
DKT. NJELEKELA APONGEZA MOI KWA UTOAJI HUDUMA KATIKA KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI ARUSHA
Na Mwandishi wetu- Arusha Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini MOI Dkt. Marina Njelekela ameipongeza menejimenti ya MOI kwa uamuzi wake wa kushiriki na kutoa huduma kwa washiriki wa mkutano wa wenyeviti wa bodi na wakuu wa Taasisi unaofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha. Dkt. Njelekela ametoa pongezi hizo Leo 25/08/2025 alipotembelea eneo la kutolea huduma…