Jela miaka 30 kwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Luth Jacobo (50), mkulima wa kijiji cha Mwanundi, kata ya Sengwa wilayani humo, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka 15 (jina linahifadhiwa) na kumsababishia ujauzito. Hukumu hiyo ilisomwa leo Jumanne, Septemba 9, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi…

Read More

Ninja nje hadi dirisha dogo

BEKI wa kati Abdallah Shaibu ‘Ninja’ licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Transit Camp inayojiandaa kushiriki Ligi ya Championship, huenda asionekane uwanjani hadi utakapofika usajili wa dirisha dogo. Baada ya usajili huo, Mwanaspoti lilimtafuta Ninja kuhusu mipango yake ya Ligi ya Championship na alisema amefurahi kujiunga na timu hiyo, lakini hataanza msimu hadi…

Read More

Pigo lingine Simba | Mwanaspoti

SIMBA itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu…

Read More

Katwila apewa mmoja Geita Gold

Geita Gold imempa mkataba wa mwaka mmoja, Zuberi Katwila kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship. Katwila ambaye amewahi kuzifundisha Mtibwa Sugar, Mbeya City na Tanzania Prisons, atasaidiwa na Paul Nonga ambaye pia atakuwa kocha wa viungo pamoja na Agustino Malindi akiwa kocha wa makipa. Katwila anachukua mikoba iliyoachwa…

Read More

WAZIRI KOMBO AINADI DIRA YA ZANZIBAR KUWA KITOVU BORA CHA KIFEDHA AFRIKA MASHARIKI JIJINI LONDON

:::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameinadi dira ya Tanzania ya kuifanya Zanzibar kuwa kitovu bora cha kifedha Afrika Mashariki.  Balozi Kombo amewasilisha dira hiyo aliposhiriki mjadala uliyofanyika katika jengo la kihistoria la Guildhall jijini London chini ya kauli mbiu ya “Kuibua Zanzibar Kama Kitovu…

Read More

Huduma za Benki ya CRDB sasa viwango vya kimataifa

 Dar es Salaam. Tarehe 8 Septemba 2025: Baada ya saa 72 za maboresho ya mfumo wa uendeshaji wa benki (Core Banking System), huduma za Benki ya CRDB sasa zimerejea zikiwa bora, zenye kasi kubwa zaidi kukidhi viwango vya kimataifa. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amesema Benki iliweka juhudi kubwa kuhakikisha jambo hili…

Read More

SHAYO AAPA KUIFANYA MOSHI KUWA MJINI WA KISASA

Na Pamela Mollel, Moshi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Moshi Mjini kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi, huku mgombea wa ubunge wa jimbo hilo, Ibrahimu Shayo, akiweka wazi ajenda na dira yake ya kuibadilisha Moshi kuwa miongoni mwa majimbo bora zaidi nchini. Akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza, Shayo aliwaomba kumpa ridhaa ya kuwatumikia ili…

Read More