Wasaini kanuni za maadili wakikumbushwa kuzingatia wajibu

Unguja. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amezitaka pande tatu zinazohusika katika mchakato wa uchaguzi kuzingatia maelekezo ya kanuni za maadili ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, unafanyika kwa amani, haki na mshikamano. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Agosti 24, 2025, katika ofisi kuu za ZEC Maisara,…

Read More

MWANAMKE NDIYE MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, na utunzaji wa familia huku akiwahimiza walimu kushirikiana katika malezi ya watoto shuleni. Na Neema Nkumbi, Kahama Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela, amesema mwanamke ndiye chanzo cha maadili katika jamii, huku…

Read More

Baharia anayeamini 2025 ni zamu yake kuwa Rais

Mambo mengi yanajenga kumbukumbu kuhusu Mei 18, 1966. Chombo cha anga cha Surveyor 1, kilichobuniwa na kuundwa na Shirika la Sayansi ya Anga la Marekani (Nasa), kilitua kwa mara ya kwanza mwezini kwa majaribio. Kwa Canada, ni kumbukumbu mbaya kwani magaidi walilipua jengo kuu la Bunge la nchi hiyo kwa mabomu yaliyotegwa. Kinyota, Mei 18…

Read More

Huduma za miamala ya simu zinavyosukuma uchumi wa nchi

Mara nyingi mijadala ya maendeleo ya uchumi huzungumzia miradi mikubwa inayoweza kuonekana kwa macho kama barabara, reli, bandari, viwanja vya ndege au miradi ya nishati, pengi ni kwakuwa inahusisha uwekezaji mkubwa na kugusa sekta nyingi za uchumi. Mbali na miradi hiyo mikubwa, kuna nguvu nyingine ya miundombinu ambayo haijengwi kwa saruji wala chuma na haihitaji…

Read More

Tume ya haki za binadamu yachunguza vurugu kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kushambuliwa wanachama wake na Polisi wakiwa Mahakama Kuu walipokwenda kuhudhuria kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wao, Tundu Lissu, yameisukuma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kuanzisha uchunguzi. Chadema, katika taarifa yake ya Septemba 15, 2025, imelaani kitendo cha Jeshi la Polisi…

Read More