Vodacom Tanzania Yazindua Ripoti ya ESG, Ikitia Mkazo Mazingira, Jamii na Utawala Bora

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia), akikata utepe kuzindua Ripoti ya ESG yenye kaulimbiu “Connecting for Good: People, Planet and Possibilities”, huku akishuhudiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire. Ripoti hiyo inaonesha mchango wa teknolojia na huduma za mawasiliano katika kubadilisha maisha ya watu, kuongeza…

Read More

Wadau waeleza ushirikiano unavyoleta maendeleo thabiti

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma ni nguzo muhimu ya kuhakikisha Tanzania inafanikisha Dira ya Maendeleo ya 2050, inayolenga kujenga Taifa jumuishi kidijitali, lenye uchumi thabiti, jamii yenye ustawi na utunzaji wa mazingira. Hayo yameelezwa leo Jumanne, Agosti 26, 2025 na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Ripoti ya Ujumuishi wa…

Read More

Kihogosi awajibu wanaoandamana CCM kupinga ‘kukatwa’ watiania

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewasititizia WanaCCM kuheshimu uamuzi wa vikao kuhusu watiania walioteuliwa na chama hicho kuwania ubunge na udiwani. Amesema kila MwanaCCM anapaswa kutambua, kuheshimu chama hicho, badala ya watu ndani ya chama, akitumia msemo wa ‘chama kwanza, mtu baadaye.’ Kihongosi ameeleza…

Read More

Kihogonsi awajibu wanaoandamana CCM kupinga ‘kukatwa’ watiania

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewasititizia WanaCCM kuheshimu uamuzi wa vikao kuhusu watiania walioteuliwa na chama hicho kuwania ubunge na udiwani. Amesema kila MwanaCCM anapaswa kutambua, kuheshimu chama hicho, badala ya watu ndani ya chama, akitumia msemo wa ‘chama kwanza, mtu baadaye.’ Kihongosi ameeleza…

Read More

Mweka kuwa kitovu cha mafunzo, urithi wa dunia Afrika

Moshi. Wakati Tanzania ikiendelea kuweka mikakati ya kurejesha mali kale zilizoondolewa nchini wakati na baada ya utawala wa kikoloni, Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kimeanzisha programu maalumu inayolenga kuzijengea uwezo nchi za Afrika katika kutambua, kuhifadhi na kulinda urithi wa asili na wa kitamaduni. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu hiyo leo, Agosti 26,2025…

Read More