Planet yaichapa CUHAS | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Planeti imeichapa CUHAS kwa pointi 74 -52 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (MRBA) kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Mirogo. Michezo mingine iliyochezwa uwanjani hapo ilizikutanisha Profile iliyoifunga Young Profile kwa pointi 74-59 na Eagles ikaifumua Cross Over kwa pointi 68-44. Akizungumzia michezo hiyo, kocha maarufu wa kikapu mkoani…

Read More

DKT. SHEKALAGHE AHIMIZA SHIUMA KUWA KITU KIMOJA KWA MAENDELEO YA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO

Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe amewataka viongozi wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) ngazi ya Taifa na mikoa kuwa kitu kimoja na kushiriki kikamilifu kwenye shughuli zinazosimamiwa na Serikali kwa maendelea ya wafanyabiashara ndogondogo nchini. Hayo ameyasema Oktoba 11, 2024…

Read More

Abiria mlevi ataka kujifanya rubani angani,ndege yalazimika kutua kwa dharura

Ndege ya easyJet kutoka shirika la ndege la uingereza, iliyokuwa ikielekea kwenye kisiwa cha Kos,nchini Ugiriki, ililazimika kutua kwa dharura Jumanne baada ya abiria mlevi kutaka kujifanya rubani angani. Tukio hilo lilitokea wakati ndege ilipokuwa angani kwenye urefu wa futi 30,000. Abiria huyo, ambaye alijaribu kufungua milango ya dharura na kupigana na wahudumu, aliharibu mawasiliano…

Read More

Saa 48 za mtifuano mkutano wa kidemokrasia

Dar es Salaam. Saa 48 za mkutano wa wadau wa demokrasia nchini ulikuwa moto ambapo hoja nzito ziliibuliwa, baadhi ya wadau kunyoosheana vidole, wengine kutaniana na mwisho wa mkutano huo kutoka na maazimio ya pamoja.Mkutano huo uliofanyika Mei 8 na 9 mwaka huu jijini Dar es Salaam ulilenga kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu…

Read More

TASAF, UNICEF WAZINDUA MPANGO WA STAWISHA MAISHA KUNUSURU KAYA MASIKINI DHIDI YA UTAPIAMLO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV SERIKALI kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF)kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na hasa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto(UNICEF) wamezindua Mpango wa Stawisha Maisha kwa lengo la kuimarisha hali za lishe kama sehemu ya kukabiliana na changamoto ya utapiamlo kwa kaya masikini ambazo ziko kwenye mpango wa TASAF. Uzinduzi…

Read More

BALOZI MSHANA ASHIRIKI KIKAO CHA USHOROBA WA KATI

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mheshimiwa Said Mshana, amemwakilisha Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof Makame Mbarawa katika kikao cha Nchi Wanachama wa Ushoroba wa Kati (Central Corridor) kilichofanyika jijini Kinshasa nchini DRC. Kikao hicho pamoja na masuala mengine, kuliikaribisha Zambia kuwa Mwanachama Mpya wa Ushoroba wa Kati. Zambia inakuwa mwanachama…

Read More