Wadau washauri meza ya mazungumzo Polisi, Chadema

Dar es Salaam. Wadau wa demokrasia nchini wamezitaka pande mbili zinazokinzana, yaani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Jeshi la Polisi, kuketi meza moja ili kumaliza tofauti kwa mazungumzo. Chama hicho kimesema kinataka kufanya maandamano hayo,  ili  kuishinikiza Serikali kuhakikisha wanachama wake waliopotea wanarejeshwa, wakiwa hai au wafu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi kupitia…

Read More

Je, Uhuru wa Kisayansi Unaleta Maendeleo kwa Afrika? – Masuala ya Ulimwenguni

Lidia Brito, Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Sayansi Asilia wa UNESCO. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (addis ababa) Alhamisi, Julai 18, 2024 Inter Press Service ADDIS ABABA, Julai 18 (IPS) – Utafiti wa kisayansi umesababisha mafanikio ya kijamii na kiuchumi duniani kote, lakini wanasayansi wanaofanya hivyo wanakabiliwa na changamoto kubwa. Sayansi inakuza maendeleo, lakini wanasayansi…

Read More

Mwili wakutwa kwenye bwawa Kahama

Kahama.  Mwanamume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake amekutwa amefariki dunia kwenye bwawa la maji lililopo Kata ya Nyihogo, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  Wilaya ya Kahama,  Stanley Luhwago akizungumza leo Septemba mosi, 2025, amesema tukio hilo limetokea Agosti 31, 2025. Amesema walipokea taarifa kutoka kwa wananchi waliouona…

Read More

Auawa na Polisi mwenziye wakidaiwa kugombea ‘mchepuko’

Nairobi. Askari wa Polisi mwenye cheo cha Konstebo, Manasseh Ithiru, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kudaiwa kusukumwa kutoka juu ya ghorofa na mwenzake, Sajenti Abubakar Said, wakati wa ugomvi uliotokea katika makazi ya mwanamke anayedaiwa kuwa mpenzi wao wa pembeni ‘mchepuko’. Tukio hilo lililotokea Jumamosi katika eneo la Kitengela, Kaunti ya Kajiado nchini Kenya, linadaiwa…

Read More

Kihimbwa ajifunga mwaka Mashujaa | Mwanaspoti

TIMU mbalimbali zinaimarisha vikosi kwa kuongeza sura mpya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, miongoni mwazo ni Mashujaa ambayo tayari imewasainisha baadhi ya wachezaji. Kati ya wachezaji waliomalizana nayo ni winga Salum Kihimbwa aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo. Msimu uliopita alimaliza na mabao manne na asisti tano akiwa na…

Read More

Katika vita vya maendeleo 'unaweza kututegemea', Guterres anaiambia Timor-Leste, kuadhimisha miaka 25 ya kujitawala – Masuala ya Ulimwenguni

Katika hali ya kushangaza, wabunge walimfanya mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa kuwa raia wa heshima wa taifa lao la visiwa vya kusini mashariki mwa Asia wakati wa sherehe katika mji mkuu Dili, na kumfanya mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa anajivunia sasa kuwa sehemu ya “watu mashujaa”. Nini wakati huo mapambano ya…

Read More

Mati Technology Yapanua Wigo wa Kilimo kwa Teknolojia ya Drone

Na Mwandishi Wetu. KAMPUNI ya Mati Super Brands Ltd kupitia tawi lake la Mati Technology imezindua teknolojia mpya ya ndege nyuki (drone) zinazotengenezwa nchini, zenye uwezo wa kuboresha sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii. Mkurugenzi Mtendaji wa Mati Group of Companies, David Mulokozi, amesema kampuni hiyo imeamua kuwekeza katika uzalishaji wa drone zinazotumika…

Read More