Fadlu aahidi kulipa kisasi kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema katika mechi ya kesho dhidi ya Yanga, hawana presha kwa sababu tayari wana uzoefu na dabi, huku akiamiani benchi la wapinzani wake litakuwa na kazi za ziada kutokana na ugeni wao. Hiyo ni katika kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii uliopangwa kuchezwa kesho Jumanne kwenye Uwanja wa Benjamin…

Read More

Rekodi idadi ya wanawake wanaoishi katika umbali wa kushangaza wa mizozo ya kijeshi – maswala ya ulimwengu

Wanawake wanasimama katika makazi yaliyoharibiwa ya kuhamishwa huko Khan Younis, Gaza. Mikopo: Kliniki ya UNFPA/Media Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Septemba 25 (IPS) – uwanja wa vita sio mbali tena; Kwa mamilioni ya wanawake, ni mlango unaofuata. Takriban wanawake…

Read More

Yanga yarudi na siri kutoka Botswana

WAKATI kikosi cha Yanga alfajiri ya leo Jumapili kikiingia Dar es Salaam kikitoka Angola, kuna kitu ambacho kocha wa timu hiyo, Romain Folz anatamba nacho huku mwenyewe anasema bado yupo katika kuijenga timu imara msimu huu. Wakati Folz akiyasema hayo, kuna siri imefichuka huku Yanga ikiwa tayari imefanya mambo makubwa katika mechi mbili za kimashindano,…

Read More

Lusajo asaka rekodi mpya Tabora United

BAADA ya kushindwa kufanya vizuri Dodoma Jiji na kutua Tabora United mshambuliaji,  Reliants Lusajo ametaja sababu iliyomnyima rekodi ya upachikaji mabao msimu uliopita na kuahidi neema msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Lusajo alisema hakuwa na msimu mzuri msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara lakini anamshukuru Mungu msimu huu yupo fiti…

Read More

Wizara yasisitiza tahadhari ya mafua makali, Uviko19

Dar es Salaam.  Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imewataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari kufuatia kuendelea kwa ongezeko la mafua makali na Uviko19, ikitahadharisha kuwa hali hiyo itaendelea hadi kipindi cha Aprili na Mei, 2026. Februari 25, 2026, Wizara ilitangaza rasmi kuwepo kwa mlipuko huo, ikiwataka wananchi kuchukua hatua za kinga ili kudhibiti maambukizi….

Read More

Ndayiragije azitamani poini tatu za Singida BS

POLISI Kenya imeanza kwa kishindo michuano ya Kombe la Kagame 2025 kwa kuifumua Garde Cotes ya Djibouti kwa mabao 4-0, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema kwa sasa hesabu zake amezielekeza kesho Ijumaa watakapoikabili Singida Black Stars ya Tanzania. Mabingwa hao wa Kenya ambao watakashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika, walianza kwa kishindo…

Read More