Bado Watatu – 7 | Mwanaspoti

“MUME wako anaitwa nani?” “Anaitwa Omar Kikasha.” “Hakuna mtu mwingine anayeishi katika nyumba hii anayetumia jina hili?” Nilianza kutomuamini mwanamke huyo kwa kuhisi alikuwa anatuficha. Tabia ya binaadamu akishaona mtu anaulizwa na polisi hata kama hajui amefanya kosa au la, anamficha. Sijui ni kwanini? “Mume wako yuko wapi?” nikamuuliza. “Anafanya kazi wapi?” “Mume wangu ni…

Read More

AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa kutokuwa na umeme wa uhakika na wa kutosha 📌 Asema Rais.Dkt. Samia alishatoa maagizo ya mradi huo kutekelezwa kwa wakati na kwa usahihi 📌 Aagiza wananchi 1,014 waliopisha mradi kulipwa…

Read More

Wanaodaiwa kuua mwanafamilia, waendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Fred Chaula (56) na wenzake wawili, wanaokabiliwa na kesi ya mauaji watalazimika kuendelea kusalia rumande hadi Septemba 8, 2025. Hiyo, inatokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49) dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More

Buswita: mabao yatafungwa Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Pius Buswita amesema ujio wa Heritier Makambo katika timu hiyo unaongeza nguvu ya ushindani na namba, idadi ya mabao katika michuano yote ya msimu ujao. Buswita katika misimu miwili Namungo, alifunga jumla ya mabao 10, 2023-2024 mabao saba na msimu uliopita alifunga matatu na asisti mbili, alisema kwa kiwango na kipaji…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

Bado Watatu – 5 | Mwanaspoti

“SI nimekwambia nina mazungumzo na wewe!” “Kumbe Fadhil hunijui. Nilikuheshimu pale ulipokuwa unaniheshimu. Kama unathubutu kuvunja heshima yangu mbele ya kirukanjia wako yule, nitakuvunjia heshima halafu utaniona mbaya. Mimi sitaki kufuatwa na wewe tena na sihitaji mazungumzo yako.” Bahati njema hapakuwa na watu karibu. Kama wangekuwepo ningekuwa nimeumbuka kutokana na maneno makali niliyokuwa nikiambiwa. Ilikuwa…

Read More

Shilingi yapanda, wanaonufaika ni hawa

Dar es Salaam. Watanzania wanaopanga kuagiza magari, vipuri, ngano, mafuta ya kula na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi wanatarajiwa kunufaika na kupanda kwa thamani ya shilingi, hali itakayopunguza gharama za uagizaji wa bidhaa mbalimbali. Sarafu ya ndani imepata nguvu kubwa dhidi ya Dola ya Marekani katika miezi ya hivi karibuni. Aprili 2025, ilibadilishwa kwa…

Read More