Polisi kata, wananchi waja na mbinu ya kukabili uhalifu

Mwanza. Wakazi wa Kata ya Mabatini jijini hapa, wakishirikiana na Polisi Kata, wameanzisha mpango wa kuwaepusha vijana na vitendo vya kihalifu kwa kuwapatia elimu na mafunzo ya ujasiriamali. Mpango huu pia unawalenga wajane, wastaafu, wanawake na wazee kwa lengo la kuwawezesha kupata vyanzo vya mapato. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Jumapili, Agosti 18,…

Read More

Beno aukubali mziki wa Mgunda

KIPA wa Namungo FC, Beno Kakolanya ameuzungumzia ujio wa kocha mpya, Juma Mgunda katika kikosi hicho akisema umeongeza mzuka kwa wachezaji kwani nje ya taaluma yake anasimama kama baba na anaamini muda si mrefu timu hiyo itarejesha makali yaliyozoeleka Bara. Kakolanya alisema amefanya kazi na Mgunda akiwa Simba na sasa amekutana tena Namungo, hivyo anamfahamu…

Read More

Samia: Viongozi wa dini ponyeni mioyo ya watu

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kuponya mioyo ya Watanzania katika kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025 akieleza inatokea migogoro, kugombana na kutofautiana. Amesema hayo leo Ijumaa Juni 20, 2025 alipozungumza kwenye hafla ya siku ya Sungusungu iliyojumuisha mikoa mitano ya Kanda ya Ziwa katika uwanja wa CCM Kirumba, jijini…

Read More

Baada ya mechi saba ZPL, JKU yamfyeka Kocha Bausi

TIMU ya JKU, imesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Seif Bausi Nassor kwa makubaliano ya pande mbili, ikiwa ni baada ya kuiongoza katika mechi saba za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu huu 2025-2026. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Novemba 7, 2025 na Katibu Mkuu wa JKU, Khatib Shadhil Khatibu, imesema: “Jeshi la Kujenga Uchumi…

Read More

Mke wangu ananiomba msamaha baada ya mama yake kudai nimembaka

Huku duniani kuna mambo ukiambiwa unaweza kujiuliza inawezekanaje lakini ukweli ni kwamba mambo hayo yapo na wanafanywa na ni binadamu ambao kila siku wanaenda kwenye nyumba za ibada kusali. Siwezi kusahau miaka mitatu iliyopita ambapo mama mkwe wangu alinifungulia kesi mahakamni kuwa nilitaka kumbaka akiwa nyumbani kwake jambo ambalo sio la kweli. Nilikamatwa na kufikishwa…

Read More

RAIS MWINYI:ONGEZEKO LA WAWEKEZAJI NI UKUAJI WA UCHUMI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa kuna ongezeko kubwa la Wawekezaji katika Sekta ya Utalii hatua inayochangia ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya nchi. Amebainisha kuwa Ongezeko hilo la Wawekezaji pia linachangia Ongezeko la Watalii wanaotembelea nchini hali inayoiimarisha sekta ya Utalii. Rais Dk. Mwinyi ameyasema…

Read More

Idadi ya vifo vya mama wajawazito vyapungua Manyara.

Idadi ya Vifo vya wanawàke wajawazito Mkoani Manyara imepungua kutoka vifo 49 mwaka 2022 hadi kufikia vifo 24 kwa mwaka 2024. Hayo Yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Queen Sendiga wakati wa Kikao cha kutafuta uendelevu wa mfumo wa M MAMA Mkoani Hapo,Ambapo mfumo huu unatekelezwa na serikali kushirikiana wa wadau vodaphone foundation,Touch foundation…

Read More

Wadau mkoani Mara walia na uwekezaji hafifu

Musoma. Wadau wa maendeleo mkoani Mara wamesema kasi ya uwekezaji mkoani humo bado iko chini,  licha ya mkoa huo kuwa na fursa nyingi za kiuchumi na uwekezaji, hivyo wameitaka Serikali kufanya jitihada zaidi zitakazosababisha kuongezeka zaidi na kuboresha uchumi wa mkoa. Wadau hao wamebainisha hayo Julai 5, 2024 kwenye mdahalo kuhusu uwekezaji ulioandaliwa na Klabu…

Read More

PROF. MKENDA AZIPONGEZA SHULE BINAFSI KUSITISHA MASOMO KUTOKANA NA HALI YA HEWA MBAYA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imewataka wazazi na walezi pindi wanapoona mvua kubwa zinanyesha kutowaruhusu watoto kwenda shule ili kuepuka athari ambazo zinaweza kujitokeza kutoka na mafuriko na kuharibika kwa miundombinu ya barabara katika maeneo mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa leo Aprili 24,2024 jijini Dar es salaam na…

Read More

TARURA YAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA

#Huduma za shule na hospitali zafikika kiurahisi Na. Erick Mwanakulya, Berega, Kilosa. Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imekamilisha ujenzi wa daraja la Berega lililopo katika barabara ya Berega – Dumbalume lenye urefu wa mita 140 na upana mita 11 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro. Kukamilika kwa daraja hilo limeweza…

Read More