Misafara ya bodaboda kwenye mikutano ya kampeni yazua mjadala
Dar es Salaam. Wiki ya tatu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 inapoyoyoma, taswira mpya imeendelea kujibainisha mitaani, vijana waendesha bodaboda wamegeuka kuwa injini ya hamasa na kivutio kikuu cha misafara ya kisiasa. Makundi haya yamekuwa yakionekana kwa wingi barabarani, pikipiki zao zikipambwa kwa bendera na mabango ya wagombea wakisindikiza misafara na mikutano kwa vuvuzela,…