Mwanahabari mwingine afariki dunia Dodoma

Dodoma. Tasnia ya habari mkoani Dodoma imepata pigo lingine katika kipindi kifupi kufuatia kifo cha mwanahabari, Kadala Komba ambaye amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Komba amefariki dunia ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kifo cha Sharon Sauwa, mwanahabari mwandamizi aliyekuwa anatumikia vyombo vya Kampuni ya…

Read More

“Vita vya wenyewe kwa wenyewe Havitaepukika” – Masuala ya Ulimwenguni

Waandamanaji wa Iran waandamana katikati ya jiji la Manchester. Akiungwa mkono na Israel, Reza Pahlavi, mtoto wa mfalme aliyepinduliwa nchini Iran mwaka 1979, amekuwa sura inayoonekana zaidi ya upinzani wa Iran uliogawanyika. Credit: Karlos Zurutuza/IPS na Karlos Zurutuza (Manchester, Ufalme wa Muungano) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service MANCHESTER, Uingereza, Machi 17 (IPS) –…

Read More

WANAWAKE WA ETDCO WATEMBELEA GEREZA LA MAHABUSU SEGEREA

Wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme (ETDCO) wakiongozwa na Kaimu Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala wa Bi. Grace Sondi wakikabidhi mahitaji mbalimbali kwa Mkuu wa Gereza la Mahabusu Segerea, Kamishna Msaidizi wa Magereza (ACP) Hamis Robert Ngaukia kwa ajili ya kuwafariji wafungwa wanawake na watoto…

Read More

NDIYO MILIONI 20 ZA HESLB ZITAKAVYOSAIDIA KUBORESHA MASOMO YA SAYANSI NCHINI

::::::: Na: Dkt. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi zinazofanywa na serikali katika kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla haziwezi kuzaa matunda kama hakutafanyika uwekezaji wa kutosha katika sekta ya elimu. Hii inatokana na ukweli kuwa maarifa, ujuzi na stadi mbalimbali ni nyenzo muhimu zinazoharakisha kufikiwa kwa malengo na mipango ya maendeleo. Kwa kuzingatia ukweli…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More