Devotha Minja: Chaumma italeta unafuu wa maisha kwa Watanzania

Arusha/Katavi. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema anasikitishwa na ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania ilhali Taifa limebarikiwa rasilimali nyingi. Akihutubia wananchi wa USA River kwenye mkutano wa kampeni sambamba na kukiombea kura chama chake leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Jimbo la Arumeru Mashariki, Minja amesema haiwezekani wananchi…

Read More

Hasheem Thabeet kuanza na haya kikapu

RAIS mpya wa TBF, Hasheem Thabeet amesema mambo mazuri yanakuja baada ya kuchaguliwa kuliongoza shirikisho hilo la mpira wa kikapu nchini akigusia ligi ya kikapu kupigwa mikoa yote. Thabeet ambaye ni mchezaji wa zamani wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya NBA alisema ligi ambayo ni maarufu nchini kwa sasa ni ya Dar Es Salaam…

Read More

SERIKALI YAHIMIZA TAASISI ZA KULEA YATIMA KULINDA IMANI YA WAHISANI

 Na Albert Kawogo,Bagamoyo  SERIKALI imezitaka taasisi zinazosimamia malezi ya watoto yatima na wale wanaoshi katika mazingira magumu kusimamia miongozo,taratibu na sheria katika matumizi ya misaada mbalimbali wanayopewa ili kujenga imani ya wahisani wanaotoa misaada hiyo   Wito huo umetolewa hivi karibuni  na Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Bagamoyo Abuu Yasin wakati wa sherehe…

Read More

Wananchi Kalambo wamtaka DC Lijualikali mbele ya Dk Mwigulu

Dar es Salaam. Wananchi wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa wameonyesha wazi imani yao kwa Mkuu wa Wilaya (DC) anayekaimu, Peter Lijualikali, wakitaka aendelee kubaki katika nafasi hiyo baada ya kuonekana kushughulikia changamoto za wananchi ndani ya muda mfupi tangu aanze kuiongoza wilaya hiyo. Sauti hiyo ya wananchi ilisikika wazi wakati wa mkutano wa…

Read More

Hekaya za Mlevi: Wapinzani hoyahoya mpaka lini?

Dar es Salaam. Siku moja tulishuhudia mtanange wa soka wa kushangaza sana. Lilikuwa “Ndondo Cup” enzi hizo likipigwa mchangani. Wengine walicheza peku, na timu iliyopungukiwa na jezi ilicheza matumbo wazi. Siku hiyo timu ya kitaani iliyokuwa bingwa mtetezi ilicheza fainali dhidi ya mahasimu wao wakubwa.  Walipokutana hawa ilikuwa kama Simba na Yanga, kitaa kizima kilinuka….

Read More

Mfaransa aukubali mziki wa Doumbia, Andabwile

BAADA ya kupoteza mbele ya Yanga katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, Kocha wa Wiliete Benguela ya Angola, Bruno Ferry, amekubali ubora wa mastaa wa wapinzani hao, huku Mohamed Doumbia akimshtua. Bruno raia wa Ufaransa ambaye aliwahi kuifundisha Azam akiwa kocha msaidizi, sasa ni kocha mkuu wa kikosi cha…

Read More

Yanga yaitibulia Simba, Backer akiri!

KOCHA Mkuu wa Simba, Steve Barker ameeleza kile kipigo ilichopokea Singida Black Stars cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, kwao kimewaongezea ugumu wanapokwenda kukutana na Walima Alizeti hao, lakini wamejipanga kufanya kweli. Barker ameliambia Mwanaspoti: “Pamoja na ugumu huo, nimewajenga wachezaji kimbinu na…

Read More