BEI ZA MAFUTA MWEZI SEPTEMBA 2025 ZAENDELEA KUSHUKA

 Picha na Mtandaoni  ,::::::::::  Bei za mafuta zinazotumika nchini kuanzia leo Septemba 3, 2025, zimeonesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa petroli na shilingi 23 kwa dizeli kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia.

 Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dkt…

Read More

Maana mabadiliko ya ada za bandari

Dar es Salaam. Mjadala umeibuka miongoni mwa wadau wa sekta ya uchukuzi na wafanyabiashara kufuatia kutangazwa kwa ada mpya za mizigo ya ndani katika bandari nchini, huku baadhi wakidai zinaongeza gharama za biashara. Hata hivyo, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema hatua hiyo inalenga kuboresha miundombinu na kuongeza ufanisi wa huduma za bandari….

Read More

Maseke apewa miwili Coastal Union

TIMU ya Coastal Union imeendelea kuboresha kikosi chake kwa ajili ya kufanya vizuri msimu unaoanza Septemba 17, ambao mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu itakuwa mwenyeji wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Chanzo cha uhakika kililiambia Mwanaspoti, uongozi wa timu hiyo umemsainisha kipa Wilbol Maseke mkataba wa miaka miwili, ukiamini uzoefu wake utakuwa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Malalamiko haya yamalizwe mapema

Malalamiko ni silika ya kawaida kwa mwanadamu yeyote. Pale anapoguswa na hali isiyompendeza, mtu hataacha kulalamika hata iwe kwenye mambo madogo kiasi gani. Mmoja atalalamikia uhuru na haki zake, lakini mwingine atalalamika hata aking’atwa na mbu. Wataalamu wanasema malalamiko ni dawa ya kuepusha msongo, ni mbaya sana kuishi na vijiba rohoni. Malalamiko yanataka kufanana kidogo…

Read More

Urais 2030 waanza kuitikisa CCM, Wasira aonya

Bunda. Mbio za urais mwaka 2030 ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) zimeanza kufukuta ndani ya chama hicho huku Stephen Wasira akiwoanya wale wote walioanza harakati hizo muda haujafika. Wasira ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara amesema wale wote wanaofanya hivyo wanakiuka kanuni, miongozo na utaratibu na hatua hiyo inaweza kukigawa chama badala ya…

Read More

CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI SHINYANGA MJINI

  Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde  Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa…

Read More

Mtanzania aula na makinda ya Barcelona 

MCHEZAJI kinda wa Kitanzania, Barka Seif, ameula katika kikosi bora cha vijana wenye umri chini ya miaka 12 kilichochaguliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la Catalonia (FCF). Kikosi hicho kinajumuisha wachezaji wenye vipaji kutoka klabu mbalimbali ndani ya Catalonia kama vile Barcelona, Espanyol RCD, Girona na Damm. Barka amechaguluwa katika kikosi hicho kufuatia kufunga mabao 18 katika…

Read More