Kiungo fundi azitosa Simba, Yanga
KWA muda mrefu timu kongwe za Yanga na Simba zilikuwa zikipigana vikumbo katika kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji kutoka DR Congo ambaye hivi karibuni ametoka kuiwakilisha nchi yake kwenye michuano ya CHAN 2024 inayoendelea Tanzania, Kenya na Uganda. …