
SEMINA YA MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI MWAKA WA FEDHA 2025/2026: SERIKALI YAPUNGUZA KODI YA UINGIZAJI VITENGE
Na Karama Kenyunko MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa imekutana na wadau mbalimbali mkoani Kigoma kwa ajili ya kutoa elimu juu ya mabadiliko ya sheria za kodi kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Katika kikao hicho kilichofanyika Agosti 25, 2025, TRA imeeleza kuwa Serikali imepunguza kodi ya uingizaji wa…