Mradi wa HEET kumaliza uhaba wa miundombinu Must

Mbeya. Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kimesema mradi wa Mageuzi ya Elimu kwa Maendeleo ya Uchumi (HEET), utasaidia kumaliza changamoto ya miundombinu inayokikabili chuo hicho. Akizungumza leo Desemba 6 kwenye mahafali ya 12, Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Aloys Mvuma amesema hadi sasa kuna uchache wa miundombinu, lakini mradi wa HEET…

Read More

Bashungwa: CCM ni dhamana ya amani, maendeleo

Karagwe. Mgombea ubunge wa Jimbo la Karagwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Innocent Bashungwa amesisitiza kuwa CCM ndicho chama pekee chenye uwezo wa kuendelea kuongoza nchi kwa utulivu na amani. Akihutubia wa kampeni uliofanyika jana Oktoba 10, 2025 katika Kijiji cha Nyakayanja, Kata ya Nyaishozi, Bashungwa amesisitiza kuwa CCM ndicho chama pekee chenye uwezo wa…

Read More

Waomba mazingira rafiki uchaguzi mkuu 2025, tume yafafanua

Mbeya. Wakati watu wenye uhitaji maalumu wakiomba kuwekewa mazingira rafiki kushiriki mchakato wa kupiga kura, viongozi wa dini nao wameomba kupewa utaratibu wa kushiriki rasmi siasa wakidai ni sehemu ya maisha. Hayo yamebainishwa leo Desemba 15, 2024 wakati wa mkutano wa tume na wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura uliofanyika…

Read More

SAKATA LA WANAFUNZI KUMGOBEA MWIJAKU LATUA KISUTU

HATIMAE wale, mwanafunzi watatu wanaodaiwa kumdhalilisha mwenzao ambae ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Ardhi, Dar es Salaam Magnificat Kimario wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayomkabili. Wanafunzi hao kwa sasa wapo chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakisubiri kupandishwa kizimbani kutokana na video ya Aprili…

Read More

NMB kumkabidhi Rais Samia shule, maadhimisho Tamasha la Kizimkazi

Unguja. Wakati kamati ya maandalizi ya tamasha la Kizimkazi mwaka 2024 ikitambulisha wadhamini wa mwaka huu, Benki ya NMB, imejipanga kuwanoa wajasiriamali zaidi ya 700. Pia, inatarajiwa kukabidhi Shule ya Maandalizi ya Tasani, iliyoko Makunduchi Zanzibar. Tamasha hilo litatumika kuzindua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na wadau wa maendeleo,…

Read More

Karia: Chuma kimepita kwenye moto

Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF Wallace Karia amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi, kwa imani yao kwake. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo uliofanyika jijini Tanga na kushinda kwa kishindo amesema haikuwa rahisi kwa mchakato huo wa uchaguzi. Karia amewataka wajumbe wa mkutano huo wasiumie na lolote kwani hatua…

Read More