Uvumilivu, bidii, imani vilivyobadili maisha ya Benedicta

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za Kitanzania, ndoto za mtoto wa kike mara nyingi hukwama njiani kutokana na changamoto za kiuchumi, mila na mitazamo potofu. Hata hivyo, simulizi ya Benedicta Mrema ni ushuhuda kuwa bidii, uvumilivu na imani vinaweza kubadili mkondo wa maisha. Ni hadithi ya binti aliyekataa kukata tamaa licha ya vikwazo vilivyoonekana…

Read More

Hatari wenza kutumiana picha za faragha

Dar es Salaam. Picha iliyotumwa kwa kuaminiwa kama ishara ya upendo, huenda ikageuka silaha ya fedheha, vitisho, visasi na kusababisha maumivu ya kudumu. Katika zama hizi za teknolojia, simu janja na mitandao ya kijamii imekuwa chombo cha kuwasiliana lakini pia imeibua tishio jipya la kisaikolojia na kijamii kusambazwa bila ridhaa kwa picha na video za…

Read More

Hakuna maendeleo bila ushirikiano – Waziri Sangu

Rukwa. Jamii imetakiwa kuimarisha na kuenzi utamaduni wa ushirikiano kupitia majadiliano ya mara kwa mara, hatua itakayochangia kujenga Taifa lenye ustawi na maendeleo endelevu. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano,  Deus Sangu, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kwela, wakati wa ziara yake katika…

Read More

Sera ya vijana EAC yatia matumaini, sauti yao bado changamoto

Dar es Salaam. Wakati nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zikiendelea kuboresha sera ya vijana ya 2025–2030, wadau wamesema inaleta matumaini kwa maendeleo ya vijana, lakini bado kuna changamoto ya ushirikishwaji na utekelezaji. Hayo yameelezwa leo Machi 18, 2026 katika mkutano wa kikanda wa afya ulioandaliwa na Baraza la Wabunge Vijana wa Afrika…

Read More

Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba

Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025   kipaumbele chake kitakuwa ni  ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika  katika Uwanja wa Kangagani…

Read More

MoCU Yatangaza Nafasi za Kazi 20+ Katika Fani Mbalimbali, Mwisho wa Maombi Machi 27

Global Publishers March 16, 2026 0 Comments Dar es Salaam, Machi 16, 2026 – Moshi Co-operative University (MoCU) imefungua rasmi fursa za ajira kwa Watanzania katika nafasi mbalimbali za kielimu na utafiti kwenye Main Campus, Moshi na Kizumbi Institute of Co-operative and Business Education (KICoB), Shinyanga.  NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI 14-03-2026…

Read More