Maeneo yaliyotelekezwa Mbeya kurudishwa serikalini
Mbeya. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewataka waliokuwa wamiliki wa maeneo ya viwanda jijini Mbeya yaliyotelekezwa kujisalimisha katika Ofisi ya Kamishna wa Ardhi mkoani humo kwa ajili ya kupewa maelekezo, kabla ya Serikali kuyarejesha na kuyapiga mnada. Hatua hiyo imefuatia ukaguzi uliofanywa Februari 25, 2026 katika viwanja takribani 127 vilivyotelekezwa kwa muda…