Mtanzania ana kibarua michuano ya Ulaya

CHAMA la Mtanzania, Sabri Kondo anayekipiga BK Hacken ya Sweden, Alhamisi hii watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya Shelbourne FC ili kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya UEFA Conference League. Kondo alisajiliwa msimu huu akitokea Coastal Union, alipoitumikia kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Singida Black Stars. Chama hilo linatafuta nafasi ya…

Read More

Kipa aliyevunjika taya aanza mazoezi mepesi

KIPA wa Tabora United, Fikirini Bakari amerejea uwanjani baada ya kuwa nje akijiuguza kutokana na kudaiwa kuvunjika taya wakati akikiwasha katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga iliyowafunga mabao 4-0 wiki iliyopita katika Uwanja wa  Gymkhana jijini Dar es Salaam. Fikirini alisema daktari alimwambia afanye mazoezi mepesi ya kukimbia na kuepuka kukongana na watu, na…

Read More

Tunachoweza kujifunza kutoka Maonesho ya Kimataifa ya Biashara

Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya China, maarufu kama Canton Fair, yamepata umaarufu mkubwa duniani. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1957, upangaji, uratibu na usimamizi wake vimeyafanya kuwa kivutio kikubwa kwa wafanyabiashara, maonesho hayo kwa sasa ni kitovu cha biashara kwa maelfu ya wafanyabiashara kutoka nchi 150 duniani wanaofika kununua na kuuza bidhaa. Katika sifa kubwa…

Read More

Sababu wanawake kuwa vinara wa mikopo

Dar es Salaam. Kwa mara ya kwanza nchini, wanawake wanamiliki akaunti za mikopo ya kidijitali nyingi zaidi kuliko wanaume, jambo linalowafanya kuwa wakopaji wakuu katika sekta ya teknolojia ya fedha inayokua kwa kasi. Takwimu mpya kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Ofisi za Taarifa za Wakopaji (Credit Reference Bureaus) zinaonesha idadi ya akaunti za…

Read More