LHRC yatia neno sakata matukio ya Simiyu

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wazi kuhusu matukio yaliyotokea, Wilaya ya Busega mkoani Simiyu kikidai uwajibikaji kutoka kwa waliohusika. Kituo hicho pia kimehimiza vyombo vya usalama kuheshimu haki za binadamu na kurejesha imani ndani ya jamii, ambayo imeporomoka kutokana na matukio…

Read More

Beki Azam aandika rekodi mbili Bara

BAO moja lililofungwa na beki wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda katika ushindi wa kikosi hicho wa mabao 5-0, dhidi ya Dodoma Jiji, Mei 13, 2025, limemfanya nyota huyo kuandika rekodi mbili muhimu, huku akiwa na msimu bora na timu hiyo hadi sasa. Lusajo alifunga bao katika dk6, akiunganisha kwa kichwa mpira wa kona uliopigwa na…

Read More

Iliyopigwa 10 ina kazi kwa Singida Black Stars

VIBONDE wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame, Garde-Cotes ya Djibout ambayo imechapwa jumla ya mabao 10-0 katika mechi mbili zilizopita, itakuwa na kibarua kizito leo, Jumatatu katika kundi A cha kukabiliana na Singida Black Stars kwenye uwanja wa KMC. Garde-Cotes ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi zaidi msimu huu katika michuano hiyo iliyoanzishwa 1967, ilianza…

Read More

Uchaguzi serikali za mitaa, ‘muziki’ wa vyama vitatu

Dar es Salaam. Wakati kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikifikia kilele kesho, vyama vitatu vya CCM, Chadema na ACT Wazalendo vimeonyesha ushindani mkali kwenye maeneo  vilivyosimamisha wagombea. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akizungumza na wananchi katika stendi ya Kabwe jijini Mbeya wakati wa ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa ya…

Read More

Mapendekezo saba ya wadau wa demokrasia

Dar es Salaam. Wadau wa demokrasia nchini wametaja hatua zinazofaa kuchukuliwa kuimarisha mifumo ya demokrasia na kupendekeza mambo 7 muhimu ya kufanyiwa kazi likiwamo suala la kuandikwa kwa Katiba mpya. Kauli za wadau hao zimetolewa leo Jumatatu Septemba 15, 2025 katika maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za…

Read More

Makada CCM katika vita mpya ya umeya, wenyeviti

Dar/Moshi. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikitoa saa 48 kwa makada wake wanaotaka kuwania umeya na wenyeviti wa halmashauri nchini kuchukua na kurejesha fomu, mvutano wa kuwania nafasi hizo umeshika kasi. Dirsha la kuchukua na kurejesha fomu limefunguliwa kwa siku mbili kuanzia leo Alhamisi, Novemba 20, 2025 na litahimishwa kesho Ijumaa, saa 10 jioni, kisha…

Read More