Vodacom Yazindua Ripoti Ya ESG – Global Publishers

Dar-es-Salaam, Agosti,26,2025, Vodacom Tanzania imezindua Ripoti ya ESG ambayo inalenga utekelezaji wa teknolojia ya Kidigitali kufika Dira 2050. Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo uliofanyika mapema Leo, jijini Dar-es-Salaam, Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji,Mh.Prof.Kitila Mkumbo, amesema  anawashukuru na kuwapongeza Kampuni hiyo ya Vodacom kwa kuandaa mdaharo mzuri wa kuandaa Watanzania katika Utekelezaji wa Dira…

Read More

Mazishi ya mfanyabiashara yasimamisha shughuli Songea

Songea. Mazishi ya mfanyabiashara  mashuhuri wilayani Songea  Mkoa wa Ruvuma, Titus Mbilinyi maarufu Mwilamba ambayo yamefanyika leo Agosti 26,2025 kwenye kiwanda chake cha mifuko kilichopo  Ruhuwiko yamesimamisha shughuli ikiwamo maduka kufungwa. Tangu   saa 12 asubuhi  maduka mengi yamefungwa ikiwa ni ishara ya heshima kwa ajili ya kumsindikiza mfanyabiashara huyo, aliyekuwa kipenzi cha wanyonge. …

Read More

Kiwanda kingine cha madini kujengwa Bahi

Bahi. Serikali imezindua mpango wa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusindika na kuyeyusha madini ya nikel na shaba kitakachogharimu Sh30 bilioni na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watu 300. Leo Agosti 26, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda hicho katika kijiji cha Zanka, Wilaya ya…

Read More

Jamii yatakiwa kuwapokea wafungwa uraiani

Mbeya. Jeshi la Magereza mkoani Mbeya limeiomba jamii kuwapokea vizuri wafungwa wanaomaliza muda wao wa adhabu gerezani kurejea uraiani, ili kuwafundisha kutii sheria na kuondokana na uhalifu. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Agosti 26, 2025 kwenye maadhimisho ya miaka 64 ya Jeshi la Magereza baada ya uhuru, na Mkuu wa Gereza la Ruanda jijini Mbeya, Christopher…

Read More

Yanga kutesti  mitambo na Wakenya | Mwanaspoti

BAADA ya Rayon Sports, mastaa wa Yanga wanatarajia kushuka tena dimbani Septemba 12 wakiivaa Bandari ya Kenya kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi. Mara ya mwisho Yanga ilicheza mechi ya kirafiki ya kimataifa kwenye tamasha hilo dhidi ya mabingwa wa Ligi Kuu Zambia msimu wa 2024/24 ikicheza na Red Arrow ikiibuka na ushindi wa mabao…

Read More

Kanisa laingilia mvutano mazishi ya Rais Lungu

Lusaka. Zikiwa zimetimia siku 82 tangu Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu (68), afariki dunia, mvutano wa mazishi yake umewaibua viongozi wa dini ambao wametoa wito kwa Serikali kuanzisha majadiliano ya haraka na dhati kwa familia yake. Tangu kufariki dunia kwa Lungu, Juni 5, 2025 Serikali ya Zambia imeingia kwenye mvutano na familia kuhusu…

Read More