Mwanafunzi aliyeuawa, mwili kuchomwa Mbeya azikwa

Mbeya. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula, aliyeuawa kikatili kisha kuchomwa moto, umezikwa, huku waombolezaji wakipaza sauti kukemea tukio hilo, wakitaka wahusika wapatikane na kuchukuliwa hatua za kisheria. Maziko yamefanyika leo, Septemba 20, 2025, katika Makaburi ya Iwambi, mkoani Mbeya. Shyrose (21) alikutwa ameuawa, kisha mwili kuchomwa moto…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NCHINI

▪️Awataka wazingatie maadili, wadumishe uadilifu na kulinda usiri wa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri wa taarifa zote zinazohifadhiwa kwani taarifa hizo ni nyenzo muhimu ya usalama wa Taifa na maendeleo ya nchi. Amesema kuwa Chama Cha Menejimenti ya Kumbukumbu…

Read More

Bado Watatu – 17

“HEBU eleza tukio lilivyotokea.” Akaniambia kwamba yeye alikuwa muuguzi wa hospitali ya Bombo ambayo ni ya mkoa. Jana yake alikuwa na zamu ya kulala kazini. Lakini aliporudi asubuhi kutoka kazini akakuta wezi wameruka ukuta na kuvunja mlango wa nyuma na kumuibia vitu kadhaa. “Unasema waliruka ukuta wakavunja mlango wa nyuma?” “Ndiyo.” “Wameiba nini?” “Labda niseme…

Read More

OSHA KUIWEZESHA SHULE YA KAMBANGWA VIFAA VYA KUJIFUNZIA

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule yaSekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam kwa kuipatia vifaa muhimu vya kujifunzia zikiwemo kompyuta, kichapishi (printer) pamoja na kujenga uzio wa shule hiyo. Ahadi hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda wakati akihutubia katika Mahafali…

Read More

Mashambulizi mabaya ya ndege zisizo na rubani nchini Sudan, familia zilizouawa katika Ukingo wa Magharibi, habari za waliojeruhiwa Ukraine – Masuala ya Ulimwenguni

Watu wawili wameripotiwa kuuawa katika mgomo katika mji wa Al Rahad, kusini mashariki mwa El Obeid huko Kordofan Kaskazini, ambapo hospitali pia iliharibiwa. Majeruhi zaidi waliripotiwa siku mbili mapema wakati mashambulizi ya ndege zisizo na rubani zilipopiga Al Fula, mji mkuu wa Kordofan Magharibi. Kote Darfur, migomo kati ya Alhamisi na Jumamosi ilisababisha hasara zaidi…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

Mao ajiandaa kuitema KMC | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, raia wa Somalia, Ibrahim Elias ‘Mao’, huenda akaachana na timu hiyo baada ya mazungumzo ya kusaini mkataba mpya kuingia dosari, huku ikielezwa makubaliano imeshindikana kufikiwa baina ya pande hizo zote mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Mao hatokuwa sehemu ya timu hiyo kutokana na kutokubaliana kwa baadhi ya vifungu vya kuboreshewa…

Read More