Nchi sita zazikamia Sh35 m Tanzania Open

ZAIDI ya nyota 150 wa gofu kutoka mataifa sita ya kiafrika wanatarajia kushiriki michuano ya wazi ya Tanzania Open 2025, kuwania Sh35 milioni. Nyota hao wanatoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Zambia, Malawi na Zimbabwe ambao wamethibitisha ushiriki wao zikiwa zimesalia siku saba kabla ya michuano hiyo itakayoanza Oktoba 2, kwenye viwanja vya Arusha Kili…

Read More

Mahakama Kuu kuamua hatima ya Tundu Lissu, leo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo Jumatatu Septemba 22, 2025, inatarajia kutoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema taifa, Tundu Lissu. Hatua hiyo inatokana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa huyo mahakama hapo Septemba 16, 2025 la kudai kuwa hati ya mashtaka ni batili kutokana na kukiuka masharti…

Read More

MAADHIMISHO YA HAKI YA MLAJI KUTOA MWANGA KWA WANANCHI, WAZIRI KAPINGA KUTARAJIWA KILELE KITAIFA

 :::::::::::::::: Tume ya Ushindani (FCC) imeanza rasmi maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki ya Mlaji Duniani kwa kuzindua kampeni ya kitaifa ya utoaji elimu kwa umma. Kupitia kampeni hiyo, walaji na wafanyabiashara watapatiwa mafunzo yanayolenga kuwajengea uelewa kuhusu haki, wajibu na misingi ya ushindani wa haki katika soko. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More

Hii ndiyo sababu – Masuala ya Ulimwenguni

Vingi vya vifo hivi vinaweza kuzuilika kwa njia zilizothibitishwa, za gharama ya chini na upatikanaji wa huduma bora za afya, ripoti inasisitiza. Kwa mara ya kwanza, uchambuzi unatoa picha kamili ya sio tu ni watoto wangapi wanakufa na wapi – lakini pia kwa nini, kwa kuunganisha kikamilifu makadirio ya kimataifa juu ya sababu za kifo….

Read More