DKT.NCHIMBI ASALIMIA WANANCHI WA ARUMERU ,AOMBA KURA

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi akisalimia wananchi wa Jimbo la Arumeru Magharibi alipokuwa akiendelea na mikutano yake ya kampeni kwa ajili ya kunadi Ilani ya chama hicho pamoja na kuomba kura kwa wagombea Urais, Ubunge na Udiwani wa CCM mkoani Arusha leo Septemba…

Read More

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10…

Read More

MKUU WA MKOA SINGIDA AIPONGEZA TASAC

 MKUU wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego amelipongeza Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa utekelezaji wa majukumu yake ya kuhakikisha Sekta ya usafiri majini inachangia kukuza Uchumi wa Taifa. Ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea Banda la TASAC, leo tarehe 26 Aprili,2025 katika Maonesho ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahali Pa Kazi…

Read More

Vijana 2,000 kujadili ajenda, nafasi za uchaguzi 2024/25  

Dodoma. Zaidi ya vijana 2,000 kutoka vyama vya siasa, asasi za kiraia na Serikali wanatarajiwa kushiriki mdahalo wa kitaifa wa vijana  kutoa mapendekezo kwa Rais Samia Suluhu Hassan. Mdahalo huo utajadili masuala kadhaa ikiwemo utekelezaji wa ajenda za kundi hilo, ikiwa ni sehemu ya kuangalia utendaji katika miaka mitatu ya Rais Samia madarakani na mwelekeo…

Read More

Sativa aruhusiwa hospitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Edger Mwakabela aliyetekwa na watu wasiojulikana na kutupwa kwenye pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, ameruhusiwa kutoka hospitali. Ruhusa hiyo ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa taya la kushoto Julai 3,2024, lililosagika kwa kudaiwa kupigwa risasi na watekaji ambao walilenga kumpiga risasi ya kichwa. Mwakabela maarufu Sativa kupitia mtandao wa…

Read More

Vifo vya wajawazito, watoto vyapungua Maswa

Maswa. Vifo vya wajawazito katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa vimepungua kwa kiasi kikubwa kwa kipindi cha miaka miwili mfululizo, kutoka vifo vinane hadi viwili, hatua inayotajwa kuwa mafanikio ya uwekezaji katika sekta ya afya. Kupungua huko kunatajwa kuchangiwa na kuimarika kwa huduma za afya, ikiwemo upatikanaji wa huduma za upasuaji wa dharura, ujenzi wa…

Read More

Meli ya mafuta yazama, mamia ya maelfu ya watu wameathiriwa na kimbunga kikubwa Ufilipino – Masuala ya Ulimwenguni

An lori la mafuta lililokuwa na lita milioni 1.4 za mafuta pia lilizama katika bahari iliyochafuka karibu na mji mkuukatika Ghuba ya Manila. Sasa kwa kuwa kimbunga Gaemi (eneo la karibu kinaitwa Carina) pamoja na athari za monsuni za kusini-magharibi kuleta mvua kubwa na upepo kwenye Kisiwa cha Luzon magharibi, ambacho ni makao ya zaidi…

Read More

Watu wazima wanaweza kupata kisukari aina ya 1

Dar es Salaam. Kisukari aina ya kwanza hutokea kwa watoto mpaka umri wa kati miaka 25 mpaka 30, lakini hivi karibuni kisukari aina ya kwanza, kimeanza kujitokeza hata kwa watu wazima na mara nyingi hutambuliwa kimakosa kama kisukari aina ya pili. Kisukari aina ya kwanza hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unaposhambulia seli za…

Read More