Makamu mwenyekiti wa TLP Zanzibar afariki Dunia

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party  (TLP), Zanzibar Hamad Mkadam amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, wakati akipatiwa matibabu ya afya kwenye moja ya hospitali kisiwani Pemba. Mkadam amefariki ikiwa ni mwezi mmoja na siku nne umepita tangu achaguliwa kuendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo katika uchaguzi uliofanyika Februari 2,2025 jijini Dar es Salaam….

Read More

Simba yabisha hodi Mamelodi, yaondoka na De Reuck

SIMBA inaripotiwa imemnasa beki wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Rushine De Reuck kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mtandao wa idiskitimes.co.za wa Afrika Kusini umeripoti kwamba beki huyo mwenye umri wa miaka 29 anaondoka Mamelodi Sundowns baada ya kuitumikia kwa miaka minne. Ndani ya Simba, De Reuck anategemewa kuziba pengo la Che Fondoh Malone ambaye ameachana…

Read More

Nyumbani kwa Naibu Waziri Ujenzi walilia barabara

Songwe. Wananchi wa Kijiji cha Bwenda kilichopo katika Kata ya Lubanda mkoani Songwe, wamemlilia mbunge wa jimbo la Ileje (CCM) na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya kuhusu ubovu wa barabara katika jimbo hilo ambayo haipitiki wakati wa masika. Wananchi hao, pia, wamemlalamikia mkandarasi aliyetekeleza mradi wa barabara inayosimamiwa na Wakala wa Barabara Vijijini na…

Read More

MZEE WA FACT: Treni inavyookoa timu za Tabora

Tabora United, warina asali kutoka mjini Tabora, wamefanya lile ambacho wengi wameshindwa kukifanya katika soka la nyumbani, kwa takribani miaka mitano sasa. Ushindi wao wa 3-1 walioupata Novemba pili mwaka huu dhidi ya Yanga dimbani Azam Complex jijiji Dar es Salaam umeandika historia ya kuwa kipigo kikubwa cha kwanza kwa Yanga tangu Januari 18, 2020….

Read More

Rais Samia: Kila anayestahili fidia atalipwa

Madaba. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mwananchi atakayeguswa na mradi unaotekelezwa na Serikali asilipwe fidia. Ingawa inaweza kuchelewa, amesema Serikali itahakikisha inampa kila mwananchi haki yake anayostahili. Rais Samia ametoa hakikisho hilo la fidia kwa wananchi wakati akijibu ombi la Mbunge wa Madaba (CCM), Dk Joseph Mhagama aliyeomba wananchi watakaopitiwa na ujenzi…

Read More

RC Chongolo kuondoa changamoto ya foleni ya malori Tunduma

Tunduma. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, ameunda kamati maalumu kuchunguza sababu za ucheleweshaji wa malori ya mizigo kuvuka mpaka wa Tunduma, ambapo imebainika baadhi hukaa hadi siku nane yakisubiri vibali vya kuvuka. Kamati hiyo imeundwa baada ya Chongolo kufanya mazungumzo na wadau wa usafirishaji kwenye kituo cha kutoa huduma kwa pamoja (OSBP) kilichopo…

Read More