ERB TOENI MOTISHA KWA WAHANDISI: DKT. BITEKO
:::::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza bidii katika kuwapa motisha wahandisi wanaofanya kazi vizuri kwa kuwatambua na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. Ameeleza hayo Septemba 25, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifungua maadhimisho ya 22…