Straika mpya Geita achimba mkwara

MSHAMBULIAJI mpya wa Geita Gold, Raymond Lulendi, amesema licha ya ushindani mkubwa uliopo katika eneo la kikosi hicho msimu huu ila hana hofu, kwa sababu atapambana kadri ya uwezo wake atakavyopewa nafasi na benchi la ufundi la timu hiyo. Nyota huyo amejiunga na Geita Gold katika dirisha dogo lililofungwa Januari 30, 2026, baada ya kuachana…

Read More

ULEGA AAGIZA MKATABA WA MKANDARASI MCHINA UVUNJWE ni

:::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuanza utaratibu wa kuvunja mkataba wa kampuni ya ujenzi kutoka China ambayo imekuwa ikisuasua katika ujenzi wa barabara ya Omurushaka – Kyerwa mkoani Kagera yenye urefu wa kilomita 50. Pamoja na agizo hilo, Waziri Ulega pia amezitaka mamlaka zinazohusika na utoaji wa kazi za ujenzi wa barabara kuiweka…

Read More

Fumbo wanawake kuvutiwa na wenye ‘vitambi’

Tofauti na ilivyozoeleka kuwa wanawake wanapenda wanaume wenye miil yenye misuli maarufu ‘six-pack’, baadhi ya kazi za kitafiti zinaonesha siku hizi wanawake hawahangaiki na wanaume wa aina hiyo. Badala yake, macho yao yanakwenda kwa yule mwanaume wa kawaida mwenye kitambi kidogo, mwili wa kati na chakula chake huwezi amini ni ugali! Huyu si mwanaume anayejianika…

Read More

Ijue miiko ya utajiri wa familia     

Kila familia duniani huota ndoto ya kufikia utajiri, kwani utajiri hutazamwa kama ngao dhidi ya matatizo ya kifedha na kama daraja la kufanikisha maisha bora kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Hata hivyo, pamoja na faida zake, utajiri wa kifamilia una miiko yake, ambayo kila familia inapaswa kuifahamu na kuizingatia ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza…

Read More

Dalili kama mtoto wako ana tatizo la afya ya akili

Wataalamu wa afya ya akili wanasema wazazi wanapaswa kuwa waangalifu zaidi katika kubaini dalili za matatizo ya afya ya akili kwa watoto wao, wakibainisha kuwa changamoto hizo huanza mapema. Hata hivyo, wanasema mara nyingi dalili hizo huchukuliwa kimakosa, kwamba mtoto ni mkaidi au ana tabia mbaya. Nilipata kuzungumza na mwanasaikolojia wa watoto aliyeniambia watoto huonyesha…

Read More

ZARA TOURS YANG’ARA TUZO ZA UHIFADHI NA UTALII

KAMPUNI ya Utalii ya Zara Tours yenye Makao yake makuu mjini Moshi imeendelea kuthibitisha ubora wake katika sekta ya utalii baada ya kunyakua tuzo nyingine muhimu,ikiwa ni muendelezo wa mfululizo wa tuzo mbalimbali ambazo kampuni hiyo imekuwa ikizipata karibuni kila mwaka. Tuzo hiyo ni miongoni mwa tuzo 51 zilizotolewa katika hafla kubwa ya Serengeti Awards,…

Read More

Askari Wapya Jwtz Wahitimu Mafunzo

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amefunga rasmi Mafunzo ya Askari wapya katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi (RTS) Kihangaiko Msata Mkoani Pwani leo tarehe 31 Januari 2025. Jenerali Mkunda amewataka askari wapya kukiishi na kuzingatia kiapo cha utii wakati wote watakapokuwa wakitekeleza majukumu yao…

Read More