
Majaliwa ataka jamii za kifugaji kutotumikisha watoto
Mwanga. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezitaka jamii za kifugaji kuhakikisha zinawapeleka watoto shule na kuacha tabia ya kuwatumikisha kuchunga mifugo. Amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu nchini ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu bora. Majaliwa ameyasema hayo leo Jumanne Machi 25, 2025 wakati akizungumza…