Vituo vya afya vimeelewa mno huko Gaza – DW – 18.07.2024

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema kuwa hospitali yake ndogo katika mji wa Rafah imekuwa ikipokea idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji kulazwa hospitalini kutokana na majeraha yanayosababishwa na mashambulizi. Shirika hilo la kimataifa limesema kuwa hospitali nyingi katika eneo hilo zimeelemewa, jambo ambalo litapelekea hivi karibuni madaktari kulazimika kufanya “maamuzi magumu” ya kuchagua…

Read More

GGML yaanika mikakati kuwajengea uwezo wanawake sehemu za kazi

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kuendelea kuwezesha wafanyakazi wake wanawake kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa majukumu yao kwa ufanisi, kuwajengea uwezo wa kushika nafasi za juu za uongozi na hata kuwawekea mazingira salama yanayopinga aina zote za ukatili wa kijinsia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ahadi hiyo imetolewa…

Read More

Simba ya Fadlu yamkosha Azim Dewji

SIMBA imerudi nchini ikiwa na tiketi yake mkononi ya kucheza robo fainali ya sita kwenye mashindano ya Caf na kwenye msafara wa timu hiyo alikuwemo mfadhili wao wa zamani, Azim Dewji, ambaye ameshuka na maneno mazito juu ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Fadlu Davids. Dewji katika mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba imeenda…

Read More

Msimu wa 4 wa tamasha la HipHop asili 2024

Kwa mara ya kwanza, mwaka 2024, Mji wa Bagamoyo utakuwa mwenyeji wa Kilele cha msimu wa Nne (4) wa Tamasha la HipHop Asili, utakaofanyika tarehe 28 – 29 Juni, 2024, katika Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo (TASUBA). Ambapo wataalamu wa sanaa, wasanii kutoka pembe zote za dunia watakutana kusherehekea utamaduni wa HipHop. Mwaka huu tamasha…

Read More

TPA yaahidi kuongeza ufanisi katika bandari zake

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja, ambayo imeanza jana…

Read More

MKINGA ACHUKUA FOMU KUOMBA UBUNGE LUDEWA

Mtia nia James Innocent Mkinga (kulia), Mtaalamu mbobezi katika Fani ya Teknojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) akichukua fomu yake kuomba kuteuliwa kugombea jimbo hilo.   James Innocent Mkinga, Mtaalamu mbobezi katika Fani ya Teknojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). JOTO la Siasa katika Jimbo la Uchaguzi la Ludewa limezidi kupanda kufuatia kuendelea kujitokeza kwa…

Read More

SERIKALI YARIDHIA KUTOA HEKTA 2,871 KWA WANANCHI WA KISIWA CHA MAISOME – MWANAHARAKATI MZALENDO

Serikali ya Tanzania imekubali ombi la wananchi wa Kisiwa cha Maisome kwa kuwapatia hekta 2,871.782 za ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya kijamii. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa eneo hilo, Mhe. Eric James Shigongo, aliyependa kujua ni lini serikali itatekeleza ahadi…

Read More

KUELEKEA SIKU YA VIPIMO DUNIANI WMA YAENDELEA KUTOA ELIMU, KUKUMBUSHA SHERIA KWA WADAU

KUELEKEA Maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani inayoadhimishwa Mei 20 kila mwaka, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA,) imeendelea kuwafikia wadau mbalimbali na kutoa elimu na kuwakumbusha masuala mbalimbali yanayohusu vipimo ikiwemo uzingatiaji wa sheria za vipimo pamoja na afya. Akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Sterio, Temeke jijini Dar es Salaam Meneja wa WMA Mkoa…

Read More

RIPOTI MAALUM: Janga, Kwa nini kamari zinaongezeka licha ya athari mbaya? – 2

KATIKA mfululizo wa ripoti maalumu hii juu ya uraibu wa michezo ya kamari nchini, tuliona namna watoto wenye umri chini ya miaka 18 wanavyojiingiza, licha ya kuwepo kwa sheria kali zinazowazuia kujihusisha nayo. Tuliona namna watoto hususan wanafunzi wanavyotumia fedha wanazopewa na wazazi ili kutumia shuleni wakiziteketeza kwenye mashine za kamari maarufu kama Dubwi kwa…

Read More