Mwanza mwenyeji wa maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria
Mwanza. Jiji la Mwanza linatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria, yatakayofanyika Mei 21, 2026, yakihusisha nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kujadili usimamizi endelevu wa rasilimali za ziwa hilo. Kwa mujibu wa Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), Dk Masinde Bwire, maadhimisho hayo…