Straika mpya Geita achimba mkwara
MSHAMBULIAJI mpya wa Geita Gold, Raymond Lulendi, amesema licha ya ushindani mkubwa uliopo katika eneo la kikosi hicho msimu huu ila hana hofu, kwa sababu atapambana kadri ya uwezo wake atakavyopewa nafasi na benchi la ufundi la timu hiyo. Nyota huyo amejiunga na Geita Gold katika dirisha dogo lililofungwa Januari 30, 2026, baada ya kuachana…