CAF yailainishia KMKM kombe la shirikisho
UNAWEZA kusema KMKM imelegezewa kamba katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2025-2026 baada ya wapinzani watakaokutana nao katika raundi ya kwanza, AS Port ya Djibouti kuchukua uamuzi wa mechi zote kupigwa visiwani Zanzibar. Meneja wa KMKM, Khamis Haji Khamis amesema wamepewa taarifa kwamba AS Port imepeleka barua Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuomba mechi…
Dabi ya pili Kariakoo kabla ya Krismasi
WAKATI ukiendelea kutafakari ratiba ya mchezo wa ufunguzi wa ligi Ngao ya Jamii kati ya watani wa jadi Simba na Yanga, Dabi ya Kariakoo iliyopigwa kuchezwa Septemba 16 timu hizo mbili zitakutana tena Desemba 13, mwaka huu kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara. Mchezo huo utakuwa wa duru ya kwanza kwa wawili hao ambapo Yanga…
Watatu walioshtakiwa kwa mauaji akiwemo mtalaka, waachiwa huru
Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Morogoro imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua Marietha Petro na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara. Watuhumiwa waliokuwa wakikabiliwa na kesi hiyo ni Stanley Winfred, Dabobertus Natalis (ambaye awali alikuwa mume wa Marietha kabla hawajaachana kwa kupeana talaka) pamoja na Magnus Anton. Wote watatu walikuwa…
Singida yapata ushindi wa kwanza Kagame, Chama akiliamsha
MSHAMBULIAJI wa kati, Elvis Rupia amewaumiza ndugu zake Wakenya kwa kuifunga Polisi, akiibeba Singida Black Stars kupata ushindi wa kwanza katika michuano ya Kombe la Kagame 2025viliyopigwa leo, Ijumaa kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam. Rupia aliyekuwa na jukumu la kuongoza safu ya ushambuliaji ya Singida BS alifunga bao moja wakati timu hiyo ikiibuka…
Ligi Kuu 2025/26: Hizi zitapigwa sana na jua
RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Mwanaspoti linakuletea timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na…
Pedro afichua mkakati mpya Yanga
PIGO kubwa ililopata Yanga pale kwenye safu ya ulinzi kutokana na beki na nahodha msaidizi, Dickson Job kuumia, limeendelea kuwa gumzo na kuibua wasiwasi, sio ndani ya timu pekee, bali hata kwa mashabiki wakijiuliza sasa itakuwaje bila uwepo wake. Job ambaye amefanyiwa upasuaji wa goti huku taarifa zikibainisha kwamba hadi kufikia Juni 2026 anaweza kurudi…
MASHINDANO YA QURAN KUZIKUTANISHA NCHI 26 DUNIANI KUFANYIKA MAC 31 TANZANIA
I **** Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, amesema mashindano ya Quran yanayotarajiwa kufanyika nchini ni sehemu ya ushirikiano kati ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) na Wizara ya Dini ya Saudi Arabia. Amesema ushirikiano huo unalenga kuhamasisha na kuendeleza usomaji wa Quran kwa Waislamu, huku pia ukitoa fursa kwa wasomaji kuonesha…
WAZIRI MKUU AWAAGIZA WATENDAJI WA SERIKALI KUANDAA JEDWALI LA UTEKELEZAJI UTATUZI WA KERO ZA WANANCHI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Serikali kuandaa jedwali la kuonesha namna walivyotatua kero za wananchi katika kila wiki ya mwisho wa mwezi. Amesema hayo leo Jumapili (Machi 01, 2026) katika mkutano wa hadhara uliofanyika Stendi za Zamani, Babati Mjini mkoani Manyara. Amesema kuwa Serikali haiwezi kukubali utaratibu wa kulimbikiza matatizo ya watu…
Dk Mwinyi anavyotembea na ajenda ya amani, maendeleo na uchumi
Unguja. Ahadi za kujenga mshikamano, amani na utulivu, maendeleo ya watu na kukuza uchumi, ndizo zinazoonekana kuyatawala majukwaa ya kampeni za urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Tayari kampeni hizo zilizozinduliwa katika Uwanja wa Mnazimmoja Unguja, zimeshatimiza siku ya saba tangu zilipoanza, zikibakiza mwezi mmoja kabla ya upigaji kura, utakaofanyika Oktoba 28 na…