Kura iwe ya moto au baridi…

Enzi zile tulipokuwa shuleni tulikuwa tukichanganywa na malumbano ya hoja. Kwa ufundi mkubwa, waandaaji walitoa mada iliyokuwa na majibu sawa. Kilichokuwa kikisikilizwa si majibu, bali ni ufundi wa mwanafunzi kutetea hoja zake. Kwa mfano: “Maisha bora ni ya kijijini au mjini?” Aliyejibu ni ya mjini alikuwa sawa kwa utetezi kuwa mjini kuna miundombinu ya kisasa…

Read More

UKRAINE YAFANIKIWA KUDHIBITI ENEO LA URUSI LA KILOMITA ZA MRABA 1,000 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Vikosi vya Ukraine vimedhibiti kilomita za mraba 1,000 za ardhi ya Urusi katika operesheni kubwa ya kijeshi inayovuka mpaka, ikiwa ni moja ya uvamizi mkubwa zaidi katika miaka miwili na nusu ya vita, alisema Kamanda Mkuu wa Ukraine, Oleksandr Syrskyi. Kamanda Syrskyi alithibitisha kuwa vikosi vya Ukraine vinaendelea na operesheni ya kimkakati katika eneo la…

Read More

Ongala: Chilunda atawashangaza | Mwanaspoti

BAADA ya KMC kukamilisha usajili wa mshambuliaji, Shaaban Idd Chilunda, kocha wa kikosi hicho Kally Ongala amesema nyota huyo atawashangaza wengi kutokana na uzoefu aliokuwa nao, huku akiweka wazi ni mojawapo ya mapendekezo yake kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Ongala alisema moja ya mapendekezo yake yalikuwa ni kuongezewa nguvu eneo la ushambuliaji na kitendo cha kumpata…

Read More

Mambo yapo huku Ligi Kuu Bara

SAFU za ulinzi kwa timu zote sita zinazotarajia kuchuana leo zina vibarua kupunguza makosa kutokana na timu hizo kuchuana kwa safu mbovu kutokana na kuruhusu nyavu zao kutikiswa mara nyingi. Lakini pia washambuliaji wa timu hizo pia watakuwa na kazi ya kufanya kuvuka kuta hizo kutokana na wao pia kutokuwa na ubora wa kufumania nyavu…

Read More

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120 milioni kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT Taifa), unaofunguliwa Jumanne tarehe 23 Aprili 2024 na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ukiwakutanisha washiriki zaidi ya 600. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiasi hicho kinachodhamini mkutano wa mwaka huu unaofanyika…

Read More