Kuwawezesha Wafanyabiashara wa Soko Wasio Rasmi barani Afrika Kusambaza Chakula Salama – Masuala ya Ulimwenguni

Mvuvi Godknows Skota anashikilia samaki waliochujwa na kusafishwa. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Jumanne, Agosti 13, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Agosti 13 (IPS) – Masoko ya chakula yasiyokuwa ŕasmi ya ndani yanalisha mamilioni ya wakazi wa mijini katika miji yenye shughuli nyingi baŕani Afŕika, lakini matokeo ya chakula kilichochafuliwa yanaweza…

Read More

Simba V Singida, mechi ya kisasi

NGOJA TUONE. Baada ya kupoteza mechi mbili dhidi ya Simba katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars leo ina nafasi ya kulipa kisasi katika pambano la nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), linalopigwa leo jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo Babati, mkoani Manyara. Hii ni mchi ya kisasi na iliyobeba matumaini ya Singida…

Read More

IGP WAMBURA AKUTANA NA RC MTAKA

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka wakati alipomtembelea ofisini kwake leo Mei 28,2024 ambapo waliweza kujadiliana masuala mbalimbali hususani eneo la usalama katika Mkoa huo wa Njombe. IGP Wambura amefanya ziara ya kikazi mkoani humo na kukagua Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo…

Read More

Kipa Msudani awadatisha mabosi Azam FC

KIWANGO alichokionyesha kipa wa kimataifa wa Azam FC, Msudan Mohamed Mustafa, kimewashawishi viongozi wa klabu hiyo kuanza mchakato wa kukaa naye mezani kwa ajili ya mazungumzo ya mkataba mpya. Azam FC ilimsajili kipa huyo kwa mkataba wa miezi sita kutoka klabu ya El Merreikh, mkataba ambao unamalizika mwisho wa msimu huu. Alipoulizwa mtendaji mkuu wa…

Read More

Mume wangu hanisifii hata nikipendeza    

Anti nashindwa kumuelewa mume niliyenaye na hiki kinanipa shida sana. Huu ni mwaka wa sita nipo naye hajawahi kunisifua nikipendeza wala kunikosoa nisipopendeza. Ilimradi tunaishi tu. Huwa naona wivu sana wenzangu wanapotakiwa heri ya kuzaliwa au kumbukumbu ya ndoa zao, kwani kwangu hayo ni historia, haijawahi kutokea mume wangu akayazungumzia. Nilijaribu kufanya hili na lile…

Read More

FYATU MFYATUZI: Kwa nini tumeruhusu kupigwa kwenye mazao ghafi?

Leo nafyatua masuala ya biashara, uchumi, ujasiriamali na utengezaji njuluku ndefu tena kirahisi kwa kufyatua mafyatu wasiofyatuka wakaishia kufyatuliwa. Usishangae. Nimesomea madude mengi sana. Juzi nilisoma kwenye gazeti la the East African kaya ikijisifu kuwa koroshi zimeongezeka bei. Hivyo, wafa kwa ngwamba washerehekee wakati hakuna cha kusherehekea kama tutazingatia hii kitu inavyohitajika na kusaidia wajanja…

Read More