
Minziro awatega mastaa wapya Pamba
LICHA ya kusajili wachezaji 11 dirisha dogo wakiwemo saba wa kimataifa, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema haitakuwa kazi rahisi kufanya vizuri, lakini itawezekana tu endapo kama wachezaji watatambua majukumu yao na timu kuwa na mshikamano. Katika dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mwaka huu, timu hiyo imewanasa nyota wa kimataifa…