
TRA Dodoma Yasisitiza Ulipaji Kodi kwa Wakati Ili Kusaidia Maendeleo
Na. Yahya Saleh, Dodoma Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma Bw. Pendolake Elinisafi amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanalipa kodi ya awamu ya tatu kwa wakati kabla ya tarehe 30.09.2025 ili kuepuka faini zisizo za lazima. Akizungumza wakati wa zoezi la elimu ya kodi mlango kwa mlango linalofanyika mkoani Dodoma, Meneja huyo ameeleza…