Kanisa laingilia mvutano mazishi ya Rais Lungu

Lusaka. Zikiwa zimetimia siku 82 tangu Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu (68), afariki dunia, mvutano wa mazishi yake umewaibua viongozi wa dini ambao wametoa wito kwa Serikali kuanzisha majadiliano ya haraka na dhati kwa familia yake. Tangu kufariki dunia kwa Lungu, Juni 5, 2025 Serikali ya Zambia imeingia kwenye mvutano na familia kuhusu…

Read More

Straika la CHAN 2024 latajwa Uholanzi

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa la Algeria, Sofiane Bayazid ambaye amefunga mabao matatu kwenye mashindano ya CHAN 2024 ametajwa huko Uholanzi kwa kuhusishwa na Heracles inayoburuza mkia kwenye msimamo wa Eredivisie. Licha ya Algeria kuishia robo fainali kwenye michuano hiyo, Bayazid alionyesha kiwango kizuri kiasi cha kumezewa mate na Heracles ambayo imeanza msimu huu wa…

Read More

Rais Mwinyi afafanua ongezeko la usawa wa kijinsia Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua katika masuala ya usawa wa kijinsia kuanzia kwenye sera na sheria zilizopo. Amesema Serikali imeanza utekelezaji wake kuhakikisha usalama wa wanawake unazingatiwa kwa kuweka miundombinu bora kwao. Dk Mwinyi ameeleza hayo leo Jumanne Agosti 26, 2025 katika ufunguzi wa mkutano wa saba wa dunia…

Read More

Oussama katika vita ya ufungaji CHAN 2024

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Oussama Lamlioui, amekuwa silaha ya maangamizi kwa Morocco kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), huku akiwa katika nafasi nzuri ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora. Kabla ya mechi za nusu fainali ambazo zilipigwa leo Jumanne, Lamlioui alikuwa akiongoza orodha ya wafungaji akiwa…

Read More

Jaji Mkuu awatangazia kiama waajiri, akililia haki za wafanyakazi

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju, ametaka taasisi binafsi na Serikali kuheshimu haki za wafanyakazi, akisema waajiri wanaoshindwa kupeleka michango ya wafanyakazi watashughulikiwa. Jaji Mkuu huyo amesema yupo hatua za mwisho kuchapisha kwenye Gazeti la Serikali (GN) kanuni za kurekebisha sheria ya mwenendo wa madai, ili waajiri wanaoshindwa kupeleka michango ya wafanyakazi…

Read More

Kiungo Sudan afichua siri za Appiah

KIUNGO wa timu ya taifa la Sudan, Abdel Raouf amefunguka kuhusu uhusiano wake na Kocha Kwesi Appiah, akiueleza kuwa ni zaidi ya kocha na mchezaji kwenye kikosi hicho ambacho jana, Jumanne kilicheza mechi ya nusu fainali ya CHAN dhidi ya Madagascar. Nyota huyo ambaye ni mchezaji wa Al-Hilal, alisema kocha huyo raia wa Ghana ni…

Read More

-DKT. BITEKO AHIMIZA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO VIKAO VYA KIMKAKATI VYA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akimkabidhi Cheti Mwenyekiti wa Bodi ya Hifadhi ya Ngorongoro, Jenerali Venance Mabeyo wakati wa ufungaji wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs Forum 2025) kilichofanyika Agosti 26, 2025 katika Ukumbi wa AICC Jijini Arusha. Cheti hicho kimekabidhiwa kwa kuwa NCAA imekuwa…

Read More