Mweka kuwa kitovu cha mafunzo, urithi wa dunia Afrika

Moshi. Wakati Tanzania ikiendelea kuweka mikakati ya kurejesha mali kale zilizoondolewa nchini wakati na baada ya utawala wa kikoloni, Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kimeanzisha programu maalumu inayolenga kuzijengea uwezo nchi za Afrika katika kutambua, kuhifadhi na kulinda urithi wa asili na wa kitamaduni. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu hiyo leo, Agosti 26,2025…

Read More

Je Unajua Meridianbet Kukupatia Mkwanja Leo?

MECHI kibao za mtoani wa Carabao Cup Uingereza (EFL) hatua ya mtoano zinaendelea huku wewe mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kuibuka na mkwanja wa maana. Je pesa yako unaiweka kwa nani na nani wakupe ushindi leo? Unaweza ukabashiri mechi hii ya Reading FC dhidi ya AFC Wimbledon ambao hawa waote wanacheza ligi daraja…

Read More

RUBY Play Yatua na Burudani Mpya Meridianbet

Meridianbet imepiga hatua nyingine kubwa kwa kuwaletea wateja wake mtoaji mpya wa michezo ya sloti anayefahamika Duniani kote kama Ruby Play. Hii siyo tu habari mpya, bali ni mlango wa kuingia kwenye ulimwengu wa msisimko, teknolojia ya hali ya juu na nafasi kemkem za ushindi. Ruby Play imejipatia umaarufu duniani kwa uwezo wake wa kubuni…

Read More

SEKTA BINAFSI INAWEZA KUIWEZESHA TRC KUPATA MAPATO ZAIDI KULIKO INAVYOJIENDESHA SASA – MKURUGENZI MKUU TRC

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema katika mageuzi ya Mashirika ya umma yanayoendelea kufanywa na Serikali, ni lazima TRC ihakikishe inafanya mabadiliko katika sekta ya biashara na ya uendeshaji kwa ushirikiano na sekta binafsi Mkurugenzi mkuu wa TRC Mhandisi Machibya Shiwa, amebainisha hayo jijini Arusha pembezoni mwa kikao kazi cha Wenyeviti na watendaji wakuu wa taasisi…

Read More