VIDEO: Soka lambeba beki Yanga, apandishwa cheo KMKM

Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kimempandisha cheo nyota wa timu ya Yanga SC, Ibrahim Hamad “Ibra Bacca” kutoka Koplo na kuwa Sajenti kutokana na kuonesha kiwango bora kwenye mchezo wa soka. “Sina budi kushukuru kikosi changu kwa kuweza kunisapoti kwa kila hatua. Nitaendelea kuipambania nchi yangu,” amesema Sajenti Ibrahim Bacca ambaye wazazi wake…

Read More

TARANGIRE SCHOOL YAANDIKA HISTORIA, YAFANYA MAHAFALI YA DARASA LA SABA HIFADHINI

Na Pamela Mollel,Manyara  Shule ya Tarangire Pre & Primary English Medium School (Tarangire School) imeibua ubunifu wa aina yake baada ya kufanya mahafali ya darasa la saba kwa mwaka 2025 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, tukio ambalo halijawahi kushuhudiwa mkoani Manyara. Mahafali hayo yaliyofanyika Jumamosi, Septemba 13, 2025, yaliwaaga wanafunzi 40 walioketi mtihani…

Read More

MAWAKALA, VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA HAWARUHUSIWI KUINGILIA MCHAKATO WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA VITUONI

Na Oscar Assenga, Tanga Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Jacobs Mwambegele amesema kwamba mawakala, viongozi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kuingilia mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura vituoni. Mchakato wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura likitarajiwa kuanza mkoani Tanga February 13 mwaka…

Read More

Picha za utupu WhatsApp zilivyosababisha mauaji

Moshi. Mahakama ya Rufani Tanzania, imemfutia adhabu ya kifo, Frank Ezbon, aliyemuua mpenzi wake, Jesca Lucas baada ya kukuta picha za utupu kwenye WhatsApp akiwa na mwanamume mwingine, badala yake imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela. Tukio la mauaji ya Jesca, lilitokea Julai 2020 katika nyumba ya kulala wageni ya Paradise Lodge iliyopo Mji wa…

Read More