Usikose! Bashiri na Meridianbet Ushinde Samsung A26 Leo

Kupitia promosheni kabambe ya Bet Online, mteja anaweza kujishindia simu janja aina ya Samsung A26 na kutimiza ndoto zake. Changamkia fursa leo hii ujinyakule zawadi hii kutoka Meridianbet. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri…

Read More

Huko Yanga kuna fukuta, kocha aitwa mezani

YANGA ilirejea nyumbani jana kwa mafungu ikitokea Mkoani Dodoma ilikokwenda kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kutengeneza sare nyingine ya tano msimu huu lakini matokeo hayo yameibua presha kubwa kwa kocha wa timu hiyo Pedro Goncalves. Presha kubwa ya Pedro ni kwamba Yanga ikiwa chini yake haijapoteza mchezo wowote lakini kwenye sare…

Read More

Kihongosi awapigania wafanyabiashara Bariadi | Mwananchi

Bariadi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ametaka wafanyabiashara walioondolewa katika eneo ambalo ujenzi wa soko kuu la Wilaya ya Bariadi unaendelea kupewa kipaumbele ujenzi utakapokamilika. Pia, ametoa maagizo mawili kwa mkandarasi anayejenga soko hilo, akitaka ujenzi ukamilike ndani ya muda wa mkataba, Februari 3, 2027 na pia…

Read More

Askofu Mapunda asisitiza haki kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida, Edward Mapunda amewatahadharisha Watanzania kutorubuniwa kwa rushwa na kuomba haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu wa kuchagua  Rais, Wabunge na Madiwani na kusisitiza atakayeshinda ashinde kwa haki. Hatua hiyo imetajwa ni kuhepusha  migogoro sambamba na kusisitiza  watakao shindwa wakubali  matokeo  ili kulinda amani ya…

Read More

Sumaye asema Samia amedumisha amani, utulivu nchini

Mwanga/Same. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema miaka minne ya utawala wa Samia Suluhu Hassan umedhihirisha uimara wake wa kudumisha amani na utulivu nchini na kurudisha uhusiano wa kidiplomasia duniani. Wakati Sumaye akieleza hayo, mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Samia anaishi kiapo alichokiapa cha kuilinda…

Read More

Mtanzania adai kuteswa Uarabuni, aomba msaada kurejeshwa Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Afrika Mashariki ikiendelea kufuatilia kwa hofu hatima ya mfanyakazi wa ndani kutoka Uganda, Vicky Ajok, anayekabiliwa na hukumu ya kunyongwa nchini Syria, simulizi nyingine ya maumivu inamhusu Mtanzania, Zaidatu Hasani Rashid, anayepitia mateso katika Falme za Kiarabu na sasa anataka kurudi Tanzania. Zaidatu alisafiri Agosti 30, 2025 kwenda katika nchi hiyo…

Read More