Tutuba afunguka kuhusu uuzaji wa dhahabu, thamani ya Shilingi
Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kuna uwezekano mkubwa wa Serikali kupata gawio kubwa kutoka katika taasisi hiyo kutokana na mauzo ya dhahabu inayohifadhiwa, huku ikibainisha imevuka malengo ya kununua kabla ya muda uliopangwa. BoT imeeleza hayo ikiwa ni siku chache tu tangu kuibuka kwa mjadala mkali kufuatia kauli ya Serikali kuwa…