Majaliwa ataka jamii za kifugaji kutotumikisha watoto

Mwanga. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezitaka jamii za kifugaji kuhakikisha zinawapeleka watoto shule na kuacha tabia ya kuwatumikisha kuchunga mifugo. Amesema Serikali imeweka mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu nchini ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata elimu bora. Majaliwa ameyasema hayo leo Jumanne Machi 25, 2025 wakati akizungumza…

Read More

Ahadi ‘hewa’ Ujenzi zavuruga wabunge

Dodoma. Wabunge wamecharuka wakilalamikia ahadi zisizotekelezwa za ujenzi wa barabara, mwingine akitoa ushahidi wa hotuba za Wizara ya Ujenzi za miaka mitano.  Mbunge mwingine ametoa ushahidi wa sauti iliyosikika ya Spika Dk Tulia Ackson na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa wakati huo, Profesa Makame Mbarawa, akithibitisha kuhusu ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami…

Read More

Rais Samia aipongeza REA – Millard Ayo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi nzuri wanazofanya. Mhe. Rais ametoa pongezi hizo leo Agosti 4 wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro alipotembelea Kituo cha Kupokea na Kupoza umeme cha Ifakara kilichojengwa na Serikali ya Tanzania kupitia REA kwa kushirikiana na Umoja…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Gari ikigongwa na treni imekosea

Kuna hekaya zingine za utotoni tulizigundua ukubwani kuwa zilikuwa za kufikirika. Lakini zingine hadi leo zimetuachia maswali bila majibu. Kwa mfano hii inayodai kuwa treni ikigonga gari, gari ndiyo itakayoadhibiwa. Inaweza kuwa kweli kwa sababu reni haiwezi kutumia njia ingine zaidi ya reli, na reli haiwezi kutumika na chombo kingine cha usafirishaji. Iwapo njia hiyo…

Read More

Simba Day 2024, Ubaya Ubwela

ILE siku ndio leo. Kilele cha wiki ya Simba kitafanyika Wanasimba zaidi ya 60,000 watakutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kukamilisha vaibu lao la kuukaribisha msimu mpya chini ya kauli mbiu ya Ubaya Ubwela. Ndio siku ya furaha zaidi kwa Wanasimba. Saa chache zijazo wanakwenda kushuhudia furaha mpya baada ya kupitia miezi kadhaa ya machungu…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI:Haitopendeza Coastal ikimtimua Ouma

KUNA tetesi Coastal Union inafikiria kuachana na kocha wao wa sasa, Francis Ouma na kisha nafasi yake ichukuliwe na kocha mmojawapo wa timu ya Ligi Kuu. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika wiki iliyopita kunatajwa kuchangia ushawishi wa uamuzi wa kutaka kumtimua. Hata hivyo, inaripotiwa amepishana na vigogo baadhi…

Read More

Moto barabarani unavyohatarisha miundombinu Dar

Dar es Salaam. Wakati wimbi la wachuuzi wanaowasha moto na kupika kwenye hifadhi za barabara likiongezeka, imebainika hali hiyo si hatari tu kwa barabara bali inaweza kuleta madhara kwa miundombinu mingine inayowekwa kwenye hifadhi hiyo kama inavyoelezwa kwenye sheria.  Kwa mujibu wa Sheria ya Barabara ya Mwaka 2007 Sheria Namba 13, Kifungu Namba 29, hifadhi…

Read More