
NMB YADHAMINI NA KUSHIRIKI KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI NA WATENDAJI WAKUU WA TAASISI ZA UMMA.
Benki ya NMB imedhamini na kushiriki kwenye Kikao kazi cha wenyeviti wa Bodi na watendaji wakuu wa taasisi za umma (CEOs Forum 2025) kinachoendelea katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano Arusha (Arusha International Conference Centre). Ujumbe wa NMB umeongozwa na David Nchimbi – Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi pamoja na Juma Kimori – Afisa Mkuu…