Chadema kugharamia elimu watoto wa marehemu Nyalusi

‎Iringa. Katika hatua inayoonyesha mshikamano wa kijamii na kisiasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeamua kugharamia masomo ya watoto wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Iringa Mjini, marehemu Frank Nyalusi. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba 22, 2025, katika ofisi za chama hicho zilizopo Veta Manispaa ya Iringa, Katibu wa Chadema Kanda ya Serengeti, Jackson…

Read More

MAJIKO BANIFU TEKNOLOJIA YA KISASA INAYOTUMIA MKAA KIDOGO

 ::::::::: Imeelezwa kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ni majiko yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa.  Hayo yamebainishwa na Wataalam kutoka REA wanaoendelea kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt….

Read More

Elfadhil arusha taulo Tanzania Prisons

BAADA ya kuitumikia Tanzania Prisons kwa miaka 16, aliyekuwa nahodha wa timu hiyo Jumanne Elfadhil ametangaza kupumzika akiahidi kuisaidia timu hiyo kwa mawazo atakapohitajika, huku akitoa neno juu ya matokeo ya mechi mbili kwa Wajelajela hao. Elfadhil amekuwa katika kikosi hicho tangu alipoanza kuitumikia mwaka 2009 alipojiunga nayo, kwa sasa amesema hatarajii kurejea uwanjani tena…

Read More