RAIS DKT SAMIA ATOA MAELEKEZO KWA WAZIRI MCHENGERWA

Na Oscar Assenga, HANDENI. RAIS Dkt Samia Suluhu amemuagiza Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa kuhakikisha wanapeleka kiasi cha Milioni 240 kwa ajili ya kujenga eneo maalumu la Upasuaji wa Mifupa katika Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni. Dkt Samia aliyasema hayo leo mara baada ya kufungua Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni eneo…

Read More

Dk Mwinyi awataka wawekezaji wa ndani wasiwe watazamaji, aahidi mazingira bora

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji akiwataka wawekezaji wa ndani kujitokeza kujenga miradi mikubwa, inayoacha alama badala ya kuwa watazamaji. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Novemba 19, 2025 wakati akizindua mradi wa Hoteli ya Tembo Kiwengwa Beach Resort Zanzibar, amesema atapenda kuona miradi mikubwa ya…

Read More

Vijana wapewa mafunzo namna ya kujiajiri

Dar es Salaam. Katika juhudi za kupambana na uhaba wa ajira nchini, taasisi ya Her Initiative kwa kushirikiana na Sheria Kiganjani wametoa mafunzo maalumu kwa vijana 50 wa Kitanzania kuwajengea uwezo wa kujiajiri na kujitambua katika soko la ajira. Mpango huo unalenga kuwafikia zaidi ya vijana 4,000 na kuwapa mwongozo wa namna ya kujiajiri na…

Read More

Simba yaanza kufyeka hawa | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wanaendelea kuchekelea ushindi wa 23 kwa msimu huu katika Ligi Kuu kwa kuilaza Singida Black Stars, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza kufanya maboresho ya kikosi hicho kimya kimya, ikiwemo kujiandaa kutembeza panga kwa baadhi ya mastaa na kuleta majembe mapya. Simba inashika nafasi ya pili kwa sasa katika msimamo ikiwa na…

Read More

Fountain Gate yashtua Ligi Kuu

KITENDO cha kukusanya pointi saba katika mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ilizocheza Fountain Gate, imeonekana kurejesha ari, morali na matumaini kwa mastaa wa timu hiyo, huku wakitamba kuwa kazi ndio imeanza. Timu hiyo iliyoweka makazi yake mkoani Manyara, haikuwa na mwanzo mzuri ilipochezea vichapo kwenye mechi tatu za kwanza na kujikuta ikiwapa presha…

Read More

Wahitimu wetu wana mawazo mbadala?

Katika nchi yetu jitihada za kuboresha mfumo wa elimu zinaendelea na wengi wetu tunatoa maoni yetu kwa njia mbalimbali. Ni sahihi kwamba tumeanza kufanya mabadiliko kiasi fulani na hii ni hatua nzuri. Leo nataka kufanya tafakuri kuhusu uwezo wa wahitimu wetu kutambua na kuheshimu mawazo tofauti ya watu wengine.  Je, wahitimu wetu wanathamini mawazo mbadala?…

Read More