokuwa. Lakini, unaposoka hapa elewa kwamba ndani ya kikosi cha Yanga kuna nyota wawili wanaounda ule ukuta wa chuma…

Read More

UN inahimiza mshikamano upya miaka nane baada ya kulazimishwa Kutoka kwa Rohingya – Maswala ya Ulimwenguni

Zaidi ya 700,000 kati yao walikimbilia Bangladesh jirani baada ya kushambuliwa kwa silaha na kikundi cha wanamgambo dhidi ya vikosi vya usalama vya Myanmar kulizua kijeshi kikatili kilichoanza tarehe 25 Agosti 2017. Walijiunga na maelfu ya wengine ambao walitoroka mawimbi ya vurugu na ubaguzi sasa wanaoishi katika kambi za wakimbizi karibu na mpaka katika wilaya…

Read More

Moja kati ya nne bado haina ufikiaji wa maji salama ya kunywa na usafi wa mazingira – maswala ya ulimwengu

ripoti Kutoka kwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na wakala wa watoto (UNICEF) Imetolewa kama Wiki ya Maji Duniani inapoendelea, inaonyesha mapungufu yanayoendelea katika upatikanaji, na jamii zilizo hatarini zinazokabiliwa na utofauti mkubwa. Watu wapatao bilioni 2.1 bado hawana ufikiaji wa maji ya kunywa yanayosimamiwa salama, wakati milioni 106 ulimwenguni wanalazimika kutegemea vyanzo vya uso…

Read More

CHAN 2024: Morocco yaivua ubingwa Senegal

MABINGWA wa kihistoria wa Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, Morocco wamefuzu fainali ya michuano hiyo kwa kuivua ubingwa Senegal. Katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa leo Agosti 26, 2025 kwenye Uwanja wa Mandela uliopo Kampala nchini Uganda, mikwaju ya penalti 5-3 imetosha kuifanya Morocco kuwa mbabe mbele ya Senegal, timu iliyokuwa…

Read More