RAIS DKT. MWINYI AFUNGUA SOKO LA KISASA CHUINI, ATOA MAAGIZO SABA KUHUSU USIMAMIZI WAKE
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameuagiza uongozi wa Soko la Chuini kuhakikisha unadumisha usafi na nidhamu kwa kusimamia wafanyabiashara wote wafanye shughuli zao ndani ya maeneo rasmi yaliyotengwa. Dkt. Mwinyi alitoa maagizo hayo leo, Septemba 4, 2025, alipofungua rasmi Kituo cha Mabasi na Soko la Kisasa…