Kipa Mnigeria ampa tuzo Aziz Ki

KIPA wa Tabora United, John Noble ameshindwa kujizuia na kuweka bayana kwa mtazamo wake Kiungo Bora kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara ni Stephane Aziz KI na kutoa sababu za kumpa tuzo nyota huyo wa Yanga anayeongoza kwa mabao akilingana na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam FC. Kipa huyo aliyetunguliwa mara mbili msimu…

Read More

Meridianbet Yapiga Hodi Soko la Nasdaq Marekani

* “Meridianbet Yapiga hatua kwenye soko la Kimataifa na sasa habari njema kwa wateja wake ni kwamba wanaweza kuwa sehemu ya Kampuni hii kubwa ya ubashiri na michezo ya kasino kwa kununua hisa” UMEPITA Mwaka mmoja tangu yafanyike makubaliano ya maridhiano ya kibiashara kati ya Meridianbet na Golden Matrix Group, ilikuwa ni Januari 2023 sehemu…

Read More

SERIKALI YASHUSHA MAAGIZO KWA WATHIBITI UBORA WA SHULE

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Mahera,akizungumza wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Ephraim Simbeye,akiipongeza Wizara ya Elimu kwa kuandaa Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini…

Read More

Matarajio ya Kanak ya Uhuru yamepingwa Kufuatia Msukosuko wa Kisiasa katika Kaledonia Mpya – Masuala ya Ulimwenguni

Wafuasi wa Kanak Pro-Independence wakionyesha bendera ya Kanak wakati wa maandamano katika mitaa ya Noumea kabla ya kura ya maoni ya kwanza ya Uhuru wa New Caledonia mwaka wa 2018. Credit: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (noumea, new caledonia) Jumatano, Julai 17, 2024 Inter Press Service NOUMEA, New Caledonia, Julai 17 (IPS) – Imepita miaka…

Read More

MAMILIONI YA FEDHA YAGAWIWA MAKUNDI MAALUMU B’MULO.

Kulia ni Mkurugenzi wa halmashauri ya Biharamulo, Innocent Mukandala na Kushoto ni Mwenyekiti Apolinary Mugarula. Mkuu wa wilaya ya Biharamulo,Sacp Advera Bulimba Mbunge wa Jimbo la Biharamulo,Mhandisi Ezra Chiwelesa. ………… BIHARAMULO  ZAIDI ya Shilingi milioni 111,671,167.98 zimetolewa na halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera kwaajili ya vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu likiwa…

Read More

Watu 48 wafariki dunia, lori la mafuta likiteketea

Nigeria. Takribani watu 48 wamefariki dunia baada ya lori la mafuta kulipuka, muda mfupi baada ya kugongana na gari lingine Kaskazini mwa Nigeria. Kulingana na mamlaka nchini humo, lori hilo la mafuta liligongana eneo la Agaie Kaskazini Kati mwa Jimbo la Niger nchini humo na lori lingine lililokuwa limebeba wasafiri na ng’ombe, 50 kati yao…

Read More

SIO ZENGWE: VAR si kipaumbele cha nchi kwa sasa

KLABU 20 zinazoshiriki Ligi Kuu ya England (EPL) zimekubaliana kuendelea na matumizi ya teknolojia ya mwamuzi msaidizi wa video (V.A.R) baada ya kupiga kura katika Mkutano Mkuu wa mwaka kuamua kuhusu hoja ya Wolves iliyotaka teknolojia hiyo iondolewe msimu ujao wa 2024/25. Wolves iliwasilisha takriban hoja tisa ambazo ilisema zinaharibu mtiririko wa mchezo, kuvuruga furaha…

Read More