
Mweka kuwa kitovu cha mafunzo, urithi wa dunia Afrika
Moshi. Wakati Tanzania ikiendelea kuweka mikakati ya kurejesha mali kale zilizoondolewa nchini wakati na baada ya utawala wa kikoloni, Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kimeanzisha programu maalumu inayolenga kuzijengea uwezo nchi za Afrika katika kutambua, kuhifadhi na kulinda urithi wa asili na wa kitamaduni. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa programu hiyo leo, Agosti 26,2025…