Misafara ya bodaboda kwenye mikutano ya kampeni yazua mjadala

Dar es Salaam. Wiki ya tatu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 inapoyoyoma, taswira mpya imeendelea kujibainisha mitaani, vijana waendesha bodaboda wamegeuka kuwa injini ya hamasa na kivutio kikuu cha misafara ya kisiasa. Makundi haya yamekuwa yakionekana kwa wingi barabarani, pikipiki zao zikipambwa kwa bendera na mabango ya wagombea wakisindikiza misafara na mikutano kwa vuvuzela,…

Read More

Tabora United yasaka kipa, Chilunda ndani

UONGOZI wa Tabora United umeingia sokoni kusaka kipya mpya baada ya tegemeo namba moja, Fikirini Bakari, kuvunjika taya katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 katika Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam. Chanzo cha Mwanaspoti kimesema Bakari aliyemaliza akiwa na ‘clean sheet’ moja aliyoipata akiwa Fountain Gate kabla ya kujiunga wakati dirisha…

Read More

Katibu UVCCM Pangani aanza ziara ya “Operesheni Samia”

Na Mwandishi Wetu, Pangani Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Pangani mkoani Tanga, Nasri Mkalipa, ameanza ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kusikiliza kero za wananchi, ziara iliyopewa jina la “Operesheni Samia.” Mkalipa ameanza ziara hiyo Machi 24, 2026, katika Kata za Mkalamo na Mkwaja ambapo ameonana na…

Read More

Marietha anavyojitegemea kupitia kazi ya bodaboda

Dar es Salaam. Akiwa amekulia katika mazingira ya kawaida ya kifamilia mkoani Manyara, alilazimika kuagana na nyumbani kwao, ndugu na marafiki, akibeba matumaini moyoni, akiamini kuwa jiji kubwa la Dar es Salaam lingeweza kufungua ukurasa mpya wa maisha yake. Hakukuwa na uhakika wa kazi wala ndugu wa karibu wa kumtegemea, kilichomsukuma ni shauku ya kujitegemea…

Read More

WAJASIRIAMALI 238 WADOGO WAFIKIWA NA HUDUMA ZA VIWANGO TBS KANDA KASKAZINI

Meneja wa Kanda ya Kaskazini (TBS), Mhandisi Ismail Mwaipaja, akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Arusha kuhusu mafanikio na utekelezaji wa majukumu ya kanda hiyo Mhandisi Mwaipaja amesema TBS Kanda ya Kaskazini imefanikiwa kuthibitisha ubora wa bidhaa za wazalishaji pamoja na wajasiriamali 492, ambapo kati yao 238 ni wajasiriamali wadogo. Hatua hiyo imechangia…

Read More

Othman awaahidi wavuvi Zanzibar mikopo, zana za kisasa

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kufanya mageuzi katika sekta ya uvuvi ikiwemo kuboresha miundombinu ya bandari na masoko ya samaki ili kuongeza kipato cha wavuvi. Othman amefafanua kuwa maboresho hayo yatawezesha wavuvi kupata sehemu nzuri za kuhifadhia mazao yao ili kufanya shughuli zao kwa ufanisi zaidi….

Read More

Maafisa wa Mrekani na Ukraine wameanza mazungumzo nchini Saudi Arabia

Maafisa wa Marekani na Ukraine wameanza mazungumzo leo Jumanne nchini Saudi Arabia huku upande wa Ukraine ukitarajiwa kuwasilisha sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano na Russia. Mpango wa Ukraine unajumuisha kusitisha mafanikio ya makombora ya masafa marefu na sitisho la linalohusisha Black Sea. Hata Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy hakushiriki katika mikutano ya Jumanne, huku…

Read More

Samia kuifanya Kigoma kitovu cha biashara na nchi jirani

Kasulu. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwavutia zaidi wawekezaji kwenda kuwekeza Kigoma ili kuufanya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara katika ukanda wa Ziwa Tanganyika na nchi jirani za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Samia amebainisha hayo leo Septemba 13, 2025 wakati wa mkutano wake wa…

Read More

CCM na mkakati wa kutibu majeraha kura za maoni

Dar es Salaam. Katikati ya vinyongo vya baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutokana na kuenguliwa katika michakato ya uteuzi wa kuwania nafasi mbalimbali, chama hicho kimeanza mkakati wa kutibu majeraha. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira, ndiye aliyekabidhiwa kibarua hicho, akifanya ziara katika mikoa mbalimbali, hasa maeneo ambayo kumeibuka manung’uniko…

Read More

Watu 4 Wauawa, Wengi Wamejeruhiwa – Global Publishers

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine wanane kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kushambulia ibada katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho huko Grand Blanc Township, Michigan, Jumapili asubuhi, polisi wanasema. Mshukiwa aliuawa na maafisa waliojibu tukio. Mamlaka zimetambua mshukiwa kuwa Thomas Jacob Sanford, 40, ambaye alidaiwa kulipiga…

Read More