Mnajua pa kwenda ndoa inapoyumba?     

Nadhani wengi mmeishasikia baadhi ya wanandoa walioshindwa kuimarisha ndoa zao kwa sababu mbalimbali wakitafuta misaada. Si vibaya kutafuta misaada hata ushauri. Je, ni wapi upate vitu hivi na wakati gani na namna gani ufanye hivyo? Nini unapaswa kuzingatia na kutahadhari? Hili ndilo suala tutakalodurusu leo. Ni jambo la kawaida kusikia wanandoa wakienda kwa viongozi wa…

Read More

Mitandao inavyowapa hofu vijana kuoa, kuolewa   

Hadithi na simulizi za kusalitiana, ugomvi, hekaheka, kukosa uhuru na amani zinazotolewa katika mitandao ya kijamii zinaweza kuwa miongoni mwa sababu zinazowafanya baadhi ya vijana kuingia katika taasisi hiyo? Katika mitandao hiyo ya Instagram, X, Facebook na TikTok zinapokuja mada na simulizi za uhusiano zinazopata uungwaji mkono kwa wingi ni zile zinazohusu changamoto kiasi cha…

Read More

POLISI KUTOKA TANZANIA VINARA WA KUTOA ELIMU YA KUPINGA UKATILI SUDAN KUSINI

:::::::::: Askari wa Jeshi la Polisi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa amani nchini Sudan Kusini wameendelea kuonyesha umahiri mkubwa katika kupambana na vitendo vya ukatili, hususan kwa kutoa elimu kwa jamii zilizoathirika. Hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupungua kwa matukio ya ukatili katika maeneo wanayohudumia. Miongoni mwa askari hao ni Koplo…

Read More

Sura mseto matokeo kidato cha nne

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika Novemba 2025, yakionesha picha mseto ya ufaulu ambapo wasichana wameongoza kwa idadi ya waliofaulu, huku wavulana wakionesha ubora zaidi wa ufaulu kwa madaraja ya juu. Matokeo hayo yanaonesha kuwa ufaulu umeongezeka ikilinganishwa na mwaka 2024, hali inayoashiria maendeleo…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTIE: Mama anamchukia mume wangu tunayependana

Nimeolewa huu mwaka wa pili, kwa bahati mbaya wakati ninafunga ndoa na mume wangu mama yangu alikuwa masomoni nje ya nchi, alifahamishwa kuhusu ndoa hiyo akashindwa kurudi kwa sababu mbalimbali na nilijitahidi kumuonyesha mume wangu na walikuwa wakizungumza kupitia video call. Mara kadhaa alikuwa anataka kujua anafanya shughuli gani akawa anamjibu ni mtaalamu wa kompyuta…

Read More

RAIS SAMIA AIBUKA KINARA TUZO ZA UHIFADHI NA UTALII

● Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono ● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2025. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards) kutokana na uongozi wake bora na wa kimkakati katika kukuza…

Read More