Mradi wa HEET kumaliza uhaba wa miundombinu Must
Mbeya. Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimesema mradi wa Mageuzi ya Elimu kwa Maendeleo ya Uchumi (HEET), utasaidia kumaliza changamoto ya miundombinu inayokikabili chuo hicho. Akizungumza leo Desemba 6 kwenye mahafali ya 12, Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Aloys Mvuma amesema hadi sasa kuna uchache wa miundombinu, lakini mradi wa HEET…