Vanuatu anatarajia enzi mpya katika malipo ya mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Serikali ya Vanuatu, pamoja na Ralph Regenvanu, Waziri wa Mabadiliko ya Tabianchi; Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Pasifiki Dk. Stuart Minchin; Vishal Prasad, Mkurugenzi wa Wanafunzi wa Visiwa vya Pasifiki wanaopigania mabadiliko ya hali ya hewa; na Julian Aguon, Mkurugenzi wa Sheria ya Bahari ya Blue, waandishi wa habari wanaandika kwa UNOC3. na Cecilia Russell…

Read More

DENMARK NA NCHI WASHIRIKA ZAIPONGEZA SUGECO KWA UWEZESHAJI VIJANA SEKTA YA MIFUGO

Farida Mangube, Morogoro Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Jesper Kamp, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa ilizopiga katika kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia sekta ya mifugo, hatua inayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa vijana wa Kitanzania. Balozi Jesper ametoa pongezi hizo Mkoani Morogoro kwa niaba ya mabalozi wenzake kutoka nchi za Nordic ambazo ni Denmark, Norway,…

Read More

Kiswahili chazidi kuula nchini China

Dar es Salaam. Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian amesema urafiki wa muda mrefu uliopo kati ya China na Tanzania, umekuwa fursa ya lugha ya Kiswahili kupendwa na kuzidi kukua nchini mwake. Hatua hiyo alisema imesababisha vyuo sita nchini humo kuanzisha vitivyo maalumu vya kufundisha Kiswahili. Balozi Mingjian aliyasema hayo hivi karibuni kwenye hafla…

Read More

Young Profile yaipoteza Crossover | Mwanaspoti

TIMU ya Young Profile imeifunga Crossover kwa pointi 52-49 katika Ligi ya Kikapu Mwanza kwenye mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mirongo mjini humo. Ushindi wa Young Profile ulitokana na muda wa nyongeza ulioongezwa baada ya timu hizo kufungana pointi 43-43 katika robo zote nne. Baada ya dakika tano kuongezwa, Young Profile ilianza mchezo kwa kasi…

Read More

Kocha KMC, Mubesh aona mwanga KMC

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United. Mei 14, mwaka huu ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora, KMC iliichapa Tabora United bao 1-0 lililotokana na penalti ya dakika…

Read More

Wanaonyanyasa wanawake wajane, kufanya ukatili jinsia waonywa

Mbeya. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji vinavyotendeka dhidi ya wanawake wajane nchini. Onyo hili limekuja kufuatia kilio cha wajane kwa Serikali, wakidai kuingilia kati kwa dharura ili kudhibiti vitendo hivyo vinavyoathiri kisaikolojia na kuwatatiza kupata msaada wa kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi wa…

Read More

Kumekucha Climate Change Marathon 2024

MSIMU wa tatu wa mbio za mabadiliko ya Tabia Nchi kwa mwaka 2024, Climate Change Marathon 2024 zinatarajiwa kufanyika wilayani Pangani kwa mara ya  kwanza zikihusisha washiriki kutoka ndani na nje ya Tanzania zikilenga kukusanya fedha zitakazotumika kugawa majiko ya gesi ya kupikia kwa wanawake. Wanufaika katika mbio hizo ambao ni wanawake kutoka katika wilaya…

Read More