RAIS SAMIA AIBUKA KINARA TUZO ZA UHIFADHI NA UTALII

● Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono ● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2025. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards) kutokana na uongozi wake bora na wa kimkakati katika kukuza…

Read More

Wabunge ‘wanavyovaa’ sura tofauti | Mwananchi

Dar es Salaam. Tofauti na matarajio ya wengi waliokuwa wakikosoa na kuhofia iwapo Bunge la 13 lisingeweza kuweka mbele maslahi ya wananchi katika kusimamia uwajibikaji wa Serikali kutokana na kutawaliwa na chama kimoja, hali inaonekana kubadilika. Tangu kuanza kwa Mkutano wa Pili wa Bunge la 13 unaoendelea jijini Dodoma, baadhi ya wabunge wameibua hoja nzito…

Read More

BAJETI ZA MIUNDOMBINU YA ELIMU ZITENGWE KUJIANDAA NA MAPOKEZI YA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2028

:::::::: Na OWM – TAMISEMI, Bagamoyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa kuhakikisha wanawasimamia Wakurugezi wa Halmashauri wakati wanapoandaa bajeti za Mwaka wa Fedha 2026/27 kuweka vifungu vya kugharamia maboresho ya miundombinu ya elimu, ili kujiaanda na…

Read More

UN yaonya mzozo wa Myanmar unazidi miaka mitano baada ya mapinduzi, huku kura za kijeshi zikizidisha ukandamizaji – Masuala ya Ulimwenguni

Watu wa Myanmar wanaendelea kuteseka kutokana na “ukiukwaji mkubwa wa sheria za kimataifa za haki za binadamu na sheria za kimataifa za kibinadamu,” msemaji wa UN. Katibu Mkuu Antonio Guterres alisema katika kaulisiku ya Ijumaa, kuadhimisha kumbukumbu ya miaka. “Mateso ya watu wa Myanmar yameongezeka,” Farhan Haq, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa, alisema, akiashiria…

Read More