
Mastaa Pamba Jiji wamkosha Baraza, kujipima na Fountain Gate kesho
BAADA ya mazoezi ya wiki zaidi ya tatu, kikosi cha Pamba Jiji kesho Jumanne Agosti 26, 2025 kinatarajia kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate huku kocha Francis Baraza akiweka wazi kuwa anazingatia utimamu sio mabao ya kufunga au kufungwa. Akizungumza na Mwanaspoti, Baraza amesema maandalizi yanaenda vizuri na timu hiyo imefikia asilimia 80 ya ubora…