Uingereza yaipongeza Tanzania kwa uboreshaji wa mazingira ya biashara
Dar es Salaam. Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Uingereza kwa Afrika Mashariki, Kate Asamor, ameipongeza Tanzania kwa hatua inazochukua kuboresha mazingira ya uwekezaji, huku akisisitiza dhamira ya Uingereza kuendelea kushirikiana kwa karibu katika miradi ya kimkakati. Asamor ametoa kauli hiyo leo, Septemba 10, 2025 walipofanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…