Samia ataka Bahi, Manyoni wajiandae kutumia fursa za SGR
Manyoni. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Bahi mkoani Dodoma na Manyoni mkoani Singida kujiandaa kunufaika na fursa zitakazoletwa na mradi wa reli ya kisasa (SGR) itakayopita katika maeneo yao. Samia ametoa wito huo kwa nyakati tofauti alipotembelea majimbo ya Bahi na Manyoni, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano…