‘Simba Day’ Rushine, Naby bado hawaamini

SIMBA juzi ilihitimisha shangwe la Simba Day msimu wa 17 kwa kuwapa raha Wanamsimbazi kwa burundani ya wasanii mbalimbali pamoja na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, huku baadhi ya nyota wa timu hiyo wakiwa hawaamini walichokiona Kwa Mkapa. Katika tamasha hilo lililopambwa na burudani mbalimbali ikiwamo ya muziki na mechi…

Read More

Wanaodaiwa kughushi vibali vya kumiliki silaha, upelelezi wao upo hatua za mwisho kukamilika

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi, upo hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Clemence Kato, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Septemba 11, 2025 ilipofikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa. Wakili Kato ametoa maelezo hayo,…

Read More

Mligo asahau ya nyuma ajikite na mpira Simba

ANTHONY Mligo ni miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri sana katika kilele cha Tamasha la Simba maarufu kama Simba Day, juzi Jumatano. Ni beki wa kushoto ambaye Simba imesajili kutokea Namungo FC baada ya kuondokewa na wachezaji wawili wa nafasi hiyo, Mohamed Hussein na Valentine Nouma. Mligo alipandisha vyema timu mbele na muda ambao alitakiwa kulinda…

Read More

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AWAFUNDA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA TANGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Oscar Assenga,TANGA. IKIWA zimesali siku chache kuingia kwenye uchaguzi Mkuu Octoba 29 Ofisi ya Vyama vya Msajili nchini imekutana naviongozi wa vyama vya siasa mkoani Tanga kwa lengo la kutoa elimu ya masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi kuhakikisha vinafuata sheria na kanuni zilizowekwa. Elimu hiyo ilifanyika leo kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la…

Read More

Benni McCarthy asiitumie Tanzania kujitetea Kenya

MARA mbili tofauti, Benni McCarthy ameizungumzia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ katika mazingira ambayo hata hakukuwa na sababu za kuitaja au kuizungumzia hadi kijiwe kikamshangaa. Ya kwanza ilikuwa ni baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi ya mashindano ya CHAN 2024 ambapo katika mazungumzo yake na waandishi wa habari akasema Tanzania iliyokuwa imeongoza…

Read More

Dk Mwinyi : Sera ya nishati kukuza utafiti, teknolojia na uvumbuzi Zanzibar

Unguja. Wakati ikizinduliwa sera ya nishati, imetajwa kukuza uwekezaji katika utafiti, teknolojia na uvumbuzi kwenye maeneo ya nishati safi, matumizi bora na teknolojia za kisasa zinazopunguza gharama na kuongeza ufanisi. Hayo yamebainishwa leo Septemba 11, 2025 na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wakati wa kuzindua sera hiyo Unguja Zanzibar. Amesema sera hiyo inahamasisha matumizi…

Read More

Mwijage amkosha Maximo Kagame | Mwanaspoti

MIONGONI mwa wachezaji ambao kocha wa KMC, Marcio Máximo anavutiwa na uwezo wao kwenye kikosi hicho ni pamoja na Edson Erick Mwijage ambaye amepachika mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame. Mwijage ambaye ni usajili mpya wa KMC akitokea Kagare Sugar ambayo ilishuka daraja msimu uliopita, amehusika katika mabao…

Read More

Mauaji ya mwanaharakati wa Trump kuzua mpasuko mpya wa kisiasa Marekani

Washington. Rais Donald Trump ameagiza bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti, huku akitoa ujumbe mzito wa maombolezo kufuatia mauaji ya mwanaharakati na mshirika wake wa karibu, Charlie Kirk, yaliyotokea katika chuo kikuu huko Utah. Trump kupitia video fupi ya dakika nne aliyoichapisha kwenye akaunti yake ya Truth Social amelaani kitendo hicho kwa kusema; “kuwafanya wapinzani…

Read More