CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025.  

Read More

Bilioni 388.8 kujenga Afcon City Unguja

WAKATI Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi zitakazokuwa wenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imejiandaa vizuri kupokea ugeni huo kwa kuanzisha mradi wa michezo uliopewa jina la Afcon City. Mradi huo unaojengwa Fumba kisiwani Unguja, unatarajiwa kugharimu dola za Marekani milioni 150 (Sh388.8 bilioni za…

Read More

WAZIRI MKUU AKAGUA BANDARI YA KASANGA MKOANI RUKWA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo. TPA ilifanya upanuzi wa bandari ya Kasanga mwaka 2019 kwa kuongeza urefu wa gati kutoka mita 20 hadi 120 ya kina cha…

Read More

Ghasia za Ukraine ‘mbaya zaidi kuliko hapo awali’, Baraza la Usalama lasikia – Masuala ya Ulimwenguni

Rosemary DiCarlo alielezea mzozo huo kama “karibu siku 1,500 za kifo, uharibifu na kukata tamaa” na kusisitiza wito wa muda mrefu wa Umoja wa Mataifa wa kusitisha mapigano. Tangu vita kuanza, raia 15,364 wameuawa, ikiwa ni pamoja na watoto 775, na zaidi ya 42,000 wengine kujeruhiwa, ingawa idadi halisi inaweza kuwa juu. “Mateso na uharibifu…

Read More

Mtunzi ajivunia vitabu vyake kusomwa kimataifa kupitia MwanaClick

Dar es Salaam. Ni imani kuwa, mambo yanayohusu vijana yakizungumzwa na vijana wenyewe hueleweka zaidi. Ndivyo anavyoamini Abdulkadir Thabit Massa, hivyo kuwekeza muda wake mwingi kuandika kazi za fasihi zinazohusu vijana. Licha ya kuwapo sera na miongozo inayohusu kundi hilo, bado wenyewe wanapaswa kusimama kueleza wanayokabiliana nayo na kushirikishana fursa na mbinu za kutatua changamoto…

Read More

Mafuriko ya watu mahakamani Mpina akipigania haki yake

Dodoma. Idadi ya watu waliofika mahakamani leo kusikiliza kesi ya mgombea urais wa Chama cha ACT –Wazalendo, Luhaga Mpina imeongezeka ukilinganisha na siku zingine. Watu wengi waliofika mahakamani leo wamevalia nguo zinazotumiwa na chama hicho kama sare yao ingawa wengi wanaonekana kuwa na nguo za kawaida na wote wameruhusiwa kuingia katika ukumbi wa Mahakama Kuu…

Read More

CCM yamteua Kirumbe Naibu Katibu Mkuu Wazazi

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini aliyemaliza muda wake, Kirumbe Ng’enda ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ng’enda anaukwaa wadhifa huo, akimrithi Mirumbe Chacha kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa chama hicho. Taarifa ya uteuzi wa Ng’enda inakuja siku moja baada ya jina lake…

Read More