Minziro awatega mastaa wapya Pamba

LICHA ya kusajili wachezaji 11 dirisha dogo wakiwemo saba wa kimataifa, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema haitakuwa kazi rahisi kufanya vizuri, lakini itawezekana tu endapo kama wachezaji watatambua majukumu yao na timu kuwa na mshikamano. Katika dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mwaka huu, timu hiyo imewanasa nyota wa kimataifa…

Read More

Joe master balozi mpya Sportpesa

KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo. Joe Master analeta uzoefu na ujuzi mkubwa wa tasnia ya sanaa, utakaosaidia kukuza kampuni na bidhaa za Sportpesa. Akizungumza na Wanahabari jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa SportPesa, Sabrina Msuya, alisema; “Tunafuraha kuwa…

Read More

Mastaa wamtaja kipa bora wakiwachambua Camara, Diarra

UKIANGALIA takwimu za makipa wenye cleansheet nyingi kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu, Moussa Camara wa Simba anaongoza akiwa nazo 15, akifuatiwa na Djigui Diarra wa Yanga mwenye 11. Makipa hao ambao wote ni raia wa kigeni, Camara akitokea Guinea na Diarra nchini Mali, wamekuwa wakicheza kikosi cha kwanza kwenye klabu zao sambamba na timu…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Labda Mapinduzi Cup itamfufua Hilika

UKIENDA kule Visiwani Zanzibar, mshikaji wetu Ibrahim Hamad ‘Hilika’ ni staa mkubwa sana na mashabiki wa soka pale huwaambii kitu kuhusu jamaa. Wenyewe kutokana na mahaba ambayo wanayo kwa mshambuliaji huyo wameamua kumpachika jina la utani la straika wa nchi wakimaanisha kuwa pale visiwani hakuna mshambuliaji hatari kumzidi. Mahaba ya Wazanzibar kwa Hilika hayajatokea kwa…

Read More

MABORESHO ZAIDI YANATARAJIWA SEKTA YA ELIMU,WADAU WAFANYA TATHIMINI

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kwa kushirikiana na wadau wameanza kufanya tathimini ya maeneo ya vipaumbele katika sekta ya elimu kwa lengo la kuhakikisha maboresho zaidi yanashuhudiwa katika sekta hiyo nchini. Imeelezwa maboresho hayo yanalenga hasa uendelezaji wa taaluma ya ualimu, kadhalika mpangilio mzuri wa ajira za wanataaluma hao itakayolingana na mahitaji huku ikifafanuliwa baada ya…

Read More

Viongozi wa EU wakutana Budapest – DW – 08.11.2024

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wako Budapest wanakokutana kwenye mkutano wa kilele usio rasmi, kutafuta njia za kuimarisha mikakati yao ya ushindani mbele ya Marekani na China. Mkutano wa kilele wa UlayaPicha: Marton Monus/REUTERS Waziri mkuu wa Hungary Viktor Orban ambaye nchi yake ndiyo mwenyekiti wa sasa wa  Umoja wa Ulaya ametabiri kwamba yatashuhudiwa mabadiliko…

Read More

KANISA LA UFUFUO NA UZIMA LAFUNGIWA

Msajili wa Jumuiya za Kiraia Emmanuel R. M. Kihampa ametoa taarifa ya kufungwa kwa shughuli za kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima. Katika taarifa yake Kihampa ameandika; “katika siku za hivi karibuni, kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, umeonekana ukiwa…

Read More