Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

  Dar es Salaam, 27 August 2025 — Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders. The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable…

Read More

Dalali wa Mahakama akamatwa, agizo la Dk Mwigulu halijatekelezwa

Arusha. Zikiwa zimepita siku 17 tangu agizo la Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba la kurejeshwa mali za mfanyabiashara wa Arusha, Josephine Shirima, mali hizo bado hazijarudishwa huku Jeshi la Polisi likimshikilia dalali wa Mahakama anayedaiwa kuhusika katika kuchukuliwa kwa mali hizo. Aidha, Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Arusha, Dominic Mollel, aliyekuwa anashikiliwa na polisi kwa…

Read More

Mizani, bei duni, unyanyapaa vyawaliza waokota taka rejeshi

Dar es Salaam. Waokota taka rejea jijini Dar es Salaam wameeleza changamoto mbalimbali zinazowakabili katika kazi yao ya kukusanya na kuuza taka zinazoweza kutumika tena, wakitaja kunyanyapaliwa na jamii, bei duni, mizani ya udanganyifu na kutotambuliwa rasmi na Serikali kuwa miongoni mwa matatizo yanayowakwamisha. Kupitia mkutano uliofanyika leo, Septemba 6, 2025, katika eneo la Masenze,…

Read More

DKT.NCHIMBI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA JUMUIYA YA MARIDHIANO NA AMANI MKOA WA KATAVI.

MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Mariadhiano na Amani Tanzania Mkoa wa Katavi (JMAT)  leo Jumatano Septemba 10,mjini Mpanda ,Katavi. Mazungumzo yao yalijikita kuangalia jinsi gani ya kuendeleza…

Read More

Askofu Munga azikwa, jamii ikiaswa juu ya upendo

Mkinga. Mazishi ya Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, yametawaliwa na nasaha za kuwaasa Watanzania kuimarisha amani na upendo, badala ya kujenga chuki. Dk Munga amezikwa leo, Septemba 24, 2025, saa 9:30 alasiri ndani ya kanisa lililopo Kijiji cha Maramba, wilayani Mkinga, mkoani Tanga….

Read More