Taharuki yaibuka Hanang mafuriko mengine yakitokea

Hanang. Wakazi wa Kijiji cha Gocho kilichopo Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, wamekumbwa na taharuki baada ya Mlima Hanang kumeguka na kusababisha mafuriko na kuharibu mazao na makazi ya watu. Wakizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 30, 2024, wamesema tukio hilo limetokea jana Aprili 29, 2024 usiku kwenye kijiji hicho. Mmoja wa wakazi wa…

Read More

Wanawake UWT Mara waahidi kuchagua wabunge ‘majembe’

Musoma. Wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Mara, wameahidi kuchagua wawakilishi wenye uwezo wa kuwawakilisha vema sambamba na kuwaunganisha. Jumla ya wajumbe 1,435 wanashiriki mkutano huo leo Jumatano Julai 30, 2025 kwa lengo la kuchagua majina ya wabunge wawili kati ya wagombea wanane ambao majina yao yamerudishwa…

Read More

INDIA YAENDELEZA UWEKEZAJI TANZANIA: MIRADI YA DOLA BILIONI 2.5 YASHAMIRI VIWANDANI, KILIMO NA TEHAMA

USHIRIKIANO wa kiuchumi kati ya Tanzania na India unaendelea kuimarika kwa kasi, huku India ikijidhihirisha kama mmoja wa wawekezaji wakubwa na wa kuaminika nchini. Takwimu kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) zinaonesha kuwa hadi sasa, jumla ya miradi 793 kutoka India imesajiliwa rasmi, ikiwa na thamani ya zaidi ya dola…

Read More

Ni kazi gani hautakubali kuifanya unapokuwa msomi?

Dar es Salaam. Ni kazi gani hauko tayari kuifanya ukiwa na elimu kuanzia ngazi ya shahada? Majibu ya swali hilo yanaakisi mitazamo ya vijana hasa wasomi, ambao aghalabu hukacha baadhi ya kazi kwa mtazamo kuwa hawastahili kuzifanya kutokana na kiwango chao cha elimu. Kutokana na mtazamo huo, wengi wanajikuta wakikaa bila kazi za kufanya kwa…

Read More

TMA:  Hakuna tena tishio la kimbunga laly

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, kwa sasa hakuna tena tishio la kimbunga Ialy katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Taarifa ya TMA kwa ummya waliyoitoa saa 4:00 usiku wa jana Jumatano, Mei 22, 2024 ilisema wanahitimisha mfululizo wa taarifa za kilichokuwa Kimbunga Ialy zilizokuwa zikizitoa tangu Mei 17, 2024. …

Read More

Mama mwenye kisukari fanya haya kabla na baada ya kujifungua

Dar es Salaam. Mara tu mwanamke mwenye kisukari anapopata ujauzito, ufuatiliaji wa sukari unapaswa kuimarishwa. Viwango vya sukari hubadilika haraka katika kipindi hiki kutokana na homoni za ujauzito, na hivyo kuna haja ya kurekebisha dozi za insulini au dawa zingine mara kwa mara. Uhudhuriaji wa  kliniki unapaswa kuwa wa mara kwa mara, ukihusisha mtaalamu wa…

Read More