Ushuru kwenye ‘tomato sauce’ wapingwa

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kupendekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Sh300 kwa kilo ya tomato sauce na tomato ketchup, chilli sauce na chilli ketchup zinazotoka nje ya nchi, imeelezwa na wadau wa uchumi kuwa inatokana na kukosekana ubunifu wa vyanzo vya mapato. Akiwasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 bungeni Juni…

Read More

MOI yapokea majeruhi 700 kwa mwezi, bodaboda zaongoza

Dar es Salaam. Taasisi ya Tiba na Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI), imesema inapokea takribani majeruhi wa ajali za barabarani 700 kwa mwezi. Kati ya majeruhi hao, asilimia 60 ambayo ni sawa na wajeruhi sita kati ya 10 wanatokana na ajali zinazohusiana na pikipiki maarufu kama bodaboda. Takwimu hizo zimetolewa na…

Read More

Picha la Benchikha lilivyokuwa | Mwanaspoti

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo ukikanusha…

Read More

Majaliwa: Rais Samia ni tiba ya maendeleo

Maswa. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni tiba ya maendeleo, hivyo Watanzania wanapaswa kwenda naye kwa kuwa ataifikisha nchi kule kunakotarajiwa. Majaliwa ambaye pia ni Waziri Mkuu amesema Rais Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya…

Read More