
KOMOLO YAPATA SHULE MPYA YA OLE MBOLE, ECLAT FOUNDATION WAIKABIDHI SERIKALI
Na Mary Margwe, Simanjiro. Shirika lisilo la Kiserikali la ECLAT Foundation Kwa kushirikiana na Upendo Association ya Ujerumani wamejenga Shule Mpya ya Msingi ya Ole Mbole iliyojengwa Kwa gharama ya sh.mil.169.2 katika Kijiji na Kata ya Komolo, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na kukabidhi Serikali Kwa lengo kuisaidia jamii kuondokana na adha ya kupunguza msongamano…