TANZANIA YATAKIWA KUWEKA VIWANGO VYA UBORA WA HUDUMA ZA RADIOLOJIA KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA
………….. Wataalamu wa huduma za mionzi tiba na uchunguzi kutoka Taasisi za dini, Hospitali ya Taifa, Kanda, Maalum pamoja na zile binafsi wametakiwa kuhakikisha wanaweka na kuzingatia viwango vya ubora wa huduma vinavyokubalika kimataifa ili kuongeza tija na ufanisi katika utoaji wa huduma hizo. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Huduma za Radiografia kutoka Wizara…