Kipa Mnigeria ampa tuzo Aziz Ki
KIPA wa Tabora United, John Noble ameshindwa kujizuia na kuweka bayana kwa mtazamo wake Kiungo Bora kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara ni Stephane Aziz KI na kutoa sababu za kumpa tuzo nyota huyo wa Yanga anayeongoza kwa mabao akilingana na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam FC. Kipa huyo aliyetunguliwa mara mbili msimu…