Chuo Kikuu Ardhi chapata mwarobaini uhaba wa madarasa
Dar es Salaam. Moja ya kikwazo ambacho Chuo Kikuu Ardhi (ARU) jijini hapa, kinakumbana nacho cha upungufu wa madarasa, kinakwenda kupata ufumbuzi ifikapo Agosti 2025, yatakapokamilika majengo mapya yanayoendelea kujengwa chuoni hapo. Kwa muda mrefu, Chuo Kikuu Ardhi, kama vilivyo vyuo vingine, kimekuwa kikikabiliwa na uhaba wa madarasa, jambo linalosababisha kushindwa kudahili wanafunzi wengi zaidi….