Ujumbe wa TAMWA kwa wanahabari wanawake 

WAKATI kesho Machi 8 ni Siku ya Wanawake Duniani, waasisi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), wamekutana na kukumbushia safari ya mafanikio ya chama hicho na kuhamasisha kizazi kipya cha wanahabari wanawake kuendelea kupambana. Waasisi hao walikutana katika tukio maalum la futari lililofanyika jana Ijumaa Machi 6, 2026 kwenye ukumbi wa TAMWA…

Read More

TISEZA YASHIRIKIANA NA TCB KUSAIDIA WAWEKEZAJI

:::::::::  Mamlaka ya Uwekezaji pamoja na Maeneo Maalum ya Uwekezaji (TISEZA) imeingia makubaliano ya ushirikiano na Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa lengo la kutoa huduma bora na za haraka za kifedha kwa wawekezaji wanaotembelea mamlaka hiyo. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubaliano hayo iliyofanyika makao makuu ya TISEZA jijini Dar es…

Read More

Tahadhari ya Umoja wa Mataifa ya dawa za kulevya inasimamisha usafirishaji ambao ungeweza kutengeneza dozi za fentanyl zenye hatari zaidi ya bilioni 1.6 – Masuala ya Ulimwenguni

Hatua hiyo inaangazia jukumu muhimu la ushirikiano katika kukabiliana na biashara haramu ya dawa za kulevya inayoendelea kwa kasi. Katika yake Ripoti ya Mwaka 2025Bodi ya Kimataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya (INCB) ilisema kuwa mamlaka ilitumia jukwaa lake la arifa ya kabla ya kuuza nje kusitisha upotoshaji wa tani tatu za kitangulizi cha 1-boc-4-piperidone…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaziunganisha kaya zote na umeme

Kilimanjaro. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema, shabaha ya chama hicho miaka mitano ijayo ni kuhakikisha kaya zote nchini zinaunganishwa na umeme ili kuchochea maendeleo ya wananchi. Dk Nchimbi amesema hayo leo Jumamosi, Septemba 13, 2025 katika mikutano ya kampeni ya uchaguzi mkuu kwenye baadhi ya majimbo mkoani…

Read More

TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI

******* Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Msaada huo umekabidhiwa Machi 24, 2026 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb) kwa niaba…

Read More