NEEC yawaita wadau uwezeshaji wananchi kiuchumi

Dar es Salaam. Wadau takribani 700 wa  masuala ya uwezeshaji wananchi kiuchumi wanatarajiwa kukutana jijini Dodoma,  kwa siku mbili kufanya tathmini ya utekelezaji wa mikakati ya uwezeshwaji wa wananchi pamoja na changamoto zake. Hayo yamebainishwa leo Novemba 16, 2024 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa katika mkutano…

Read More

Dk Mwinyi arudisha fomu ZEC, aeleza matumaini yake

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amerejesha fomu kuomba kuteuliwa kugombea nafasi hiyo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akieleza matumaini yake ya kuteuliwa kuwania nafasi hiyo. Dk Mwinyi, Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi anayemaliza muda wake, alikuwa wa kwanza kuchukua fomu…

Read More

MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMNI KWA WIZARA, IDARA ZINAZOJITEGEMEA, WAKALA WA SEREKALI NA MASHIRIKA YA UMMA YAFANYIKA JIJINI TANGA

Mwandishi Wetu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kupitia kitengo chake maalumu cha ushauri wa kitaalam na kwa kushirikiana na washirika wa chuo kimeendelea kutekeleza makubaliano na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ya kuimarisha mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini nchini. Kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ofisi ya…

Read More

Sheikh Muhammad Idd afariki dunia

Sheikh maarufu nchini Sheikh Muhammad Idd Muhammad, amefariki dunia leo tarehe 30, Januari, 2025Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, kifo chake kimetokea katika Hospitali ya Mloganzila alikokuwa akipatiwa matibabu. Hadi mauti yanamfika, Sheikh huyu maarufu pia kwa jina la Abu Idd alikuwa mshauri wa Mufti kwenye masuala ya…

Read More

SERIKALI KUANDAA MIPANGO 2,480 YA MATUMIZI BORA YA ARDHI KATIKA KIOINDI CHA MIAMI 4 ,VIJIJI 4,679 KATI YA VIJIJI 12,333 NCBI NZIMA

Na Vero Ignatus,Arusha SERIKALI imeweza kuandaa jumla ya mipango ya matumizi bora ya ardhi 2,480 katika kipindi cha miaka minne ambapo vijiji 4,679 vimewekwa katika mipango hiyo kati ya vijiji 12,333 nchi nzima.  Hayo yamesemwa Leo June 23 2025 Jijini Arusha na Katibu Mkuu  Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi,Mhandisi Anthony Sanga…

Read More