Morice Abraham amuibua kocha Simba, aomba ulinzi

WAKATI nyota ya kiungo Morice Abraham ikizidi kung’ara ndani ya Simba, kocha wa zamani wa kikosi hicho, Fadlu Davids ameshindwa kujizuia na kuweka wazi kama kuna kitu klabu hiyo imelamba dume msimu huu, ni kumsajili mchezaji huyo. Morice aliyekuwa akiichezea RFK Novi ya Serbia, ametua Simba msimu huu akisajiliwa na Fadlu kabla ya kocha huyo…

Read More

Si kila muwasho sehemu za siri ni PID, UTI

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameonya kuwa si kila muwasho wa sehemu za siri unatokana na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI), magonjwa ya mfumo wa uzazi (PID) au fangasi, bali pia huweza kuwa ishara ya ugonjwa wa ngozi ujulikanao kama lichen sclerosus, ambao huathiri zaidi wanawake waliokoma hedhi, lakini pia huwapata watoto na…

Read More

Bunge laazimia vituo vya kura karibu na makazi

Dodoma. Bunge limeazimia vituo vya kuandikisha wapigakura na vile vya kupiga kura viwekwe karibu na makazi ya wananchi ili washiriki na kutekeleza haki yao ya kikatiba. Mbali na hilo, pia limeazimia Serikali ihakikishe inapeleka watumishi wa kutosha katika vituo vya kupigia kura wasimamia kazi hiyo. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya…

Read More

Mahakama yaitahadharisha TFF kesi ya kumfungia kocha

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepinga kuendelea na usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa dhidi yake na Kocha Liston Katabazi kwa madai kuwa wanataka kukata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, iliyaoamuru kesi hiyo iendelee kusikilizwa. Kesi hiyo ilitarajiwa kuanza kusilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu,…

Read More

Rais wa Moët Hennessy wa Ulaya, Mashariki ya Kati na Afrika, Atembelea Duka la Msanii Jux

Moët Hennessy inaendelea kuthibitisha uwepo wake kwenye soko linalokua la Tanzania ambapo Thomas Mulliez, Rais wa Moët Hennessy kwa Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika, amezuru nchini Tanzania. Ziara hiyo muhimu imeangazia kuongeza imani ya kampuni hiyo ya kimataifa yenye vinywaji bora kabisa duniani nchini Tanzania kama sehemu inayokuwa kwa kasi na inasisitiza dhamira yake…

Read More

Nne za Pamba Jiji zampa ujanja Minziro

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mechi nne za kirafiki zitamsaidia kutengeneza muunganiko wa kikosi kati ya maingizo mapya na ya zamani na kuwa tayari kwa ushindani kuisaidia timu hiyo kufanya vizuri na kubaki Ligi Kuu. Pamba iliyosajili wachezaji tisa dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu wakiwemo sita wa kigeni, imepanga…

Read More