SMZ ITAENDELEA KUCHUKUA HATUA NA KUTEKELEZA MKAKATI WA USALAMA BARABARANI- MHE. HEMED ABDULLA

Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuchukua hatua mbali mbali pamoja na kutekeleza mkakati wa usalama barabarani mwaka 2020-2030 ili kuhakikisha inaondosha vifo visivyokuwa na lazima pamoja na ulemavu wakudumu kwa wananchi unaosababishwa kuwepo kwa ajali za barabarani. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla katika hafla ya…

Read More

Dilunga asimama na Chama | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Hassan Dilunga amemtaja Clatous Chama kuwa ni kiungo bora aliyewahi kumshuhudia kwa miaka ya hivi karibuni kwa mastaa wa kigeni waliobahatika kucheza Ligi Kuu Bara. Dilunga na Chama waliwahi kucheza pamoja ndani ya Simba ambapo msimu wa 2018/19 wakati timu hiyo inafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Siri ya ubilionea wa matajiri wakubwa duniani

Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa duniani kuna mabilionea wa Dola za Marekani (wenye ukwasi unaozidi Sh2.7 trilioni) takribani 3,200. Kati ya hao, zaidi ya 1,000 wanatokea Amerika ya Kaskazini, zaidi ya 900 wanatokea Ulaya, Asia wana zaidi ya 800, huku Afrika ikiwa nao chini ya 50. Katika kila bara duniani, kuna mtu mmoja ambaye ni tajiri…

Read More

Mafunzo ya amali mkombozi kwa watoto wenye ulemavu

Dar es Salaam. Serikali imeombwa kuendelea kushirikiana na wadau kuwawezesha watoto wenye changamoto ya ulemavu wa akili na mtindio wa ubongo ili kupata ujuzi kuwawezesha kujiajiri. Pia, imeombwa kutoa elimu kwa jamii, wakiwamo wazazi wa watoto wenye changamoto hizo ili kuondoa unyanyapaa. Mkugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafiga Women & Youth Development Organization (Mwayodeo), Venance…

Read More

Utoro mawaziri bungeni, mpira warejeshwa kwa spika

Dodoma. Sakata la utoro wa mawaziri, naibu mawaziri na wabunge bungeni limewaibua wachambuzi wa masuala ya siasa baadhi wakirudisha mpira kwa Spika wa Bunge kutumia kanuni kukomesha hali hiyo. Baadhi ya waliozungumzia suala hilo wamesema linachangiwa na homa ya uchaguzi majimboni mwao. Oktoba 31, 2024, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alisema kutokuwapo mawaziri bungeni…

Read More

Jeshi laanza rasmi jukumu la kuiongoza kwa muda Bangladesh – DW – 06.08.2024

Rais wa Bangladesh Mohammed Shahabuddin tayari amelivunja bunge katika utekelezaji wa hatua ambayo ni moja ya matakwa muhimu ya wanafunzi walioandamana. Taarifa ya kuvunjwa kwa bunge hilo imetolewa na katibu wa habari wa Rais Shiplu Zaman. Mkuu wa jeshi Jenerali Waker-Uz-Zaman anatazamiwa kukutana na viongozi wa maandamano ya wanafunzi wakati taifa hilo likisubiri kuundwa kwa…

Read More