DKT. NJELEKELA APONGEZA MOI KWA UTOAJI HUDUMA KATIKA KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI ARUSHA

Na Mwandishi wetu- Arusha Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini MOI Dkt. Marina Njelekela ameipongeza menejimenti ya MOI kwa uamuzi wake wa kushiriki na kutoa huduma kwa washiriki wa mkutano wa wenyeviti wa bodi na wakuu wa Taasisi unaofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha. Dkt. Njelekela ametoa pongezi hizo Leo 25/08/2025 alipotembelea eneo la kutolea huduma…

Read More

Mbeya City, Pamba zasaka beki Zenji 

WAKATI Mbeya City ikiendelea na mazungumzo na uongozi wa klabu ya KVZ ili kuondoka na beki wa kikosi hicho, Juma  Hassan Shaaban ‘James’, timu ya Pamba Jiji nayo imetupa kete yake kuitaka saini hiyo. Taarifa ilizozipata Mwanaspoti zinaeleza, Mbeya City ilikuwa ya kwanza kuzungumza na KVZ na kukwamia katika majadiliano ya dau, hivyo kuna uwezekano…

Read More

Sita wauawa, 86 wajeruhiwa shambulizi la mabomu Yemen

Shambulio hilo limefanywa na Jeshi la Israel (IDF) katika mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa kutumia makombora na ndege zisizokuwa na rubani likilenga kituo cha mafuta na Ikulu. Dodoma. Watu sita wameuwawa  na wengine 86 kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililofanywa na vikosi vya Israel mjini  Sanaa nchini Yemen Jumapili ya Agosti 24, 2025. Al…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More

Maofisa wa Takukuru wafundwa | Mwananchi

Kibaha. Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru ) imeanza mafunzo ya siku mbili kwa maofisa wake waajiriwa (307) kutoka mikoa yote nchini ili kuwaongezea weledi na utaalamu kuhusu manunuzi ya umma. Mafunzo hayo yanafanyika wilayani Kibaha mkoani Pwani ambapo maofisa hao wanapitishwa na kuelezewa kuhusu manunuzi ya umma kupitia mfumo wa mtandao (NeST),…

Read More

Bado Watatu – 1 | Mwanaspoti

UTANGULIZIHebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi, unafika katika tukio la mauaji. Kuna mtu amenyongwa na mtu asiyefahamika. Unamkuta mtu ananing’inia kwenye kitanzi akiwa tayari ameshakufa lakini unakuta mtu mwenyewe aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua!Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu…

Read More

Wananchi Shinyanga walia ajali za barabarani

Shinyanga. Wananchi wa Kata ya Itwangi, Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wameiomba Serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya eneo hilo kufuatia wimbi la ajali zinazodaiwa kusababisha vifo vya watu, wakiwemo wanafunzi. Wananchi hao wamesema ajali zimekuwa zikijirudia mara kwa mara kutokana na madereva kuendesha kwa mwendo kasi na kutokuheshimu alama pamoja na…

Read More