ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUHUDHURIA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI ISRAEL

Na Pamela Mollel,Arusha Zaidi yawafanyabiashara na wajasiriamali 100 kutoka nchini wanatarajia kuhudhuria jukwaa maalumu la kimataifa linalohusu maswala ya uwekezaji nchini Israel kwa ajili kubadilishana uzoefu na fursa za miradi ya uwekezaji zinazoweza kutekezwa na wataalamu hao katoka nchi hizo mbili. Wafanyabiashara hao wanatarajia kukutana katika mji wa Tel-aviv nchini Israel june 8 hadi 14,…

Read More

Mabadiliko ya Sheria ya Madini yawabeba Watanzania – Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MABADILIKO ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali madini. Hayo yamesemwa leo Mei 22, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, katika ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini  linaloendelea…

Read More

Zaidi ya Mamilioni Kutolewa na Meridianbet Leo

ALHAMISI ya kibingwa imefika siku ya leo ambapo wakali wa ubashiri wanakwambia hivi suka jamvi mechi za leo na uibuke bingwa kwa dau lako dogo tuu. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea leo ambapo Rayo Vallecano atakipiga dhidi ya Real Betis ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 11….

Read More

Madhara kumzuia mtoto kuuliza maswali

Dar es Salaam. Moja ya zawadi kubwa ambayo mzazi anaweza kumpa mtoto si fedha, si shule za gharama, bali mazingira ya kuuliza na kujibu maswali bila hofu. Katika familia nyingi, watoto hukuzwa kwenye mifumo inayozuia kuuliza, kuhoji, au hata kujaribu kuelewa kwa kina. Mara nyingi swali la mtoto hujibiwa kwa haraka, kupuuzwa, au kuonekana kama…

Read More

Gamondi arudi jikoni kwa Dube, Mzize

YANGA ilipata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya vibonde wa Ligi Kuu Bara, KenGold, kitu ambacho kimemfanya Kocha Miguel Gamondi ajiulize mara mbilimbili kulikoni? Ikizingatiwa kwamba timu waliyokuwa wakikabiliana nayo ni vibonde na inaburuza mkia. Pamoja na kujiuliza juu ya kutopata mabao mengi, itakumbukwa kwamba kocha huyo awali alikaririwa akisema chama lake linahitaji ushindi…

Read More

HADITHIL Bomu Mkononi – 5

JUMAPILI ilipowadia Amina akanipigia simu kunikumbusha juu ya ile ahadi yetu. Nikamwambia kuwa ninaikumbuka. “Tutakapokuwa wote nitakupigia,” nikamwambia nilimaanisha nitakapokuwa na mchumba wangu Musa nitampigia ili aje. Saa moja usiku Musa akanipigia simu kunijulisha kuwa ameshafika hapo hotelini. Hapakuwa mbali sana na nyumbani kwetu. Na mimi nikampigia Amina. Nikamwambia nikutane naye hapo hotelini. Baada ya…

Read More