15 mbaroni wakituhumiwa kuliteketeza gari lililogonga, kuua
Musoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za kuchoma moto gari mali ya Malieta Warioba eneo la Buhare Manispaa ya Musoma. Watu hao wanadaiwa kuliteketeza gari hilo lililohusika na ajali iliyotokea jana Jumatatu Agosti 12, 2024 na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine wanne kujeruhiwa. Akizungumzia tukio hilo leo…