‘Mzimu’ wa mastaa kubeti unavyotikisa Ligi Kuu

Miaka 30 iliyopita, kulikuwa na staa mmoja wa soka la Colombia, ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi huko kwao. Unajua ilikuwaje? Ni stori ya kuhuzunisha ya Andrés Escobar Saldarriaga (Gentleman), moja ya mastaa waliokumbwa na janga kubwa kuwahi kutokea kwenye soka. Staa huyo alikuwa beki wa timu ya taifa ya Colombia na klabu za Atletico Nacional,…

Read More

Fadlu: Huyo Ramovic? Ngojeni muone

YANGA imeshinda mechi yake ya kwanza chini ya kocha Sead Ramovic, ushindi ulioshusha presha kwa mashabiki wa timu hiyo lakini kocha wa watani wao Fadlu Davids amefunguka juu ya anayoyajua kuhusu Mjerumani huyo.Yanga iliichapa Namungo juzi kwa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Majaliwa, mabingwa watetezi wakiendeleza rekodi ya kibabe mbele ya timu hiyo ukiwa ni…

Read More

Wazee wa mila wachukua hatua zaidi kuhifadhi mazingira

Dodoma. Serikali imehimizwa kutumia wazee wa mila katika juhudi za kulinda mazingira, kwani bila ushirikiano wao hali inaweza kuwa mbaya zaidi na migogoro kuongezeka. Ushauri huo umetolewa leo Jumatano Julai 23, 2024, na Mzee wa mila (Laigwanani) Lameck Kampu kutoka jamii ya wafugaji Kata ya Patimbo, Wilaya ya Kiteto. Ameeleza kuwa migogoro mingi hutokea kila…

Read More

TANESCO YASHINDA TUZO YA UTOAJI HUDUMA BORA SABASABA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeshukuru wadau kwa kutambua mchanguo wao katika utoaji huduma bora kwa wananchi na kupelekea kupata tuzo ya mtoa huduma bora iliyotolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya 48.ya biashara ya kimataifa. Akizungumza mara baada ya kupata tuzo hili Afisa masoko TANESCO makao makuu Innocent…

Read More

Serikali, TLS yaivalia njuga vita ya ukatilii wa jinsia

  SERIKALI imesema ili kukomesha ukatili wa jinsia na kwa watoto, itaendelea kushirikiana na jamii ili kufichua matukio hayo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba, Dk. Franklin Rwezimula, ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya matembezi ya amani ya kupinga utekaji na mauaji dhidi ya…

Read More

Serikali yaonya ujazaji abiria kwenye vyombo vya baharini

Pemba. Wakati Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ikiendelea kuwataka wamiliki wa vyombo vya usafiri wa baharini kuepuka kubeba abiria kupita kiasi, wazazi na walezi pia wametakiwa kupunguza idadi ya watoto wanaosafiri nao ili kuimarisha usalama wao safarini. Wito huo umetolewa leo, Desemba 29, 2025, na Ofisa Mdhamini wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Ibrahim Saleh…

Read More

‘Vyama vya Ushirika badilikeni’ – Mtanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imeendelea kutoa msisitizo kwa Vyama vya Ushirika na kuvitaka kujenga misingi imara ya ushirika ili kumlinda mkulima badala ya kumnyonya na kumdhulumu haki zake. Hayo yamesemwa na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) Oktoba 1, 2024 wakati akizindua Kiwanda cha Kubangua Korosho cha TANECU kilichopo Newala, mkoani Mtwara. Waziri…

Read More