Stars kutesti mitambo na Kenya, Uganda kabla ya CHAN

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kinatarajiwa kushiriki mashindano ya CECAFA yaliyoandaliwa maalum kwa ajili ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN). Mashindano hayo yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Ukanda wa Afrika Mashariki (CECAFA), yamepewa jina la CECAFA 4 Nations Tournament yatakayoshirikisha timu…

Read More

TBS KANDA YA KATI YATEKETEZA BIDHAA ZENYE THAMANI YA MIL. 42.5

  Afisa Mdhibiti ubora Kanda ya kati TBS, Sileja Lushibika, akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja na vipondozi vyenye thamani ya shilingi milioni 42.5. Afisa Mdhibiti ubora Dodoma TBS Bi. Halima Msonga,akizungumza na waandishi habari leo Mei 31,2024 jijini Dodoma mara baada ya kuteketeza vyakula pamoja…

Read More

TUWAINUE WABUNIFU WAZAWA KUWANADI KIMATAIFA – DKT. BITEKO

Asisitiza Mifumo iboreshwe kuakisi Maendeleo Serikali kuweka Mazingira wezeshi kwa wadau wa STARTUPs Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na jitihada za kuwainua wabunifu wawekezaji nchini, bado kuna umuhimu mkubwa wa kuwawezesha wabunifu wetu kukua zaidi ndani…

Read More

CCM INA AMINI KWENYE UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA YEYOTE ASHINDE KWA UWEZO WAKE – MAKALLA

-𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒏𝒊 𝒊𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒏𝒂 𝒊𝒑𝒐 𝒕𝒂𝒚𝒂𝒓𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒂𝒈𝒖𝒛𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒘𝒐𝒘𝒐𝒕𝒆. Chama Cha Mapinduzi kupitia Katibu wake wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo 𝐂𝐏𝐀. 𝐀𝐦𝐨𝐬 𝐌𝐚𝐤𝐚𝐥𝐥𝐚 amesema mambo yote yanayohusiana na matusi na kejeli si sehemu ya utamaduni wa chama hiko. CPA. Makalla amesisitiza kuwa Chama Cha Mapinduzi kinaamini katika kuelekea…

Read More

Sh bilioni 20 zakusanywa treni ya SGR

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya Sh bilioni 20 zimekusanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) tangu lilipoanza kutoa huduma za kusafirisha abiria kupitia treni ya kisasa ya SGR. Safari za treni hiyo zilianza rasmi Julai 14,2024 kwa Dar es Salaam na Morogoro kisha baadaye kuongezwa za Dar es Salaam na Dodoma. Akizungumza leo…

Read More

Waziri Gwajima aishukuru Benki ya Biashara DCB kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ameishukuru Benki ya Biashara ya DCB katika jitihada inazoonesha katika kuwawezesha wanawake wa kitanzania kiuchumi.Pongezi hizo alizitoa katika hafla ya uzinduzi wa Kamati ya Kitaifa ya kuratibu masuala ya uwezeshaji wa majukwaa ya uwezeshaji wa wanawake kiuchumi. Katika hafla hiyo iliyofanyika…

Read More