Bajana ataja yatakayoibeba JKT Tanzania

KIUNGO wa JKT Tanzania, Sospeter Bajana amesema kikosi hicho kitafanya vyema msimu huu, kwa sababu kuu mbili, falsafa ya Kocha Ahmad Ally na ubora wa mastaa. Bajana ambaye ameitumikia Azam kwa kipindi cha miaka 15, huu unakuwa msimu wake wa kwanza JKT Tanzania, akiwa amesaini mkataba wa miaka miwili. JKT Tanzania iliyoanza vyema Ligi Kuu…

Read More

Mwanamke Ahukumiwa Kwa Kula Nauli ya Mwanaume – Video – Global Publishers

Mahakama ya Mwanzo jijini Lagos, Nigeria, imemhukumu mwanamke anayefahamika kwa jina la Jennifer kulipa faini ya ₦450,000 (sawa na zaidi ya Shilingi 730,000 za Kitanzania), baada ya kupatikana na hatia ya kupokea fedha kwa udanganyifu. Kwa mujibu wa kumbukumbu za Mahakama, Jennifer alipokea ₦30,000 (takribani Shilingi 490,000 za Kitanzania) kutoka kwa kijana aitwaye Emmanuel, aliyedai…

Read More

REA YAANZA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU 8,424 KIGOMA

Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa majiko katika Wilaya Kibondo…

Read More

KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More

Jamila Rajabu anavyoisaka rekodi ya kiatu CECAFA

HADI sasa mshambuliaji kinda wa JKT Queens, Jamila Rajabu anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick kwenye michuano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya chama lake kuitandika JKU mabao 5-0. Rekodi hiyo inamfanya kuanza kujiwekea nafasi ya kukitafuta kiatu cha ufungaji bora ambacho hadi sasa kinashikiliwa na Fazila Ikwaput wa Kampala Queens….

Read More