Waliodai kubadilishiwa mtoto, waendelea kususia mwili

Arusha. Zikiwa zimepita siku 26 tangu matokeo ya uchunguzi wa vinasaba (DNA) yatolewe, yakionesha Neema Kilugala (26), mkazi wa Mtaa wa Ndarvoi, hakubadilishiwa mtoto kama alivyodai, familia yake imeendelea kususia mwili ikisema wameamua kumwachia Mungu suala hilo. Familia hiyo ilianza kususia mwili wa mtoto huyo tangu Aprili 3, 2025, siku ambayo majibu ya DNA yalitoka….

Read More

Ukiteuliwa serikalini kutoka sekta binafsi hii inakuhusu

Dar es Salaam. Msajili wa Hazina wa Tanzania, Nehemia Mchechu amesema wako katika hatua za mwisho kuandaa programu maalumu kwa ajili ya watendaji wakuu wa taasisi hususan wale wanaotoka sekta binafsi wanapoingia serikalini ili waweze kuendana na mazingira yao ya kazi. Mchechu ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 28, 2024 alipokuwa akizungumza katika ufunguzi wa kikao…

Read More

Siri, makosa upigaji wa chafya

Kupiga chafya ni tendo la kawaida la kibinadamu ambalo huchukuliwa kama jambo la kawaida kiasi kwamba watu wengi hawalipi uzito.  Hata hivyo, nyuma ya tendo hili dogo la kiafya kuna mchakato wa ajabu wa mwili unaotimiza majukumu muhimu ya kinga. Kupitia vyanzo mbalimbali vya kimtandao, makala haya, itaangazia kwa undani siri iliyofichika nyuma ya chafya,…

Read More

Sababu Tanzania kuuza umeme nje ya nchi

Dar es Salaam. Kwa nini Tanzania iuze umeme nje ya nchi, ilhali bado haijatosheleza mahitaji yake ya ndani? Swali hilo linawakilisha maswali lukuki wanayojiuliza baadhi ya Watanzania, kuhusu uwezekano wa Tanzania kumulika nje wakati ndani mwake kuna giza. Msingi wa maswali hayo ni ukweli kwamba, upatikanaji wa umeme nchini ni takriban asilimia 75 kwa mujibu…

Read More

Safari ndefu kwa Zanzibar kusaka maridhiano ya kweli

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiacha nafasi nne mahsusi kwa ajili ya Chama cha ACT-Wazalendo, ili kufanikisha kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwa mara ya nne. Mfumo huu si zawadi ya kisiasa bali ni matokeo ya mabadiliko ya kikatiba yaliyobarikiwa na kura ya maoni…

Read More

Mpango mkubwa zaidi wa dola bilioni nyingi katika historia ya Amerika-na serikali ya Amerika ya 51? – Maswala ya ulimwengu

Jeshi la anga la Royal Saudia F-15SA. Mikopo: Idara ya Ulinzi ya Amerika (DOD) na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Mei 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Mei 23 (IPS) – Wakati Rais wa Merika Donald Trump alipojitolea kutangaza Canada kama jimbo la 51 la Amerika, Wakanada walikataa kabisa pendekezo…

Read More

TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO

  KLABU ya Simba imeshindwa kutamba ugenini katika hatua ya robo fainali mkondo wa kwanza dhidi ya Al Masry ya nchini Misri baada ya kupokea kipigo cha mabao 2-0 katika mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Suez nchini humo. Katika mchezo huo licha ya kuutawala mchezo kwa kiwango kikubwa, Simba haikufanikiwa kupata bao katika nafasi…

Read More

Pacome ampindua Ahoua, malijendi wafunguka

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji wapya na kupanga namna maisha yatakavyokuwa msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Ishu ya kupanga maisha ya msimu ujao inapoendelea katika kila timu itakayoshiriki ligi hiyo na zile za chini, bado…

Read More