Jaruph mwendo mdundo Morocco | Mwanaspoti

MTANZANIA anayecheza soka la ufukweni Morocco, Jaruph Juma, mambo yamezidi kumnyookea baada ya chama lake la Ain Diab iliyopo Ligi Kuu ya Ufukweni, kushinda kwa penalti 6-5 baada ya dakika 90 kumalizika kwa sare ya 2-2 dhidi ya Sbou Knetra. Jaruph aliliambia Mwanaspoti licha ya mechi hiyo kuwa ya kawaida ya ligi, lakini namna ushindani…

Read More

Vijana kunufaika kidijitali na fursa za Ununuzi wa Umma

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania imeadhimisha Wiki ya Vijana Kitaifa mwaka 2024 kwa kaulimbiu inayosema, “Vijana na Matumizi ya Fursa za Kidijitali kwa Maendeleo Endelevu.” Kaulimbiu hii inalenga kuhimiza vijana kuchangamkia fursa katika uchumi wa kidijitali na matumizi sahihi ya mitandao. Mkurugenzi Mkuu wa PPRA akiwa ametembelea banda la Brela kwenye maonesho ya wiki…

Read More

Yanga uso kwa uso na Nabi Sauzi

YANGA SC itacheza dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi Julai 28 mwaka huu. Mchezo huo umepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Toyota uliopo Bloemfontein nchini Afrika Kusini ukiwa ni wa michuano ya kirafiki ya Kombe la Toyota. Taarifa ya Kaizer imethibitisha uwapo wa mechi hiyo ikieleza: “Kaizer Chiefs watakuwa wenyeji…

Read More

UDSM KUJENGWA MAABARA YA MAJARIBIO YA MADINI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu Cha Dar Es Salaam kimesaini mkataba wa Makubaliano na Kampuni ya Yulho kutoka Korea Kusini kwaajili ya ujenzi wa maabara ya kufanya tafiti aina za Madini. Mradi huo utagharimu karibu kiasi cha shilingi bilioni 27 za kitanzania hadi kukamilika ikiwemo uwekwaji wa vifaa vya kisasa. Akizungumza na waandishi…

Read More

RUNGU LA DC SAME KUWASHUKIA WAZAZI WANAOTUMIA KESI ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO KAMA MTAJI KULIPANA FEDHA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya baadhi ya wazazi wanaotumia kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto kama mtaji kulipana fedha pindi anapofanyiwa ukatili. Amewataka kuacha mara moja tabia hiyo kwani kufanya hivyo kunapelekea kuathiri saikolojia na afya ya mtoto pamoja na kumfanya ashindwe kutimiza ndoto zake….

Read More

Kwa nini mikataba ya uwekezaji (BITs) ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More