SAU yakomaa na kilimo | Mwananchi
Dar es Salaam. Chama cha Sauti ya Umma (SAU), kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi mkuu huku mgombea urais kupitia chama hicho, Majalio Kyara akiahidi kusimamia kilimo hai ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Jumanne Septemba 9, 2025, katika Viwanja vya Ukonga Mombasa, Dar es Salaam Kyara amesema kilimo ni…