Chuo Kikuu Ardhi chapata mwarobaini uhaba wa madarasa

Dar es Salaam. Moja ya kikwazo ambacho Chuo Kikuu Ardhi (ARU) jijini hapa, kinakumbana nacho cha upungufu wa madarasa, kinakwenda kupata ufumbuzi ifikapo Agosti 2025, yatakapokamilika majengo mapya yanayoendelea kujengwa chuoni hapo. Kwa muda mrefu, Chuo Kikuu Ardhi, kama vilivyo vyuo vingine, kimekuwa kikikabiliwa na uhaba wa madarasa, jambo linalosababisha kushindwa kudahili wanafunzi wengi zaidi….

Read More

Straika wa Okwi rasmi atua Msimbazi

Klabu ya Simba imemtambulisha mshambulia Steven Mukwala, raia wa Uganda. kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Huo ni utambulisho wa tatu kwa Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2024/25 baada ya wekundu hao kumtambulisha winga Joshua Mutale kutoka Power Dynamos ya Zambia na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, ambaye hata…

Read More

Foba kiroho safi kwa Manula

KIPA wa Azam FC, Zuberi Foba amesema ni furaha kwake kucheza timu moja na Aishi Manula aliyemtaja kuwa ni mwalimu kwani ndiye aliyekuwa anamtazama kabla ya kuanza kucheza soka la ushindani huku akitaja sababu za kumuachia jezi namba 28. Manula atakuwa sehemu ya kikosi cha Azam msimu ujao baada ya kujiunga akitokea Simba na ameachiwa…

Read More

Palestina mwanachama wa 194 wa UN

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Ijumaa limepitisha kwa wingi kura za azimio linalounga mkono Palestina kuwa mwanachama kamili wa umoja huo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Azimio hilo limeitambua Palestina kuwa na hadhi ya kupata uanachama kamili na linatoa mwito kwa Baraza la  Usalama la Umoja wa Mataifa kuunga mkono azma ya Palestina…

Read More

Ewura kufanya tathmini bei ya umeme

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Dk James Mwainyekule amesema katika mwaka wa fedha ujao 2025/2026 wanakusudia kufanya utafiti kuhusiana na gharama halisi za utoaji wa huduma za umeme. Hili linafanyika baada ya kukamilishwa kwa miradi mikubwa ya umeme iliyofanywa na Serikali, ikiwemo ule wa…

Read More

Watanzania Tuendelee Kumtunza Mdudu Nyuki – Global Publishers

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya mimea ya chakula inayozalishwa duniani huchavushwa na nyuki. Pia, Waziri Mkuu amezindua mpango kabambe utakaoleta mageuzi makubwa ya sekta ya ufugaji nyuki nchini, unaojulikana kama Mpango…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -1

SASA ENDELEA… JINA langu naitwa Enjo. Ni mtoto wa tatu katika familia ya mzee Sebastian Chacha. Wa kwanza alikuwa mwanaume. Jina lake ni Raymond au Ray kama marafiki zake walivyozoea kumuita. Yeye anafanya kazi Ujerumani. Ameshaoa na ana watoto wawili. Wa pili alikuwa mwanamke kama mimi, anaitwa Miriam. Anaishi Dar ninapoishi mimi, naye pia ameshaolewa…

Read More