MALIASILI, MAHAKAMA KUIMARISHA USHIRIKIANO KULINDA HIFADHI

……………. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara anayeshughulikia Uhifadhi, Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba ametoa kauli hiyo jijini Arusha alipokuwa akifunga mafunzo ya kikazi kwa majaji, wadau wa haki jinai na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) yaliyolenga kuimarisha uhifadhi endelevu wa maliasili. “Miongoni mwa hatua tunazochukua ni kutoa elimu ya uhifadhi, kuimarisha uwajibikaji wa…

Read More

Meridianbet Yaleta Wiki ya Pesa kwa Wapenzi wa Kasino

MERIDIANBET imefungua milango kwa tukio la kipekee la kasino, lijulikanalo kama Champions Clash ambalo linatarajiwa kuwasha moto kuanzia Septemba 11 hadi 17, 2025. Ndani ya siku saba hizi, wachezaji wa kasino wataingia kwenye ulingo wa ushindani kupitia michezo maarufu ya Pragmatic Play kama Sweet Bonanza Super Scatter, Mahjong Wins Super Scatter, na Gates of Olympus…

Read More

Moto wateketeza stoo ya viatu Kariakoo

Dar es Salaam. Taharuki imetanda katika Mtaa wa Narung’ombe, Kariakoo baada ya sehemu ya jengo lenye ghorofa saba kuungua moto leo, huku chanzo cha moto kikiwa bado hakijajulikana. Moto huo umetokea leo Septemba 22, 2025 katika Mtaa wa Narung’ombe katika moja ya ghorofa linalotumika kuhifadhia mizigo ya wafanyabiashara mbalimbali waliopanga eneo la Kariakoo. Mashuhuda wamesema…

Read More

UN Yazindua Rufaa ya Kibinadamu ya Dola Milioni 300 kwa Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Mnamo tarehe 5 Machi, maelfu ya watu, wakiwemo watoto wengi, walikimbia makazi yao kusini na vitongoji vya kusini mwa Beirut, huku wengi wakikusanyika mitaani au kujaribu kufikia maeneo salama. Watoto ni miongoni mwa walioathirika zaidi huku familia zikikabiliwa na kuhamishwa, kutokuwa na uhakika na ufikiaji mdogo wa huduma muhimu. Credit: UNICEF Lebanon na Naureen Hossain…

Read More

DC MSANDO AKABIDHI MAGARI MAWILI TANESCO

MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amesema amekabidhi magari mawili kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni muendelezo wa jitihada zinazokufanywa na serikali katika kuhakikisha inaimarisha miundombinu na kuongeza ufanisi na uhakika wa upatikanaji wa huduma ya nishati ya umeme nchini. Msando amekabidhi magari hayo leo wilayani Ubungo mkoani Dar es Salaam, kwa…

Read More