Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono
Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono – Global Publishers Home Habari Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono
Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono – Global Publishers Home Habari Rais Samia Atunukiwa Tuzo ya Kiongozi Mwenye Maono
Nadhani wengi mmeishasikia baadhi ya wanandoa walioshindwa kuimarisha ndoa zao kwa sababu mbalimbali wakitafuta misaada. Si vibaya kutafuta misaada hata ushauri. Je, ni wapi upate vitu hivi na wakati gani na namna gani ufanye hivyo? Nini unapaswa kuzingatia na kutahadhari? Hili ndilo suala tutakalodurusu leo. Ni jambo la kawaida kusikia wanandoa wakienda kwa viongozi wa…
Hadithi na simulizi za kusalitiana, ugomvi, hekaheka, kukosa uhuru na amani zinazotolewa katika mitandao ya kijamii zinaweza kuwa miongoni mwa sababu zinazowafanya baadhi ya vijana kuingia katika taasisi hiyo? Katika mitandao hiyo ya Instagram, X, Facebook na TikTok zinapokuja mada na simulizi za uhusiano zinazopata uungwaji mkono kwa wingi ni zile zinazohusu changamoto kiasi cha…
:::::::::: Askari wa Jeshi la Polisi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa amani nchini Sudan Kusini wameendelea kuonyesha umahiri mkubwa katika kupambana na vitendo vya ukatili, hususan kwa kutoa elimu kwa jamii zilizoathirika. Hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupungua kwa matukio ya ukatili katika maeneo wanayohudumia. Miongoni mwa askari hao ni Koplo…
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika Novemba 2025, yakionesha picha mseto ya ufaulu ambapo wasichana wameongoza kwa idadi ya waliofaulu, huku wavulana wakionesha ubora zaidi wa ufaulu kwa madaraja ya juu. Matokeo hayo yanaonesha kuwa ufaulu umeongezeka ikilinganishwa na mwaka 2024, hali inayoashiria maendeleo…
Nimeolewa huu mwaka wa pili, kwa bahati mbaya wakati ninafunga ndoa na mume wangu mama yangu alikuwa masomoni nje ya nchi, alifahamishwa kuhusu ndoa hiyo akashindwa kurudi kwa sababu mbalimbali na nilijitahidi kumuonyesha mume wangu na walikuwa wakizungumza kupitia video call. Mara kadhaa alikuwa anataka kujua anafanya shughuli gani akawa anamjibu ni mtaalamu wa kompyuta…
Na Mwandishi wetu, Tanga. Je umewahi kutembelea Mapango ya Amboni na kupata simulizi zake? Pengine kwa muda mrefu unatafuta mchumba uoe au uolewe lakini mambo kila ukiyapanga hayakai mkao ulionyooka, suluhisho la jambo hili linapatikana kwa kutembelea mapango ya Amboni Tanga ili uweze kufanikisha lengo lako kupitia pango linaloitwa Fatuma. Hifadhi ya Mapango ya Amboni…
● Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono ● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2025. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards) kutokana na uongozi wake bora na wa kimkakati katika kukuza…
MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wa Halmashauri ya Mji Handeni, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi yaliyolenga kuwaimarisha katika masuala ya utawala bora, ufuatiliaji wa mapato na uelewa wa mipaka ya majukumu yao katika uendeshaji wa halmashauri. Na Augusta…
Na Philipo Hassan – Arusha Kamishna wa TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji, jana Januari 31, 2026 alipokea tuzo ya “Best Development Partner Supporting Tourism Development” kwa niaba ya Shirika la Korea International Cooperation Agency (KOICA), katika hafla ya utoaji wa tuzo za The Serengeti Awards zilizofanyika katika Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha. Tuzo hiyo…